Big Brother Africa 2009: The Revolution

Big Brother Africa 2009: The Revolution

Elizabeth ameanza vizuri wiki hii kwani wenzie hawajam-nominate for possible eviction lakini kama ataendelea na ukimya huu nina wasi wasi ataonekana kuwa boarer muda si mrefu, yupo kimya mno. Anaweza akajikuta anatoaka kwa kutokuwa na kura nyingi za washabiki

Yes, You Are Absolutely correct, Sijui Ni Issue Ya KANUMBAH "na Kiingereza" ambayo inamfanya aogope Kuongea au ni Mkimya hivyo Kila siku!.

Hapa we unafikiri ni nani wa kulaumu!?, ni sisi wenyewe ambao tuna-disappoint artists wakifanya blander(s) instead ya kuwapa courage au yeye mwenyewe?

I think Anahitaji Kuwa mchangamfu na mwongeaji, asipokuwa makini she'll be gone too soon.

B.
 
Ila jamani mbona jana nimemwona kachangamka sana? Amejitahidi na pia kidhungu chake hata sio kibaya.
 
by the way, mimi naona washiriki wakiwa wengi toka nchi moja chances zao za kutoka ni kubwa kwani kutakuwa na split of votes kutoka nchi zao. Mnaonaje hili? So ni bora sisi amekwenda mmoja.
 
kweli bora kaenda mmoja but asiwe boarer,,Eliza bwana haongoi sna anachomekea kidogo kidogo tuu,bad thing is hakuna namna ya kumfikia sasa,ujue mle ndani kama hufahamiki mambo yako hakuna maana ya kukaa,anasikiliza zaidi wenzie,yani ile heshima ya woga as if anajua now amera is over me!!otherwise wanaume wanasonga so nice kuliko mademu ambao baadhi wanaonyesha much know kwa saaana
 
kweli bora kaenda mmoja but asiwe boarer,,Eliza bwana haongoi sna anachomekea kidogo kidogo tuu,bad thing is hakuna namna ya kumfikia sasa,ujue mle ndani kama hufahamiki mambo yako hakuna maana ya kukaa,anasikiliza zaidi wenzie,yani ile heshima ya woga as if anajua now amera is over me!!otherwise wanaume wanasonga so nice kuliko mademu ambao baadhi wanaonyesha much know kwa saaana

Kweli Mkuu wanawake wanachonga sana, kama huyu dada wa Zambia mwenye mwili mkubwa (I think Paloma) ameniudhi jana, anasema maji maji (manii) yanayotangulia kwenye uume wa kabla ya kufanya ni HATARI SANA. Mimi nikadhani anasema yanweza kukupa mimba mwisho anasema unaweza kufa hivi mara typhod mara, ini, yaani magonjwa yote aliyosema hayendani na ngono
 
kweli bora kaenda mmoja but asiwe boarer,,Eliza bwana haongoi sna anachomekea kidogo kidogo tuu,bad thing is hakuna namna ya kumfikia sasa,ujue mle ndani kama hufahamiki mambo yako hakuna maana ya kukaa,anasikiliza zaidi wenzie,yani ile heshima ya woga as if anajua now amera is over me!!otherwise wanaume wanasonga so nice kuliko mademu ambao baadhi wanaonyesha much know kwa saaana

Angola wanaweza wakaendelea kutete Ubingwa, Emma ni mdogo lakini anaongea kwa uwazi, lakini watu wanweza kumchoka haraka. Anauliza maswali mazuri anachangamka, ana huonyesha hisia za kweli.
 
Nadhani watanzania tunaweza kuwa wawazi zaidi ya nchi zote za kusini mwa Jangwa la Sahara, Nashangaa Wazambia huyu Paloma wao ameshaboa sana na bado wanamshangilia, wakati WaTZ mwaka jana wiki Moja tayari walishachoka na Latoya.
 
Mkuu Mbogela, nadhani tufanye kampeni ya kumpigia kura mtu wetu abaki kwenye jumba, anaonekana kuwa mwakilishi mzuri mpaka sasa... Hima mpigie kura mkuu aendelee kubaki
 
Mkuu Mbogela, nadhani tufanye kampeni ya kumpigia kura mtu wetu abaki kwenye jumba, anaonekana kuwa mwakilishi mzuri mpaka sasa... Hima mpigie kura mkuu aendelee kubaki

Mkuu hebu shauri hapa. Nimekuwa mvivu kidogo kupitia hii web ya M-Net vizuri. Sasa nimefungua nikaona zile picha zao zinatokea kila mmoja. Swali: Nikitaka kumpigia kura ni click "NOMINATE" au ndo nitakuwa na mfanyia mbaya. All in all what do i need to do so that I keep this lady through web?
 
Mkuu hebu shauri hapa. Nimekuwa mvivu kidogo kupitia hii web ya M-Net vizuri. Sasa nimefungua nikaona zile picha zao zinatokea kila mmoja. Swali: Nikitaka kumpigia kura ni click "NOMINATE" au ndo nitakuwa na mfanyia mbaya. All in all what do i need to do so that I keep this lady through web?
Mkuu unafata link hii:

http://www.mnetafrica.com/bigbrother/Vote/Default.aspx

Then una-vote kwa ajili ya kum-save mwenzetu abaki kwenye jumba. Lakini wanahitaji mtu uwe umejisajili ili wakamue chao kwenye simu yako (Tshs 600/=) per vote
 
Invicible ulipo nipa ile link now nimeanza kugundua vipaji. Bwana ka-dada ka Angola na ka Msumbiji acha kabisa. Vinanichanganya!!! Hizo design za macho yao zinanifanya nishindwe fanya kazi vizuri!! Ngoja niwe shujaa nitangulize maslahi ya taifa kwanza kwani ninaweza peleka votes zangu kusiko.
 
Invicible ulipo nipa ile link now nimeanza kugundua vipaji. Bwana ka-dada ka Angola na ka Msumbiji acha kabisa. Vinanichanganya!!! Hizo design za macho yao zinanifanya nishindwe fanya kazi vizuri!! Ngoja niwe shujaa nitangulize maslahi ya taifa kwanza kwani ninaweza peleka votes zangu kusiko.

Kaka tafadhari usilete uliquid kwenye uzalendo, Maslahi ya taifa mbele kwanza. nenda http://www.mnetafrica.com/bigbrother/ alafu utapaona mahali pameandikwa VOTE. hapo ndio pa kuvote. lakini unatakiwa kujiandikisha kwanza, mimi napiga bure sidhani kama kuna pesa inakatwa online. labda kwasababu saa hizi nipo mbali
 
Ningekuwa natafuta mke nadhani Emma (Angola) Ningempa nafasi ya kwanza alafu ningemsaidia kupunguza maneno kidogo, anafaa kuwa mke wa mtu kama Mch. Mtikila (mtoto anajieleza, nadhani kana akili Kunkichwa) alafu ningempa namba 2 Jenipher (msumbiji) ningemshauri apunguze tuaibu kidogo.
http://beta.mnet.co.za/mnetvideo/browseVideo.aspx?vid=17940
 
Kaka tafadhari usilete uliquid kwenye uzalendo, Maslahi ya taifa mbele kwanza. nenda http://www.mnetafrica.com/bigbrother/ alafu utapaona mahali pameandikwa VOTE. hapo ndio pa kuvote. lakini unatakiwa kujiandikisha kwanza, mimi napiga bure sidhani kama kuna pesa inakatwa online. labda kwasababu saa hizi nipo mbali

Mkuu Mbogela,
Kama isingekuwa Maslahi ya taifa mbele walai ningeshadanganyika.
Nilichokifanya, nime vote through my phone.

Mkuu unaonekana wewe ni Big funy wa BBA, naona hata avator yako imebadilika. Ila to be honest ile ya mwanzo (Latoya) alikuwa bomba sana kuliko huyo (in terms of look).

By the way did you happen to watch "The Apprentice Africa"? Hiyo ndio one of the best reality shows nilishawahi fuatilia. Ilikuwa inarushwa na TBC last year ila kwa kusua sua. I dont any one of the JF members wameshawahi iangalia.

Na infact nilitaka this time nijaribu kujienrol in their auditions, sasa naona hata web yao sasa haifanyi kazi. Sijui nini kimetokea. But it was very educative and i think one or more members wa JF wangepata nafasi kwenda kule mategemeo ya ushindi yangekuwa makubwa.
 
Mkuu Mbogela,
Kama isingekuwa Maslahi ya taifa mbele walai ningeshadanganyika.
Nilichokifanya, nime vote through my phone.

Mkuu unaonekana wewe ni Big funy wa BBA, naona hata avator yako imebadilika. Ila to be honest ile ya mwanzo (Latoya) alikuwa bomba sana kuliko huyo (in terms of look).

By the way did you happen to watch "The Apprentice Africa"? .

ha ha ha Kaka hii kitu basi tu, yaani ungekuwa kama soka na mimi ningekuwa kama Dr. Liki kwi kwi kwi lakini inawashabiki kidogo Bongo kwasababu DSTV hawana coverage nzuri bongo kama ilivyo Botswana, Namibia, zambia, Zim na SA.

Nadhani Latoya (outlook) alikuwa juu, Unajua hata mimi niliposoma Biography ya Elizabeth nilibisha kidogo kwani umri (21) hauendani na sura yake, kwangu anaonekana kuwa mkubwa kidogo kuliko umri wake.

Sijawahi kuona hiyo ngoma ya The apprentice.

Asante kwa kumpa Vote Mdada Elizabeth
 
Back
Top Bottom