Big Brother Africa 2009: The Revolution

Big Brother Africa 2009: The Revolution

Huwa nampenda Thomas Mambo anavyoongoza mijadala ya Soka nasikitika wiki hii sikupata nafasi ya kumfuatilia kwenye BBA
 
Reaction ya Elizabeth wakati aliposema kuwa amemuongeza kwenye possible evection nimeiipenda, hajaonyesha kupanic, ameendelea kusmile. Hata wakati tangazo la eviction lilikuwa linatolewa alikuwa very composed, safi sana watu wengi walikuwa wanategemea atakuwa natetemeka lakini aaah wapi. Kelvin hakuonyesha ushirikiano, mtoto anampa mkono yeye kama anamuignore hivi. Mastrategist Yacob na Paloma out tuone sasa game linaendaje, kesho Nomination tena, Keil unadhani Eliza ana nafasi ya kupona nomination ya kesho?
 
hello member!🙂

Wewe nawe bana! mbona unaingilia uani? hapa wenzio kiana Keil na Mbogela....wako busy na kina Elizabert bana.....unaharibu atmosphere....!

Welcome on board JF........!
 
Wewe nawe bana! mbona unaingilia uani? hapa wenzio kiana Keil na Mbogela....wako busy na kina Elizabert bana.....unaharibu atmosphere....!

Welcome on board JF........!
Dah,

Mshkaji kafanikiwa kuweka post yake ya pili. Safi, karibu sana mkuu CKABULA
 
Mbogela where r u! Hebu tuhabarishe mambo ya evictions! Nimeona mambo mengi yaliyojadiliwa jana yamekwenda na majii!! Du hiyo maintanance imekula vitu nyingi sana. Mkuu NEXT LEVEL kumbe na huku huwa una pita pita. Ila sioni mchango wako.
 
Nominations: Week 6

Nomination Rules: The house still operates in pairs (comrade in arms) & each housemates is supposed to nominate 2 housemates from different pairs.

This is how it went down......

Quinn: Liz/Kaone & Itai/Nkenna
Liz: Geraldine/Jeremy & Nkenna/Itai
Kristal: Jeremy/Geraldine & Edward/Emma
Elizabeth: Itai/Nkenna & Liz/Kaone
Edward: Itai/Nkenna & Liz/Kaone
Mzamo: Quinn/Kristal & Liz/Kaone
Itai: Quinn/Kristal & Liz/Kaone
Geraldine: Liz/Kaone & Quinn/Kristal
Kaone: Kristal/Quinn & Kevin/Elizabeth
Jeremy: Liz/Kaone & Mzamo/Leonel
Emma: Itai/Nkenna & Liz/Kaone
Leonel: Liz/Kaone & Kristal/Quinn
Nkenna: Quinn/Kristal & Kaone/Liz
& Lastly................................................................
Kevin: Edward/Emma & Liz/Kaone

Total Votes
Liz/Kaone - 11
Quinn/Kristal - 6
Itai/Nkenna - 5
Jeremy/Geraldine - 2
Edward/Emma - 2
Kevin/Elizabeth - 1
Mzamo/Leonel - 1

H/mates up for eviction (before HoH swap)
1. Liz/Kaone
2. Kristal/Quinn (HoH Quinn saves himself and replaces Edward/Emma)

H/mates up for eviction this week
1. Liz/Kaone
2. Edward/Emma
 
Nominations: Week 6


H/mates up for eviction this week
1. Liz/Kaone
2. Edward/Emma

Hii imekaaje? naona wanigeria safari hii wanatafuta kila namna washinde hii kitu. Hii nomination yote imelela SADC.
Liz - SA
Kaone -Bots
Edward - Nam
Emma - Ang
Kura za kaskazini zinategemea ndani wamekaaje, kama mate wa nadani ana bifu na mnorth anapoteza kura. Na pia wa nje watalipiza kisasi kwa nchi zilizotoa watu wao.
Naona, Zim, Malawi, na Msumbiji zitamsave Liz/Kaone
wakati Zambia itamsave Edward/Emma kwasababu ya Emma
 
kama ambavyo wengi walitabiri kuwa baada ya kumtoa Paloma na kuunda pair wanawake watasambaratika, sasa aliyekuwa Msaidizi wa Paloma (Emma wa Angola) anahisi quinn kamswap (Kitu ambacho ni kweli) na amepanick ameanza kulalamika kuwa anaweza akatolewa kwasababu ya kosa la partner.

Alafu kosa la msingi walilonalo ndani wanadhani Nigeria ina nguvu sana toka Kelvin alivyowadanganya kuwa wanahesabu kura za mtu mmoja mmoja basi wanatetemeka wanaogopa kuwanominate wanigeria, wangekuwa na akili wangepiga hesabu ya Miaka yota ya nyuma hata kura zilipohesabiwa ya mmoja mmoja bado NIgeria hawezi kuwa wengi kuliko nchi zilizobaki, hapo wameingia Mkenge!
 
Haka kamuwakilishi ketu kapo makini, leo kamenifurahisha Diary room, kamechangamka na kanaongea kiingereza safi sio cha kuiga na kinasikika vizuri. Nikiangalia kwa haraka haraka nadhani atafika mbali kwani wanaigeria hawatamtoa mate wake Kelvin mapema, na kama wataingia Fainali yeye na Kelvin basi yeye amewin kwani Kusini watampa yeye, ingawa ni mapema mno kutabiri.
http://beta.mnet.co.za/mnetvideo/browseVideo.aspx?vid=19711
 
Leo Kelvin kajitahidi sana kuomba mtoto wa Kitanzania, nahisi Elizabeth aliishiwa maneno akaishia kusema unadanganya, wewe mwongo, kama jamaa akivumilia anaweza akafikiriwa. Lakini Nimependa mtoto ameonyesha ujasiri anamuangalia jamaa machoni, na jamaa alipojaribu kukwepesha macho alimbana kwa kumwambia amwangalie usoni, then Kelvin akata kumsogelea akamwambia kwa lugha nzuri ahaa haa usinisogelee simama hapo hapo, maana alijua akimpa nafasi tu jamaa anaunganisha midomo, jamaa kajaribu kumshika kamwambia hapana ongea na mdomo sio mikono, Ndio maana nampenda huyu mtoto.
http://beta.mnet.co.za/mnetvideo/browseVideo.aspx?vid=19746
 
Nimepita mitaa ya OBOMA na baadhi ya blogs na forums ambazo huwa zinajadili BBA kwa undani, nahisi wiki hakuna tension kama ilivyokuwa wiki ya Paloma na wenzake na pia kama ilivyokuwa wiki iliyopita.

Kitendo cha Nigeria kubakiza washiriki 3 ambao wako kwenye pairs kinawapa advantage na kuingia kwenye finals wote. Kwa mfano Jumapili usiku mkakati ulikuwa ni kuwaangika msalabani Itai/Nkenna na Liz/Kaone then Liz/K1 wangeokolewa na Quinn, lengo likiwa ni kuwachinjilia mbali Itai/Nkenna. Mpango huo ulikwamishwa na Nkenna ambaye aliongea na Geraldine na Itai mwenyewe ili kuwa-nominate Quinn/Kristal na pia Liz/K1. Deal liliiva na likakubalika na kura zikatosha na hivyo Nkenna/Itai wakawa wameponea kwenye tundu la sindano.

Je, baada ya J2, Emma kama atabaki kwenye jumba atawaamini akina Jeremy? Je, Jeremy atajisikiaje baada ya Quinn kusema kwamba alimuweka Emma kwenye target?

Kama pair zitadumu, basi Nigeria watakuwa na advantage japo kuna mgogoro mdogo kwenye pair ya Elizabeth/Kevin ambao wana wanataka kichwa cha Itai ambacho kimeunganishwa na kichwa cha Nkenna, je, ndio kipindi cha kutosana kimewadia?

Nominations za wiki ijayo zitakuwa more interesting kwa kuwa ni wakati wa backstabbing umewadia, hakuna kuaminiana tena. Mfano, Jumapili usiku Quinn alimwambia Leonel kwamba nominations za Jumatatu ni Itai/Nkenna na Liz/K1 then Quinn atawa-save Itai/Nkenna, lakini ilikuwa ni uongo. Baada ya hapo Leonel nae akaenda kukaa na comrade wake, wakaja na new idea ambayo ilikuwa inafanana na na idea ya Nkenna. Quinn aliachwa kwenye mataa na hakujua afanye nini akajikuta anamtosa Emma. Hiyo ndio backstabbing.

Watakaojilaumu sana kwenye hizo nominations na hasa kama watatoka Jumapili jioni ni Liz ambaye alikuwa na uhakika kwamba Quinn angem-save na hivyo alikubali kwamba awe nominated, but strategy ime-backfire na yuko kwenye target. Ngoja tusubiri Jumapili ni nani watatoka.

Kura za maoni Oboma forum zinaonyesha kwamba Emma na Eddie wanaongoza. But hizo ni za forum tu na hazina uhusiano na zile zinazopigwa na watazamaji wote wa Afrika.
 
Leo Kelvin kajitahidi sana kuomba mtoto wa Kitanzania, nahisi Elizabeth aliishiwa maneno akaishia kusema unadanganya, wewe mwongo, kama jamaa akivumilia anaweza akafikiriwa. Lakini Nimependa mtoto ameonyesha ujasiri anamuangalia jamaa machoni, na jamaa alipojaribu kukwepesha macho alimbana kwa kumwambia amwangalie usoni, then Kelvin akata kumsogelea akamwambia kwa lugha nzuri ahaa haa usinisogelee simama hapo hapo, maana alijua akimpa nafasi tu jamaa anaunganisha midomo, jamaa kajaribu kumshika kamwambia hapana ongea na mdomo sio mikono, Ndio maana nampenda huyu mtoto.
http://beta.mnet.co.za/mnetvideo/browseVideo.aspx?vid=19746
Mbogela naona binti yetu anaanza kukolea na nyimbo za mnigeria aisee mana hata kemia ipo sio kama mwanzo.U can read the bodylanguage!
 
Naona Kevin hakubali kushindwa

"I am almost there!" - Kelvin

Nadhani u-Comrade in Arms umemsaidia sana kujiweka jirani na binti. Nimemsikia Emma akisema kwamba mbali kwamba Kelvin akibanwa angle na akaambiwa achague wa kumtosa basi lazima amtose Emma, na wala hawezi kulaumu. So inaonekana mambo yanamnyookea kijana, si ajabu anaendelea kuomba Comrade in Arms iendelee zaidi na zaidi.
 
Is Elizabeth a Strong Contender in the house?

Leo nimemsikia mara mbili mwakilishi wetu akisema kwamba baada ya eviction ya Jumapili iliyopita housemates wanamuona Elizabeth kama threat. Alisema hayo wakati akiwa anaongea na Kelvin na Emma kwa nyakati tofauti.

Ninaogopa sana hiyo attitude kwa kuwa inaweza kumvimbisha kichwa na akajiona yuko strong na kumbe alikuwa kwenye pair ambayo ina afadhali, kama players wangekuwa wanaondoka individually basi siku hiyo wangetoka Elizabeth na Yacob.

Tuendelee kuomba kwamba comrade in arms iendelee kwa wiki 2 zaidi kwa kuwa yuko kwenye pair ambayo ina advantage ya 3 Nigerians na pia Kelvin ni strong contender, pia Kelvin yuko close na washiriki wengi ingawa kwa sasa ni kipindi cha backstabbing kwa hiyo trust ni ndogo sana.
 
Leo Elizabeth na Kelvin wampeta publicity nzuri na watazamaji, na inaonekan mtoto anazidi kukolea kwa jamaa ingawa kuan watu wengi nje wanamuona amemuwekea usiku Kelvin too much wanasema hata Eliza anampenda Kelvin ila anaogopa Kamera kwa hiyo, lakini wengine wanasema ameonyesha uafrika halisi wa kumpa mwanaume mtihani wa kujieleza na kukushawishi hasa, usiku wa jana walilala kitanda kimoja, sijui hayawi hayawi au ndio Kelvin ataishia kunawa tu
 
Is Emma making a right move?

Emma wiki hii yote machale yanamcheza, hana amani anahisi kwamba Quinn alim-swap na kwa bahati nzuri hisia zake ni sahihi kabisa.

Jana jioni Emma na Elizabeth wameunda a kind of informal alliance ya hizo pairs 2, kwa malengo ya nominations and other strategies. Binafsi ninaiogopa hiyo alliance kwa kuwa lazima itakuwa kubwa ukilinganisha na pairs zilizobaki humo ndani.

Alliance hiyo lazima iwahusishe Jeremy, Kelvin na Ed kwa upande wa wavulana. Kwa upande wa wasichana lazima iwaguse Nkenna, Geraldine, Emma na Elizabeth. Tatizo ni ugumu wa makubaliano kwamba nani atoswe kwa kuwa kila mmoja ndani ya alliance ana atachments kwenye couples nyingine. Ingekuwa ni mtu mmoja mmoja ingekuwa rahisi sana. Vinginevyo tunaweza kushuhudia another strategy iki-backfire kama ilivyokuwa Jumatatu kwa Liz na Quinn.

Kunapokuwa na attachments pembeni lazima kuna info zina leak na ziki-leak ni rahisi pairs nyingine ku-counter strategy na alliance inajikuta iko kwenye mawe kwa kuwa lazima at the end of the day wa-sacrifice members wao.
 
Back
Top Bottom