Big Brother Africa Starts this way......!!!!

KasomaJr

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
367
Reaction score
141
As previous reality show on big brother Africa, we expect much of Nudity, heavy drinking, Smoking and all kind of stuffs....what do we learn out of all these?
"Haugen aged 37, Ghana-House mate"She is the Chief Executive Officer of a Multimedia company and owns Aphrodisiac Night Club.
 

Attachments

  • confghana.jpg
    8.4 KB · Views: 383
Nafikiri ni entertainment hivyo lazima kuwe na drama lakini pole yao mie napenda privacy nikiwa bafuni au chooni lol:smile-big::smile-big::smile-big:
 
I like the Ernest boy from Uganda already....he seems sweet and fun to be with and the Mumba girl from Zambia....can't wait for the Tanzanian girl....:A S 39:
 

Its a game...i do not think we should learn much from it....we can just have fun and not judge them....
 
Walitudanganya eti mwakilishi wa Bongo ni BHOKE wa EATV connect kumbe ni lotus sijui yule wa kipindi cha NIRVANA agrrrrrrrrrrr halafu kateleza kwenye tiles pale jukwaani hahahahahah nooooouma!!!
 
Walitudanganya eti mwakilishi wa Bongo ni BHOKE wa EATV connect kumbe ni lotus sijui yule wa kipindi cha NIRVANA agrrrrrrrrrrr halafu kateleza kwenye tiles pale jukwaani hahahahahah nooooouma!!!

pole yake....nimemuhurumia kweli kuteleza pale....go go Lotus....
 
walitudanganya eti mwakilishi wa bongo ni bhoke wa eatv connect kumbe ni lotus sijui yule wa kipindi cha nirvana agrrrrrrrrrrr halafu kateleza kwenye tiles pale jukwaani hahahahahah nooooouma!!!

poor swithat! I hope hajaanguka!
 
looks like there are two entries from Tanzania
:eyeroll1:
 
Mi nampenda BHOKE, Huyo Lotus kaharibu kipindi cha Nirvana kazi yake kupayuka payuka. She's so lousy!
 
Believe it representative wetu bigbrother ni mapepe ajabu. Alijaribu kukimbia na high heels jukwaani baada ya kuojiwa na ik na akateleza jukwaani.
 
kazi kweli kweli, nona na Bhoke kainngia nasubiri kuona itakuwa kazi kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…