Big Brother Africa Starts this way......!!!!

Big Brother Africa Starts this way......!!!!

Walitudanganya eti mwakilishi wa Bongo ni BHOKE wa EATV connect kumbe ni lotus sijui yule wa kipindi cha NIRVANA agrrrrrrrrrrr halafu kateleza kwenye tiles pale jukwaani hahahahahah nooooouma!!!
hawajadanganya wapo wawili bhoke yupo na lotus be connected my friend face na twitter
 
Tanzania ina wakilishwa na warembo wawili yani Lotus na Bohke kwenye BBA. Tunawatakia kila la heri kwenye shindano hili.:smile-big:
 
attachment.php

Sasa kwa nini kavaa hicho kitu cheusi, si angetoa tu kabisa
 
Kumbe tunawakilishwa na mabinti wawili!
 
kwa nini tanzania imepeleka mabinti wawili? ss ndi tuna wanawake wengi nini duniani
 
sasa huyo mghana, kama kwenye lyf yake ya ukweli tu anaweza kaa uchi hivyo, je life hii ya uongo ya bba atashindwa chojoa na kufanya mambo ya ajabu zaidi??
 
sasa huyo mghana, kama kwenye lyf yake ya ukweli tu anaweza kaa uchi hivyo, je life hii ya uongo ya bba atashindwa chojoa na kufanya mambo ya ajabu zaidi??
akichojoa tu watu wanapiga
 
Back
Top Bottom