Big Match: Arsenal FC vs Chelsea FC

Big Match: Arsenal FC vs Chelsea FC

Busi leo lina pancha nazani.
Ila mimi hii gem sijaangalia nafatilia tuu matokeo.
Vipi leo hawajalipaki kweli?

wapaki wasipaki ni sawa tu so long as wanachezea kichapo
 
Hahahah laaaazma kuna nyumbu..... cute b na everlenk ndo watia gundu wakuu wa game za Arsenal.....thijui wameshindwa kuroga leooooo??!!! hahahah

Hahahahaaaaa wamechapwa leo.
Nataman nione mou alivyo ning'inza mashavu
 
Last edited by a moderator:
ImageUploadedByJamiiForums1438531268.109062.jpg
ImageUploadedByJamiiForums1438531330.791157.jpg
 
Hongera the gunners, sasa huku mtaani tutaishi kwa amani maana kelele zote mmezikata
 
Back
Top Bottom