hapana, litakua limebeba konokono na nyumbu
Busi leo lina pancha nazani.
Ila mimi hii gem sijaangalia nafatilia tuu matokeo.
Vipi leo hawajalipaki kweli?
Arsenal hawezi ifunga Chelsea yule mzee anataka kufa na pressure bure
Matokeo wadau,wengine hatujaangalia mechi.
Woyoooooo mech imeishaaaa
Hahahahaaaaa wamechapwa leo.
Nataman nione mou alivyo ning'inza mashavu
Naona igizo limeisha au sijui ndio limeanza.......Mou.. sikuwahi kufungwa na Arsenal.. Siku nkifungwa ntaona ni maigizo...
Yatakuwa kama kaweka mapapai leo......tumsikie ataropoka nn kesho
Naona igizo limeisha au sijui ndio limeanza.......
Wew nyamaza tusikie majirani zetu hapa kwanza watajiteteaje
Upuuuzi sana leo