Big Match: Simba 0 - 1 Azam, Lamba lamba waondoka na mkia wa mnyama

niache ujinga kwasababu nimetaja yanga? na kwa huyo boko, kwani Juma nyoso hakumpiga kidole hadharani na yeye hakurusha hata kofi tu....mwanaume gani anaweza kuwa hivyo? ningekuwa mimi ndo kocha ningemweka benchi kuanzia siku ileile.
Kaka we itakua sio mtu wa mpira.... Bora hata ingekua ndondo hicho ulichotaka kitokee kingetokea. Ila unajua kingetokea nini kwa timu yake kama angepewa red card (na ndio lengo la Juma Nyosso)? Pamoja na utukutu wa Rooney au Balotel umeshawahi kusikia wamepigana uwanjani?... Unahisi Boko ndio wakwanza kufanyiwa hicho kitu?
 
Kuna kitu hakiendi vizuri Simba kwa sasa naona viongozi wameridhika tu na hali hii.Kwa matokeo haya Yanga sasa inapiga indicator kesho kushika uongozi wa ligi.Simba rekebisheni kasoro iliyoonekana kwa muda sasa ubutu wa washambuliaji.
Simba Leo wameniganya nijute kwenda kucheki gemu hii pimbi kweli hawa ukweli inauma kutoka point nane mpk kuonekana wanajotoa kwenye mbio na hapa tutakuwa kama tumefungwa na yanga
 
Simba tumepigwa kihalali kabisa,tulieni acheni ubishi.Omog hana jipya mbele ya Azam,wanajua kila mbinu yake.Kama tunataka ubingwa ni wakati wakushinda mechi zote ikiwemo ya yanga.
 
Mmeipenda wenyewe, ndii ndii chaguo lenu wenyewe ndii ndii wacha waisome 1 2 3 4....
 
Bado yeboyebo nishamaliza kazi kwa Simba asiyeng'ata...tunafukuza mwizi kimyakimya
 
Simba Pumzi imeshakata.
Kwa mchezo huu hata nafasi ya pili hawezi kuipata.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…