BABU KIZEE
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 452
- 72
Hivi wakuu kuna kauli moja imetolewa kwa walimu kuhusu big results walimu wanatakiwa kufahulisha wanafunzi katika kiwango cha asilimia 60 % kwa fomu 2 na four 4 kutokana na kupandishiwa mshahara mnaonaje suala hili walimu uwanja wenu tililikeni .