BABU KIZEE
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 452
- 72
- Thread starter
- #21
Kwa nilivyoielewa mimi big results si kwa elimu tu ni mpango wa dhaifu kwa wizara 5 elimu, afya, kilimo, miundo mbimu na ya 5 nimeghafilika kuikumbuka. Kwamba kila wizara tajwa inatakiwa kupandisha malengo yake ya utendaji na kufikia ufanisi wa hali ya juu wa 60 percent kwa mwaka huu na kuendelea. Haiusiani na kuongezwa mshahara. Sbb mshahara kuongezeka ni kwa watumishi wote si walimu tu.
Sasa basi ufanisi katika elimu unaonekana katika ufaulu wa wanafunzi that is obvious, na kwa wizara nyinngine pia inategemea nini kinapima ufanisi huo kuonekana umekuwa kwa percent hiyo.
Turudi kwenye elimu...wameweka mikakati mingi sana sna kwenye hiyo kauli mbiu yao..walichokosea hawakuwashirikisha wadau wa 3 muhimu sana katika malengo yao hayo mzazi, mwalimu na mwanafunzi kwa mapana yake na marefu yake.
Pili mazingira ya kuifanya hiyo big results ni yale yale. Mishahara duni kwa walimu, mazingira magumu ya kufundishia na yakusomea, vikwazo vya kisiasa katika taaluma hasa kwa hawa madiwani na watendaji kata, gap kubwa ya kielimu kati ya watoto wa viongozi, walionacho na wasio nacho. kutokuwa na usawa katika kutahini watoto...i mean wale waliofundishwa katika mazingira mazuri sna na kuwa na walimu wa masomo yoote na facilities zote wanatahiniwa sawa na wale walio katika mazingira dunii ya kusomea bila walimu wala vitendea kazi.
Na madhaifu mengine meengi one can help kuyaorodhesha
Walikuw na malengo mazuri but wamechelewa sana and they DID NOT THINK BIG at ALL.
hii serikali wanatufanya walimu kama punda kututwisha mzigo mzito husio bebeka sijui walimu wanatuonaje.