Big Sunday live

Big Sunday live

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Jana mmenikosha Sana kwenye hii show ya big Sunday live kumuona comedian wangu ninayemkubali Sana deogratius wa cheka tu jamaa anajua kuchekesha Sana.Kwa faida ya wale wasiojua kuhusu show ya big Sunday live Ni show inayorushwa kila jumapili kuanzia saa 3 usiku Wasafi tv live pia wanarusha Instagram, YouTube na Facebook live kina uhusiana na entertainment kiujumla include baadhi ya guest au some audience kupewa challenge mbalimbali, Performance ya Wasanii, Comedians,watu wa mazingaombo,Dancers,Michezo ya sarakasi n.k.


Linah
Nimependa Sana performance ya linah Jana was classic ubunifu aliyotumia na uwezo wake wa kuimba na live band
maxresdefault(3).jpg

Pia nimependa interview yake kwa ujumla.
maxresdefault(2).jpg

Hapo ameperform akiwa kitandani
maxresdefault(1).jpg
maxresdefault.jpg

Linar akapewa challenge ya kupiga danadana 10 ila kajitahidi kapiga 3.

OMG
Kiufupi wasanii wote walikuja kuperform vizuri wameitendea haki stage pamoja na rap vizuri Sana na live band.Nimependa Young lunya alivyopewa challenge ya kurap kupitia beat ya bolingo wakati yeye anaimba bongofleva na kaitendea haki Sana amenishangaza Sana jamaa kweli anakipaji kikubwa.
maxresdefault.jpg

Hapa wakiingia na gari.

Chid Benz
Huyu ndio aliua kabisa na kuangamiza kabisa na ndio alikuwa man of the show kiasi ambacho audiance wote wakaacha siti zao na kumfuata kwenye stage.Jamaa akipiga tu ngoma yake ya "Dar-es-Salaam stand up" aachi mtu salama.Ifike kipindi chid Benz apewe heshima yake.

NB: Nitoe pongezi Wasafi kutuletea show Kali Kama hii kwa sisi ambao Ni watu wa Burudani.
 
Wamejitahidi sana,,,wako vizuri saaaaaaana,,stage, wasanii wa hip pop wananata na beat balaa..Bila kumsahau content creater DIAMOND PLATNUMZ yuko vizuri kwenye kubuni vipindi,nadhani ndo kipaji chake kingine hicho..OMG,CHID BENZ ,LINNAH, YOUNG LUNYA plus comedian wamefanya balaaa
 
Siwasifii bado.

Nahitaji kuona audience tofauti.

Wanachuo tu hawana maana. Waende kitaa.
 
Tv stations na radio za bongo ni mafundi wa kuiga vipindi vya stations za Marekani. Wanachofanya ni kubadilisha majina
Upo sahihi kwa ujumla lakini kipindi cha big Sunday live kipo tofauti na kipindi chako kuanzia setting design,content kipindi hiki kinahusisha all entainment ikiwemo comedian,sarakasi,challenges n.k tofauti na kipindi chako.Jambo la pili stage ilivyoundwa kiasi ambacho unaweza kuingia na gari, pikipiki.Jambo la tatu performance ya msanii inaanzia from the back stage je hiko kipindi chako kina hiv vitu vyote?
 
Duh aiseee bora niangalie anaconda kuliko hao walamba lips
 
Back
Top Bottom