Big-Time Investors Pump in $4.250bn

Hujajibu ulichoulizwa,ni hivi,explain 70+GDP in details,ilivyopatikana,not such simple explanation ur giving.
 
You get my point now of all what I n Ndii have been saying about my doubt on ur figures.
Having more FDI creates the impression that your country has lots of investments , you can easily use that to attract more investment, why would GoK declare less FDI , that would't make sence when you all know Kenya never misses an opportunity that gives us a better perception in the community of nations
 
And malnutrition
Tanzania, the country with plenty of fertile land!
Mulnutrition and undernutrition causes stunted growth..

Stunted growth, also known as stunting and nutritional stunting, is a reduced growth rate in human development. It is a primary manifestation of malnutrition (or more precisely undernutrition) and recurrent infections, such as diarrhea and helminthiasis, in early childhood and even before birth, due to malnutrition during fetal development brought on by a malnourished mother. Stunted growth - Wikipedia


This is UNICEF's profile of Tanzania


Tanzania has made striking progress in many health indicators over the past decade, but not nutritional status.
Stunting currently affects 42 per cent of under five children, and is only a two percentage points lower than it was five years ago. The burden of stunting in Tanzania ranks third in Sub-Saharan Africa, after Ethiopia and the Democratic Republic of Congo.UNICEF Tanzania - Nutrition - Overview


------------- Tibu chongo kabla utuambie sisi ni kengeza
 
Mkuu una PhD? Kama huna changamkia hiyo fursa mapema..

Hayo maswali yako ni fikirishi sana.. Unatoka na Thesis moja bomba sana
Mkuu hata chuo kikuu sijakanyaga zaidi ya kupita na daladala nikielekea changanyikeni, ila nipo mbioni kuongezea maksi zitakazoniwezesha kuanza degree ya kwanza mwakani au mwaka 2019.
 
Geza ulole, mimi humu jamvini ni mgeni, japo nilikua ninafuatilia malumbano kwa zaidi ya miaka miwili nyuma, ila kutokana na majukumu sikuweza kujiunga, nimejiunga mwezi August, mwaka huu, kwa hiyo sijajua mambo mengi, kama hilo la kumtag mtu, ama kuwka video clip, au kuweka link, nitaomba unisaidia katika hayo, ninapatikana kwa whatsapp 0715317003.

Kwa kipindi chote nilichokua ninafuatilia malumbano kwa hiyo miaka miwili, kuna mambo nimegundua
1) Watanzania wanaijua zaidi Kenya, kuliko wakenya wanavyoijua Tanzania, hii ni kwasababu wakenya wanaandika na kutangaza kila kitu kinachotokea nchini mwao kuliko Tanzania wanavyoandika
2)Kutokana na hiyo sababu ya kwanza, wakenya bado wanamawazo ya Tanzania ile ya 1990, inakuwa ngumu kuhamisha mawazo kwa haraka na kuyaleta 2017
3)Majadiliano mengi yanatawaliwa na uzalendo zaidi na kuliko kutumia rational thinking. Hili ni tatizo la waafrika wengi, kitu kikiandikwa au kusemwa na mtu, aushirika fulani, sisi hatuwezi tena kulifanyia in deep analysis, tunalifanya kama ni neno la Mungu
 
Tony254, bado ninaamini kwamba, wewe ni miongoni mwa wakenya humu jamvini ambao wanauwezo wa kujenga hoja, mimi sijakataa hizo taarifa za IMF wala zingine zozote, mimi ninataka kutumia taarifa za data alizoziweka Kafrika kuonyesha kwamba gap linaongezeka kati ya Kenya na Tanzania, nikasema tuanzie hapo hapo 2010, tulitafute hilo gap, na nikatoa five options ambazo kama kweli hilo gap linaongezeka basihuenda hivyo vitu vitano vinachangia.

Kuna maneno mengi yametolewa na watu na mashirika mbali mbali yanayodhani kwamba Kenya inatoa taarifa zisizosahihi kwa IMF na WB juu ya ukweli kuhusu ukuaji wa uchumi wake ili kuvutia mitaji, hili hatuwezi kulikubali au kulikataa moja kwa moja, ndiyo sababu nikasema twendeni taratibu kuona ni vipi GDP ya Kenya ilivyofikia $70B mwaka 2016 kutokea $40B mwaka 2010, ongezeko la 80% ndani ya miaka sita ni kitu cha kuigwa duniani kote haijawahi kutokea, kumbuka rebasing ilipandisha kwa 25% Only, tafadhali sana tujulisheni mlifanyaje hesabu zenu hadi mkafika huko, tunataka kujifunza best practices katika hili,
 
Kwanza ninakupongeza kwa kuona kwamba hesabu za GDP sio kitu cha kuimba sana, kuna vitu vinavyoingiza pesa zinazofanya hiyo GDP iwe kuwa, GDP ni economic prevalence while those tributaries of GDP are termed as economic incidences.

Sasa ni muhimu sana kuzizungumzia kwa undani hizi tributaries za uchumi kati ya hizi nchi mbili, hii itatusaidia kuona nani anafanya vizuri maeneo gani ili mwengine ajifunze, katika kupitia hizo tributaries ni lazima kuwe na takwimu zinazo support hivyo, tena data za karibuni ikiwezekana.

Sasa niwakaribishe wachangiaji wa kila pande wataje maeneo ambayo wanadhani ndiyo hasa yanachangia kukua kwa uchumi wa nchi yao ili tulinganishe na tuone hali ya uchumi unavyoelekea.
 
What is more important than what they pump in, is what they pull out.

Can this number be divulged?
 
Asante sana kwa maswali yenye kufikirissha sana chifu. Haya naona wanabukua nondo huko ngoja tuwasubirie maelezo yao
 
Ningependa kuendelea na huu mjadala lakini leo ndio siku yangu ya mwisho hapa Jf. Niko busy lakini wacha nikupe link ya knbs na unaweza kupata GDP ya 2016 kisha uangalie each sector. Kwa mfano unaeza angalia construction sector ilikuwa kwa kiasi gani na ina worth ya pesa ngapi. Unaweza angalia manufacturing sector na kadhalika. Na itanichukua muda kukaa chini kuandika kila sector in pesa ngapi na imekua kwa percentage ngapi ndio maana nimekuekea link usome. Otherwise itakuwa ni kama naandika thesis na itachukua muda.
Gross Domestic Product (GDP) - Kenya National Bureau of Statistics
 
This forum, and specifically this discussion,should be for learning best practices from each other, stop being protective because that shall restrict your critical thinking ability at the end, do you what to show us that FDI is bad compared to projects which are government loan funded?, do you want people here to start teaching you this simple topic, really?
 
Kabla hujatukimbia katika huu mjadala, na kabla hatujauanza, vipi kuhusu GDP ya $70B ya mwaka 2017, tumeifikiaje kutokea $40B mwaka 2010, na rebasing iliongeza 25% mwaka 2014, please tujulisheni msiwe wachoyo tunataka kujifunza kutoka kwenu tafadhali sana
 
While one brother is making more money, the second brother is increasing the speed of spending money
Hiyo twelve U$ bil ni pamoja na mikopo ya ndani na nje so dont lie Tanzania wea are serving our neighbour Kenya spent what they peoduse compare d to us
 
Hiyo twelve U$ bil ni pamoja na mikopo ya ndani na nje so dont lie Tanzania wea are serving our neighbour Kenya spent what they peoduse compare d to us
Ninahisi mjadala huu ni heavy duty kwako, kuna mijadala mingi sana kule kwenye majukwaa ya watanzania itakufaa zaidi.
 
Here is the thing, your mixing so many things until you forgot what your saying. Just refer to definition of FDI maybe even in Wikipedia.

In short, Kenyan dept and FDI somehow are two separate things but at the same time are connected. When the gov acquire a loan from foreign sources in order to stimulate the economy, that loan is part of foreign direct investment. But in order for that loan to appear on FDI index, the project has to be up and running. Loans and bonds are calculate in the beginning the moment the funds are secured, but FDI they have to wait until the assets are fully functional. This is where rebasing comes in. When Dangote build his cement factory we didn't put that on our FDI list straightaway, it was calculate after the factory was operation. Same as Kenya SGR loan, at moment you'll see it on the loans list but down the line when the project is fully functional, they will have to rebase the numbers and add those billions into the investment pot and hopefully expand the GDP.
 
si kwa ubaya but nadhani ungepitia hio link umepewa hapo juu kutoka kenya national bereau of statistics ungepata jibu fasaha la swali laki..sidhani kama ni haki kumwambia tony254 akufafanulie hatua baada ya hatua,kila senti ilivyokuja tangu mwaka wa 2010 hadi 2017 kwenye sekta mbali mbali zinazoongeza gdp
 
Huko nilishapitia, sikupata jibu, jana mimi na yeye tulipiga hesabu ili kuona hiyo namba ilifikiwaje tukashindwa kuipata, na yeye ni shahidi, kama wewe utakuwa na maelezo ya kutosha tusaidie, kwamba mwaka 2010, hizi nchi zilikuwa na GDP $40B kwa Kenya na uchumi umekua kwa wastani wa 5.5% kwa mwaka, ilipofika mwaka 2014 kulifanyika rebasing iliyopandisha uchumi kwa 25%. Tanzania, GDP $31B, mwaka 2010, uchumi umekua kwa wastani wa 7%, rebasing 2015 ilipandisha uchumi kwa 32%, piga hesabu hadi 2016, GDP za nchi hizi zitakua ngapi?, cha kushangaza kwa Tanzania hesabu zinakubaliana na GDP ya sasa, kwa Kenya haziendani, ukitaka ufafanuzi unapewa links ili ujitafutie mwenyewe, je kuna nini nyuma ya pazia?
 
Mauzo yao ya chai largest export yao huwa yanasua. Jubilee imewaweza...
 
And how is Kenya faring in ranks as far as statistics around Africa are concerned? Is KNBS reliable compared to NBS Tanzania ? Swali lianze hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…