Big up crdb kwa simbanking

Big up crdb kwa simbanking

Hakeem makamba

Senior Member
Joined
Apr 15, 2011
Posts
123
Reaction score
41
Ebwana me nawapa Big up sana CRDB kwa huduma yao mpya ya SIMBanking kwani ni ya ukweli kinoma. Haina mambo ya kujiunga kwa fomu na makaratasi kibao coz kitu ni hewani tu, unatwanga *150*03#, kitu na box.

Me naikubali zaidi coz ina mpango mzima wa kuweza kutoa mkwanja kwenye akaunti yangu na kulipa M-PESA, AIRTEL-MOney fasta.Kiukweli hii imefanya maisha kuwa rahisi sana.

Pamoja Sana CRDB.
 
Nimeitumia kwa muda wa wiki tatu sasa, naona iko poa.
 
Nilitaka kujiunga na CRDB siku za nyumba lakini niliamua ku-cancel forever wazo hilo baada ya fedha nyingi za UFISADI hasa wa EPA kuonekana zilipitia CRDB. Hadi benki ya Wakenya KCB walistukia dili la EPA na kukataa baadhi ya fedha kupitishwa kwenye benki yao lakini benki 'yetu' CRDB ilikubali uchafu huo.

Nadhani badala ya kusifia kila kitu kuna haja sasa ya sisi wananchi kuzisusia taasisi za kibiashara zitakazoonekana ku-support ufisadi kwa njia moja ama nyingine IWE KWA KUJUA, KUTOKUJUA, AU KWA BAHATI MBAYA hata kama watatoa huduma nzuri namna gani! In the long run ni sisi wananchi ndio tutakaoumia kwa vitendo vyao. Ni wajibu wao kuhakikisha hilo halitokei.
 
Yes Iko ok sana, mara ya kwanza nilitumia CRDB SimBanking ya internet ilijuwa inazingua sana. Hii message based is brilliant. Tatizo ni MIJITU YA TIGO siku zote yanakuwa ya mwisho kupata treni za mabadiliko. Otherwise thumbs up CRDB.
 
wameiga kwa nmb.....mwanzoni walijifanya wajanja wakaja na ile simbanking ya web-based...walipigwa fraud consecutive mpaka wakadata ikabidi wawe wapole tu....ile system iliyopita hata miaka miwili haina, alafu ina limitations nyingi sana, simu ili iweze kuaccess simbanking ilitakiwa iwe inasupport gprs sasa hapo ndo balaa, yani umwambie mtu aitupe simu yake ya tochi then anunue simu itayokua na gprs for simbanking??? basi ikawa imeshindikana ikabidi wabadilishe the whole system, badala ya kutumia wap sasa ni ussd....so big up to NMB for initiating this idea....simple technology affordable and user friendly....

CRDB IT project team should resign.....wameiingiza bank kwenye matumizi yasiyokua na lazma.....walichoki-implement sasa wangeweza kuki-implement two years back...

sisi wanahisa tunataka kujua nani atacover ile hela iliyotumika kununua ile simbanking nyingine??
 
Juzi nilisaau kadi yangu ya TemboCardMasterCard nyumbani, wakati huo pia nina shida na pesa, ikabidi nihamishie pesa kwenye akaunti ya mshkaji kupitia njia ya Simbanking. Kisha yeye akauchota kwenye akaunti yake palepale na kunipa, pale! pale!. Du! Simbanking ni kiboko, Sijaonaga. Saaaaaaaafiiiiiiiiiiii!
 
Tunaposifia, inabidi tuhoji Gharama zinazomkuta mteja kwa kutumia hizi huduma za kibenki...
Tanzania ni moja kati ya nchi chache sana zinazoentertain ujangili wa wazi wazi...
CRDB na bank zote, hawadisclose cost ambazo mteja atakuja kuencur iwapo atatumia huduma hizo/zao... Kwa mfano, kwa mwezi service charge sh 1500, kutoa pesa kwenye atm 600 per transaction, kuangalia salio sh 50, kuprint mini statement kwa atm sh 300... Sasa kama benki ina wateja milioni moja tu, kwa mwezi inajipatia 1500x1,000,000 na kama katika wateja hao milioni wateja laki moja wakitoa pesa mara 10 kwa mwezi, hizo ni 100,000x10x600...
Hapo hapo banks zina queue za ajabu, staff wenye viburi, mikopo masharti magumu kupita maelezo, riba asilimia 18 kwa hela wanazovuna kwetu wenyewe, hakuna magawio ya maana kwa shareholders nk...
Sasa hii sim banking inayointeract m-pesa na airtel money sijui itakuwa charge yake sh ngapi kwa transaction...

Hizi ni benki zote nchini. No wonder nchi masikini kama hii ina banki zaidi ya 40... Na hakuna financial regulator ambaye ni accountable....

Nina mpango wa kuanzisha movement kubwa sana ya kupinga bank charges...

Mungu ibariki tanzania... Mungu waangamize mafisadi na wanyonyaji.
 
Ebwana me nawapa Big up sana CRDB kwa huduma yao mpya ya SIMBanking kwani ni ya ukweli kinoma. Haina mambo ya kujiunga kwa fomu na makaratasi kibao coz kitu ni hewani tu, unatwanga *150*03#, kitu na box. Me naikubali zaidi coz ina mpango mzima wa kuweza kutoa mkwanja kwenye akaunti yangu na kulipa M-PESA, AIRTEL-MOney fasta.Kiukweli hii imefanya maisha kuwa rahisi sana. Pamoja Sana CRDB.
Mbona inazingua kwenye kujisajili,mfano unapo weka namba ya siri ya ATM alafu inakwambia weka namba yako mpya ya siri,alafu hakikisha namba yako ya siri .mwisho unapata ujumbe (umekosea Namba ya siri ATM au namba ya kadi ya ATM).Ninavyo fahamu mimi namba ya kadi ya ATM ni namba yenye tarakimu 16 ambayo inapatikana kwenye uso wenye picha kubwa ya Tembo ,chini ya chip (gold),na namba ya siri ya ATM ninamba ambayo naitumia kwenye ATM ,Sasa mesegi nimekosea namba ya kadi ya atm au namba ya siri ya atm inatokana na nini?
 
Mbona inazingua kwenye kujisajili,mfano unapo weka namba ya siri ya ATM alafu inakwambia weka namba yako mpya ya siri,alafu hakikisha namba yako ya siri .mwisho unapata ujumbe (umekosea Namba ya siri ATM au namba ya kadi ya ATM).Ninavyo fahamu mimi namba ya kadi ya ATM ni namba yenye tarakimu 16 ambayo inapatikana kwenye uso wenye picha kubwa ya Tembo ,chini ya chip (gold),na namba ya siri ya ATM ninamba ambayo naitumia kwenye ATM ,Sasa mesegi nimekosea namba ya kadi ya atm au namba ya siri ya atm inatokana na nini?
fuata masharti vizuri ni huduma nzuri tu na rahisi kujiunga pia inaokoa muda wa kwenda kwenye tawi mbali unapoteza mafuta kuchukua elfu 50, simply unahamisha hela toka kwenye akaunti na kupeleka m pesa unatoa nje tu ya nyumba yako. Unasave costs za mafuta kutoka kwa mtogole mpk CRDB kijitonyama kwa sh 200 tu
 
wameiga kwa nmb.....mwanzoni walijifanya wajanja wakaja na ile simbanking ya web-based...walipigwa fraud consecutive mpaka wakadata ikabidi wawe wapole tu....ile system iliyopita hata miaka miwili haina, alafu ina limitations nyingi sana, simu ili iweze kuaccess simbanking ilitakiwa iwe inasupport gprs sasa hapo ndo balaa, yani umwambie mtu aitupe simu yake ya tochi then anunue simu itayokua na gprs for simbanking??? basi ikawa imeshindikana ikabidi wabadilishe the whole system, badala ya kutumia wap sasa ni ussd....so big up to NMB for initiating this idea....simple technology affordable and user friendly....

CRDB IT project team should resign.....wameiingiza bank kwenye matumizi yasiyokua na lazma.....walichoki-implement sasa wangeweza kuki-implement two years back...

sisi wanahisa tunataka kujua nani atacover ile hela iliyotumika kununua ile simbanking nyingine??

Yeah, Its TRUE na sasa unalipia hata DSTV ukiwa home,
BILA KUSAHAU PESA FASTA( Huitaji kuwa na ATM CARD kutoa hela kwenye ATM, Hii mtu yeyote anayetaka hela kutoka kwako unampa tu number za siri na kumuambia katoe hela kwenye ATM BILA CARD) CRDB hii naona bado!
 
wameiga kwa nmb.....mwanzoni walijifanya wajanja wakaja na ile simbanking ya web-based...walipigwa fraud consecutive mpaka wakadata ikabidi wawe wapole tu....ile system iliyopita hata miaka miwili haina, alafu ina limitations nyingi sana, simu ili iweze kuaccess simbanking ilitakiwa iwe inasupport gprs sasa hapo ndo balaa, yani umwambie mtu aitupe simu yake ya tochi then anunue simu itayokua na gprs for simbanking??? basi ikawa imeshindikana ikabidi wabadilishe the whole system, badala ya kutumia wap sasa ni ussd....so big up to NMB for initiating this idea....simple technology affordable and user friendly....

CRDB IT project team should resign.....wameiingiza bank kwenye matumizi yasiyokua na lazma.....walichoki-implement sasa wangeweza kuki-implement two years back...

sisi wanahisa tunataka kujua nani atacover ile hela iliyotumika kununua ile simbanking nyingine??

Yeah, Its TRUE na sasa unalipia hata DSTV ukiwa home,
BILA KUSAHAU PESA FASTA( Huitaji kuwa na ATM CARD kutoa hela kwenye ATM, Hii mtu yeyote anayetaka hela kutoka kwako unampa tu number za siri na kumuambia katoe hela kwenye ATM BILA CARD) CRDB hii naona bado!
 
Safi sana...

Naomba vijana waendlee kuwa wabunifu kwenye hii anga ya teknohama...:eyebrows:
 
wameiga kwa nmb.....mwanzoni walijifanya wajanja wakaja na ile simbanking ya web-based...walipigwa fraud consecutive mpaka wakadata ikabidi wawe wapole tu....ile system iliyopita hata miaka miwili haina, alafu ina limitations nyingi sana, simu ili iweze kuaccess simbanking ilitakiwa iwe inasupport gprs sasa hapo ndo balaa, yani umwambie mtu aitupe simu yake ya tochi then anunue simu itayokua na gprs for simbanking??? basi ikawa imeshindikana ikabidi wabadilishe the whole system, badala ya kutumia wap sasa ni ussd....so big up to NMB for initiating this idea....simple technology affordable and user friendly....

CRDB IT project team should resign.....wameiingiza bank kwenye matumizi yasiyokua na lazma.....walichoki-implement sasa wangeweza kuki-implement two years back...

sisi wanahisa tunataka kujua nani atacover ile hela iliyotumika kununua ile simbanking nyingine??

CRDB IT Team should resign kwa kipi hasa? kama product ilishindikana sokoni then wakaamua kuja na nyingine ili kukidhi mahitaji ya wateja hicho ni kitu cha kawaida tu mzee.NMB ndio ina high amount of fraudlents through Pesa fasta, acha kupoteza ukweli, kwani unafikiri hatujui stori za wizi huo? au hatujui wale wanachuo waliofungwa Moshi kwa kuiba through hiyo service?.Hii ni sehemu ya kuelimishana na kujuzana sio ku-criticise tu kama juha.Unamaanisha nn unaposema wameiga NMB? ATM ya kwanza hapa Bongo ililetwa na STanChart kwahiyo unataka kusema Benki nyingine zote zenye ATM wameiga StanChart?
 
Ukishindwa kumkubali m2 kwa uwezo mkubwa alionao, bora kukaa kimya. CRDB wanaweza aisee!!!!. Najua kuna ndugu zako na marafiki zako wako Benki hiyo na wameshajiunga Simbanking. Waulize tu!. Utasema wazee wa pesa fasta wangesubiri wajipange.
 
Yes Iko ok sana, mara ya kwanza nilitumia CRDB SimBanking ya internet ilijuwa inazingua sana. Hii message based is brilliant. Tatizo ni MIJITU YA TIGO siku zote yanakuwa ya mwisho kupata treni za mabadiliko. Otherwise thumbs up CRDB.

Tıgo wana nını?
 
CRDB IT Team should resign kwa kipi hasa? kama product ilishindikana sokoni then wakaamua kuja na nyingine ili kukidhi mahitaji ya wateja hicho ni kitu cha kawaida tu mzee.NMB ndio ina high amount of fraudlents through Pesa fasta, acha kupoteza ukweli, kwani unafikiri hatujui stori za wizi huo? au hatujui wale wanachuo waliofungwa Moshi kwa kuiba through hiyo service?.Hii ni sehemu ya kuelimishana na kujuzana sio ku-criticise tu kama juha.Unamaanisha nn unaposema wameiga NMB? ATM ya kwanza hapa Bongo ililetwa na STanChart kwahiyo unataka kusema Benki nyingine zote zenye ATM wameiga StanChart?
mani
mkuu salama? mie nilikuwa natumia ile simBanking ya zamani. naweza pia ku-switch kwenye hiyo teknolojia mpya kupitia *150*03#, ama? msaada please..
 
Nilitaka kujiunga na CRDB siku za nyumba lakini niliamua ku-cancel forever wazo hilo baada ya fedha nyingi za UFISADI hasa wa EPA kuonekana zilipitia CRDB. Hadi benki ya Wakenya KCB walistukia dili la EPA na kukataa baadhi ya fedha kupitishwa kwenye benki yao lakini benki 'yetu' CRDB ilikubali uchafu huo.

Nadhani badala ya kusifia kila kitu kuna haja sasa ya sisi wananchi kuzisusia taasisi za kibiashara zitakazoonekana ku-support ufisadi kwa njia moja ama nyingine IWE KWA KUJUA, KUTOKUJUA, AU KWA BAHATI MBAYA hata kama watatoa huduma nzuri namna gani! In the long run ni sisi wananchi ndio tutakaoumia kwa vitendo vyao. Ni wajibu wao kuhakikisha hilo halitokei.

Mkuu, watanzania huwa ni wavivu sana kufikiria kitu kama icho. Juzi ilibidi niende bank kuulizia,cha ajabu, help desk officer alishindwa kunieleza gharama halisi, hata nilipomwomba kipeperushi, hakuna gharama yeyote ambayo wameandika kua utachajiwa. Uchunguzi wangu umegundua kuwa hii nayo ni staili ya wizi ulioalalishwa. Kuna charges utakazolipa kutokana na subscriber wa mtandao na kwa bank yenyewe. Ukitaka kujua hilo, usiweke airtime afu uanze kufanya transaction au jisajili ndo utaamini.
 
Tunaelekea tratiiiibu kwenye freemasons kuutawala ulimwengu ifikapo mwisho wa mwaka huu
 
Hivi karibuni nimeona katika ATM zao kuna ishu ya "Cardless" it means unaweza kutoa pesa bila card au hii imekaaje wakuu? i need some info abt it pliz?
 
Back
Top Bottom