Biggest sexual fantasy ya wanawake ni ku-cheat

Movies za kimagharibi ni ajenda za Hollywood na wamagharibi kwa ajili ya mind control...

Hata hivyo kwenye suala la mapenzi na mahusiano mwanaume hutumia akili wakati mwanamke hutumia hisia...

Ukiweza kuziteka hisia za mwanamke, maana yake una walau 90% chance ya kuwa naye kwenye uhusiano uwe ni long term au one night stand...
 
Umenikumbusha series moja ya kifilipino kuna sterring alikuwa anaitwa Daniel

Huyo jamaa alikuwa anang'ang'ania mke wa mtu nikawa simpendi kuna siku nikasema wazi kuwa huyu jamaa simwelew namchukia sana aiseee wanawake wa pale home walinishambulia sana walikuwa wanamkubali sana daniel,wakaanza nisimulia huko mwanzo ilivyokuwa maana wakat inaanza mim nilkuwa chuo

Lakin utetez wao bado sikuuelewa maana daniel alikuwa mpenz wa utoton,mwanamke akaolewa ila jamaa baadae akarud anataka achukue mwanamke ,mwanamke nae akawa anataka kuvunja ndoa eti kisa mpenz wa utoton karud
 

Daniel and Katerina. Walang Hanggan hiyo inaitwa noma sana
 
tiGo je?
 

Nonetheless, the opposite is True.

.Story writers, movie directors and executives promotes cheating (bad behaviour). Hence, social perspective swings to accept cheating as a normal behaviour.

The agenda, specifically from Hollywood, is and has been to normalize abnormal while distorting the normal in the name of freedom and democracy.

...and before we know societies has significantly regressed from the acceptable norms to embrace abomination acts ...!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…