Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado kuna wakuu wa shule miungu watuWanafunzi wa shule ya secondary LUSAHUNGA wilayani Biharamulo hufukuzwa kwenye kipindi cha sayansi na kupewa adhabu ya kuponda kokoto ndoo 3, kwa kosa la kutolipa mchango wa walimu wa ziada shs 13,000/_ he hiyo ndiyo elimu bure
Majungu hayo....toa taarifa sehemu husika....hapo Bihalamuro kuna Mkuu wa wilaya nenda toa taarifa.Wanafunzi wa shule ya secondary LUSAHUNGA wilayani Biharamulo hufukuzwa kwenye kipindi cha sayansi na kupewa adhabu ya kuponda kokoto ndoo 3, kwa kosa la kutolipa mchango wa walimu wa ziada shs 13,000/_ he hiyo ndiyo elimu bure
Tatum wewe ni tahiraMajungu hayo....toa taarifa sehemu husika....hapo Bihalamuro kuna Mkuu wa wilaya nenda toa taarifa.
Umenikumbusha mkuu hata sisi tukiwa pale songea boys miaka flani tulikosa mwalimu wa biology kwa mwaka wote wa form six. Headmaster aliongea nasi kuwa kama tupo tayari atutafitie mwalimu ambaye tutamlipa kwa topic. Tulikubali na tulifundishwa na mwalimu wa kutoka songea girls kwa kumlipa sisi wenyewe.brother achen ungese kabisa achani watoto walipe hyo hela wapate walimu wa masomo ya science watimize ndoto zao
shule nyingi hakuna hao walimu wadogo zetu wanaumia na wakuu wa shule wameamua kukaa kimya kwa kuogopa kutumbuliwa
we unakuja na ungese wako hapa
Nashukuru kwa kunitukanabrother achen ungese kabisa achani watoto walipe hyo hela wapate walimu wa masomo ya science watimize ndoto zao
shule nyingi hakuna hao walimu wadogo zetu wanaumia na wakuu wa shule wameamua kukaa kimya kwa kuogopa kutumbuliwa
we unakuja na ungese wako hapa
Na mimi nakutukana we ni mjinga kabisa...lipa hiyo elfu 13 na sio kulialia ujinga hapa...huyo mwalimu wa science unataka nani amlipe...nenda wewe bhc kafundishe hao watoto bure....mi watu mingine mnakera sana..vitu vidogovidogo mnalialia...Nashukuru kwa kunitukana
AsanteNa mimi nakutukana we ni mjinga kabisa...lipa hiyo elfu 13 na sio kulialia ujinga hapa...huyo mwalimu wa science unataka nani amlipe...nenda wewe bhc kafundishe hao watoto bure....mi watu mingine mnakera sana..vitu vidogovidogo mnalialia...
Huyu mleta mada hajielewi kabisa kwakweli. Suala la upungufu wa walimu wa sayansi ni la nchi nzima na si rahisi kulitatua kabisa hata kwa miaka mitano ijayo. Anapojitokeza mwalimu ambaye anafundisha kwa kuchangiwa na wazazi ni vyema wazazi wakafanya hivyo na sio kulialia.Na mimi nakutukana we ni mjinga kabisa...lipa hiyo elfu 13 na sio kulialia ujinga hapa...huyo mwalimu wa science unataka nani amlipe...nenda wewe bhc kafundishe hao watoto bure....mi watu mingine mnakera sana..vitu vidogovidogo mnalialia...
Atakuwa katumwa huyo mtoa mada.Motisha
We lazima utakuwa mchawi ama unasoma twisheni ya uchawi.Wanafunzi wa shule ya secondary LUSAHUNGA wilayani Biharamulo hufukuzwa kwenye kipindi cha sayansi na kupewa adhabu ya kuponda kokoto ndoo 3, kwa kosa la kutolipa mchango wa walimu wa ziada shs 13,000/_ he hiyo ndiyo elimu bure
Utakuwa unatatizwa na ujana mtu mzima hawezi kutoa matusi kama aya. Unaweza kuwa na hoja nzuri lakini ikaaribiwa na uwasirishaji wako '' Rudi darasani kijana ''brother achen ungese kabisa achani watoto walipe hyo hela wapate walimu wa masomo ya science watimize ndoto zao
shule nyingi hakuna hao walimu wadogo zetu wanaumia na wakuu wa shule wameamua kukaa kimya kwa kuogopa kutumbuliwa
we unakuja na ungese wako hapa