Biiashara nzuri kwa mfanyakazi

Biiashara nzuri kwa mfanyakazi

Gamariel

Member
Joined
Sep 8, 2009
Posts
82
Reaction score
6
Habari za mchana. Ndugu wadau naomba kupata ushauri juu ya biashara nzuri ambayo mtu alieajiriwa anaweza kuimiliki na bado akapata faida bila matatizo yeyote. Nasema hivi kwasababu biashara nyingi huhitaji karibia muda wako wote kusimamia. Wafanyakazi wengi hubanwa na shughuli za mwajiri hivyo hushindwa kuendesha biashara zao. Mawazo yenu tafadhali asanteni
 
Wazo
1.hacha kazi jiajili
2.Network marketing may be?
3.kopesha kwa liba
4
 
unaweza ukaanzsha biashara ya bodaboda,its so cmple na yenye faida sana.
 
Back
Top Bottom