bikira kweli au yakutengenezwa!!!?

geek jo

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2011
Posts
1,134
Reaction score
1,144
Hi.

Inasemekana kuna bikira za kutengeneza kwa wakina dada kwa kutumia dawa na jinsi nyingine tofauti!! je utazibaini vp tofauti ya hizi bikira??? maana ninamashaka na niliyomkuta nayo mchumba wangu!! ya ukweli au ndio kaniuzisha chaka nitangaze ndoa fasta?

Wajanja wa mujini nisaidieni jamani.
 
Unaamini bikira inatengenezwa wewe? kama huamini ujue hamna kitu je ulijuaje hana...acha ngono fungeni ndoa kwanza unataka tukuelekeze uhuni kamuulize mjomba wako...
 
ooohh dear
umempata bikira furahi
lakini hakikisha mnapima kwanza.

kuna aina mbili za bikira miaka hii
kuna bikira ya uhalali ( mtu hajawahi fanya sex tangu kuzaliwa)
kuna za bandia ambazo unafanyiwa surgery (unashonwa)..
mfano mtu anaenda nchi za nje kusoma mila na desturi za kwao
lazima msichana awe bikira ili kuolewa na ni kheshima kwa wazazi pia..
huwa wengi hufanya hiyo surgery na nilivyo sikia ubikira unarudi kama
kawa... ( muhimu kupima) Take care ......
 
hv kumbe mwanamke ukimkuta bikra ndo unapata tiketi kbs ya kuoa,okay nilikuwa sijui eti
 
unaoa kwa kua ni bikra au kwakua umepanga kuoa na mnapendana?
vijana wa siku hizi bana
 
Reactions: mja
Ht malaya nae alizaliwa bikra!
 
Kuna my Russian friend naishi naye,alinieleza kwamba anauza pia dawa za kurudisha bikra,so hapo kidgo ni complicated
 
jee unampenda?mapenzi ni zaidi ya bikira.au kwako ni muhimu?
 
hv kumbe mwanamke ukimkuta bikra ndo unapata tiketi kbs ya kuoa,okay nilikuwa sijui eti

....hii habari yake inatufundisha kuwa, mke kwake ni kumtembezea mtalimbo tu na hakuna jingine lol.....
 

Hapo kwenye red...hususan jamii kubwa ya kiarabu huhusudisha hilo.
 
"Uzuri wa mwanamke sio chenza (bikra), noo..... Uzuri wa mwanamke ni mwenyewe jinsi alivyo. Wengi wameolewa na machenza, ndoa zao wameshindwa kuzitunza, na wangapi wameolewa na machungwa mpaka sasa ndoa zao wanazitunza"!!
 
Mimi nashangaa kuwa mpaka karne hii bado wanaume tunang'angania hali ya msichana kuwa bikira bila kuangalia nyakati tunazokwenda nazo. Kuna zama bikira ilikuwa kitu cha thamani kiutamaduni, wakati ule ambapo bado idadi ya watu ilikuwa ndogo na hivyo hata michanganyiko ya tamaduni tafauti ilikuwa hafifu. Lakini kwa zama tulizonazo, ambapo kwanza imethibitishwa kuwa msichana anaweza kupoteza bikira bila ya kuingiliwa au asizaliwe nayo kabisa, kumhukumu msichana kama huyu kuwa si bikira ni kumwonea. Vivyo hivyo kumzawadia/kumthamini mwenye bikira ya kununua ni uzumbukuku. Mwisho wa habari, msichana anaweza kutunza bikira kwa miaka, lakini kuondolewa ni suala la sekunde tu. Baada ya hiyo furaha ya sekunde chache, maisha yanaendelea.

Ninathamini tamaduni za jamii zetu, lakini nahisi tumefika pahala tuangalie sifa nyengine kwa wasichana na sio ubikira tu. Na zaidi, na zaidi, la muhimu sana, TUSIWACHE KUPIMA KABLA YA NDOA na kwa wale wanaorukaruka, ninawashauri WASISAHAU KUFANYA NGONO SALAMA.
 
Mimi mke wangu tumezaa naye watoto wawili lakini bado anabikira yake, ameitunza hadi leo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…