geek jo
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 1,134
- 1,144
Hi.
Inasemekana kuna bikira za kutengeneza kwa wakina dada kwa kutumia dawa na jinsi nyingine tofauti!! je utazibaini vp tofauti ya hizi bikira??? maana ninamashaka na niliyomkuta nayo mchumba wangu!! ya ukweli au ndio kaniuzisha chaka nitangaze ndoa fasta?
Wajanja wa mujini nisaidieni jamani.
Inasemekana kuna bikira za kutengeneza kwa wakina dada kwa kutumia dawa na jinsi nyingine tofauti!! je utazibaini vp tofauti ya hizi bikira??? maana ninamashaka na niliyomkuta nayo mchumba wangu!! ya ukweli au ndio kaniuzisha chaka nitangaze ndoa fasta?
Wajanja wa mujini nisaidieni jamani.