BIKO inapiga goli la mkono, ni mchezo wa kamari na utapeli tupu

Hajawah kushinda zawadi ndogo ndogo
 
mi kitu ambacho huwa nashangaa hata wale washindi akiambiwa ameshinda milioni 50 yaani itikia yao haifanangi na ukubwa wa hiyo milioni 50 utadhani ameambiwa kuwa umeshinda buku mbili,
Nilijua ni me peke yangu nawashangaa yaan kama wamepangwa
 
Ni kweli nami nilisikia na kushuhudia wakati wakitangaza nikadhani labda masikio yangu yana matege.
Ila msaada kwenye tuta tuombe mwenye yale marudio atuwekee hapa ili tuwe na ishahidi wa kutosha kuwahoji.
marudio yao naona kwenye post zao wameedit kile kipengele jamaa alivyokataa kuwa hajawahi kucheza
 
Hpn japo siamini biko na sina mpango wa kucheza biko
Lkn Jana yule jamaa hajakataa kua amecheza biko .lkn amekataa kua hajawahi kushinda tangu acheze biko
Sasa hapo ndo kuna ukakasi kwasababu ili uwe mshindi wa biko ni lzm uwe unacheza Mara kwa Mara ,,Na ili ushinde mil 50 kuna vijizawadi unashinda hapa katikati kama 5000 mpk 50000 ili kukushawishi uendelee kucheza,
Sasa kitu kingine kinachotia shaka. Ni kua
Hv kwa life ya bongo sshv uambiwe umeshinda mil50 hlf unaichukulia poa kiasi kile mpk kina mpoki waanze kukuhamasisha kufurahi,,,,
Hili changa la macho
 
Mim sijawah kuwaza kucheza hii michezo ila kama mtu ninae mfaham akajakushnda nikashuhudia kashnda ntaanza, ila bora kubet hukoooo kulko hz bahat nasibu
 
Mim sijawah kuwaza kucheza hii michezo ila kama mtu ninae mfaham akajakushnda nikashuhudia kashnda ntaanza, ila bora kubet hukoooo kulko hz bahat nasibu
mkuu kwani hao wanaopangwa nao si wanawatu wanawafahamu hawatokei mstuni,,so hata wewe uyo mtu unayemfahamu anaeza akapangwa awe mshindi hewa..hiyo michezo ndo ipo hvyo mkuu..uongo uongo na wizi tu
 
mkuu mimi nitaitafuta hiyo clip kwakweli nimesikia kwa masikio mawili na wooote tuliokuwepo pale tulisikia na kushangaa sana. kama ingekuwa nimesikia pekeyangu sawa lakini woote tulianza kumzomea mpoki
 
Nilijua ni me peke yangu nawashangaa yaan kama wamepangwa
hapana mkuu sio wewe tuu,na sio mimi pekee yangu maana kuna siku nilikuwa kijiweni nikamwambia jamaa hao sio wakweli,mtu gani anapata milioni 50 alafu anaongea simply tuu utadhani kapata mia,jamaa akadakia kuwa hata yeye huwa anashangaa,milioni 20 tuu ya ghafla usawa huu wa mjomba,sawa najua sio wote wanaona hiyo pesa ni kitu cha ajabu,kwa hiyo wachezaji wote wa biko mood yao huwa inafanana
 
Uzuri mmoja wa hii michezo haujafungwa kamba/ haujalazimishwa kucheza na hata usipocheza wewe watacheza wengine
 
Asee nakuja mbele yenu kwa unyenyekevu mkubwa kuwaomba msamaha WATANZANIA wote kuwa nilighafilika tu juu ya handasi la zaruba(miraa/mirungi/gomba)
Si mnajua hii mambo tena machalii? Vungeni basi,ukweli nilicheza BIKO mathee
 
Hao ndo Bikooo Usanii na wizi nje njeeeee!!! wachezeshaji wenyewe wasanii, matangazo yao wapo wasanii unatakaje
 
Kekundu kekunduuuuuuuu...!!! Kekundu...!![emoji445] [emoji443] [emoji446]

Hahahaa kekundu nouma sana mkuu. Michezo hiyo siyo kabisa

Fikirieni kwann haipo nchi zilizoendelea hko???? Kwann imekuja kwa kasi zaidi kwa nchi masikini siku hzi?!

Nje hata kama wanacheza betting, co za hvi bico cjui nn. At least za football games na games zingine sawa.

Betting za mpira zipo wazi na ukiwa mtulivu unakula.
 
Mi nshakataaaaaga katu katu hii mi bahati na nasibu yao....bora nibet zangu 2...mpira gorin pesa mfukon..
 
Kwani huwa ni live? Mbona tbc hurushwa mapema zaidi ya itv?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…