Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli huyu jamaa alijibu kuwa hajawi cheza,ila ukifuatilia kwa makinj utaelewa utagundua kitu,Wengi wanacheza Biko kimya kimya ila kwenye vijiwe wanapenda kuiponda ,sasa huyu atakuwa yupo kwenye hilo kundi ,alivyopigiwa alijuaa kama kuna mtu anamtest kumpima aone kama anacheza au lah.Ila jamaa alivyojuaa kuwa si utani alifurahi sanaaa,Habari za Asubuhi wapendwa. mimi naitwa Snitch2020
Bila kupoteza muda napenda kusema kuwa i am so dissapointed kwa niliyoyaona jana katika bahati nasibu ya Biko. Kama kawaida alipigiwa mtu simu na yule mtu alivyopokea akaulizwa kama ameshawahi kushiriki mchezo wa biko na alikataa akasema hapana,akaulizwa tena mara ya pili akagoma na mara ya tatu akakataa sasa wale watangazaji kuua soo wakamwambia basi wewe ndo mshindi wetu wa milion 50, jamaa ndo akaanza kushangilia. sasa najiuliza inakuwaje mtu ambae hajashiriki anashinda pesa? Au ni kipi kilichompelekea jamaa akashinda bila kushiriki? Tulikuwa vijana kibao tunaangalia Biko na wote tulikasirika sana na tulishangazwa na kitendo hichi. Naomba tu ujumbe huu uwafikie biko na watolee maelezo jambo hili kwasababu tumeliona Live na ushahidi upo. Tunaomba maelezo la sivyo hatutacheza tena Bahati nasibu yenu. Wako katika ujenzi wa taifa la viwanda Snitch2020
Hapana hakuulizwa swali hilo aliulizwa kama alishawahi kucheza Biko.Aliulizwa kama amewahi kushinda zawadi yoyote ya biko
Aiss basi ni wizi mtupuuuuHapana hakuulizwa swali hilo aliulizwa kama alishawahi kucheza Biko.
Ndo watupe ufafanuzi ili kuondoa utataWhat if mkewe alicheza kwa kutumia namber yake..!
Mzee hukujua kuwa washindi hupangwa? Mtu akupe hela bure bure bila kazi tena boxi 50 na usawa huu?Habari za Asubuhi wapendwa. mimi naitwa Snitch2020
Bila kupoteza muda napenda kusema kuwa i am so dissapointed kwa niliyoyaona jana katika bahati nasibu ya Biko. Kama kawaida alipigiwa mtu simu na yule mtu alivyopokea akaulizwa kama ameshawahi kushiriki mchezo wa biko na alikataa akasema hapana,akaulizwa tena mara ya pili akagoma na mara ya tatu akakataa sasa wale watangazaji kuua soo wakamwambia basi wewe ndo mshindi wetu wa milion 50, jamaa ndo akaanza kushangilia. sasa najiuliza inakuwaje mtu ambae hajashiriki anashinda pesa? Au ni kipi kilichompelekea jamaa akashinda bila kushiriki? Tulikuwa vijana kibao tunaangalia Biko na wote tulikasirika sana na tulishangazwa na kitendo hichi. Naomba tu ujumbe huu uwafikie biko na watolee maelezo jambo hili kwasababu tumeliona Live na ushahidi upo. Tunaomba maelezo la sivyo hatutacheza tena Bahati nasibu yenu. Wako katika ujenzi wa taifa la viwanda Snitch2020
ila kwa jana wameboronga. kweli za mwizi 40Mzee hukujua kuwa washindi hupangwa? Mtu akupe hela bure bure bila kazi tena boxi 50 na usawa huu?
Acha mtu ale maishaJamani mm nilidhani maskio yangu yana matatizo hata mm nilisikia jamaa anasema hajawahi kucheza biko hata siku moja
vyuma vimekaza ndugu yani watu bora tukose taarifa ya habari kuliko kukosa biko au tatu mzukahivi mnapata wapi muda wa kuangalia biko[emoji23]...
Ndo hapo sasa...alafu anakuja kuanzisha uzi kabisa!! Eti walichukia kumbafu sana..hivi mnapata wapi muda wa kuangalia biko[emoji23]...
Kwakweli nimejifunza kuwa hakuna cha bure na hakuna mtu anaeweza kukupa M50 kwa bahati nasibu bora pesa yangu ningeenda kubetNdo hapo sasa...alafu anakuja kuanzisha uzi kabisa!! Eti walichukia kumbafu sana..