Bikra_wa_kisukuma

Status
Not open for further replies.

Hahahahahaha mkuu umeimaliza siku yangu... Eti sura ngumu si bure..ahahaha jamaa ni kampani moja na le mutuz sijui anamuuzaga kwa mapedjee pia
 

Hulijui wakati ushasema the gay....!????...
 

Tuwekee hapa hiyo picha,mi simjui huyu bikra.
 
hashoni nguo yeye ni dealer anatangaza nguzo za VIKI DESIGN anasaka usupa star kwa nguvu zetu...martin kadinda type,jogoo hapand mtungi

Huyu atakua engine nyuma mwanaume kujiita jina hlo lazma ni bwabwa 2
 

We myao wa nalasi,mbesa,mchoteka,matemanga majimaji.ligoma tuwekee picha ya bikra buana.
 
Nyie akina dada ndo zenu kutetea mashoga.. Mi namjua anayemtafuna au mnataka mpaka mletewe video

Una chuki hadi unaogopesha. Simtetei ila nauhakika hata we maisha yako sio perfect.
A cha chuki kama unaona tatizo shauri kwa hekima...
 
We myao wa nalasi,mbesa,mchoteka,matemanga majimaji.ligoma tuwekee picha ya bikra buana.

umetisha!duh...mchoteka,fundi mmbanga,tuwe macho yote maliza wewe!wanaume huku hatujiiti mabikira....bikra inamaanisha ni tundu mwilini ambalo halijaguswa na mshedede
 
Una chuki hadi unaogopesha. Simtetei ila nauhakika hata we maisha yako sio perfect.
A cha chuki kama unaona tatizo shauri kwa hekima...

hata kama maisha yake siyo perfect ila suala la mtoto wa kiume kumegwa halihitaji ushauri wa hekima....angebakwa kweli ila kama anamegwa kwa kukubali hiyo haikubaliki popote pale
 
umetisha!duh...mchoteka,fundi mmbanga,tuwe macho yote maliza wewe!wanaume huku hatujiiti mabikira....bikra inamaanisha ni tundu mwilini ambalo halijaguswa na mshedede

Umeona eeh kadewele,mataka mchangani,ausilinda,mandingo, tuleane,hahahahaaa mitaa ya nyumbani hiyo myao wa tunduru.
 

- Lakini wewe hiyo picha yako hapo mbona kama umekaa kiana ya jinsia flani hivi maana kabla ya kuzungumzia wengine anza na wewe mwenyewe maana wengi humu huwa mnajisema tabia zenu bila kujua, u know!!

Le Mutuz
 
Hahahahahaha mkuu umeimaliza siku yangu... Eti sura ngumu si bure..ahahaha jamaa ni kampani moja na le mutuz sijui anamuuzaga kwa mapedjee pia

- hahahaha lazima nilianzana kukuuza wewe kwanza au si ndio maana unajua au? hahahahahahahaha

Le Mutuz
 

- Kijana mdogo msomi aliyetokea kwenye maisha ya wazazi wa kawaida, nimekutana naye kwa mara ya kwanza nilipokuwa nafanya Instagram Party ana followers wengi sana kwenye Insta so tukaunganisha nguvu na kufanya the best Insta Party ever in bongo, Walikuja watu 6000, ilikuwa ni a history pamoja na a record.

- Wiki mbili zilizopita alinialika kuhudhuria siku ya kumbu kumbu ya kifo cha mama yake mzazi miaka 12 iliyopita nilienda mpaka home kwa baba yake ni na Another star Mc Pilipili, tukajumuika na familia yake kumuombea mama yake baba yake was a very humble man kule Chuo Kikuu changanyikeni,

- Ni kijana mbishi wa kutafuta maisha na amegundua kwamba Social MEdia ni best tool ya kutafutia pesa through umaarufu he is a Star unakuwa Star unapoweza kufikia kulipwa for your appearance majuzi kwenye nyama choma aliweka banda lake la Insta, mimi na MC Pilipili tulienda kumpa support ya kupiga picha na clients wake he made big money ile siku,

- Maskini anapotaka kuwaacha masikini wenzake kwenye umasikini huwa wana sababu nyingi sana za kutetea kubaki kwao kwenye umasikini na siku hizi Tanzania njia rahisi ya kutetea ukilaza wa kubakia masikini kwa kijana yoyote mwenye elimu ni kukimbilia Social Media na kuzusha kuwa masikini anayetaka kuwaacha kwenye umasikini ni Gay, so low so foolish! so childish!

- Lakini ukweli ni kwamba ni lazima uwe gay kujua wengine wote wanaokuzidi maisha na gay, sasa next time sema hivi wewe ni gay ndio manaa unajua flani ni gay, it will make a lot of sense kuliko kujaribu kuchafua majina ya watu bure, watuwazima na akili timammu badala ya kutumia mitandao kutafuta pesa basi hata umaarufu unakalia kurusha maneno ya chooni, I mean ndio maana wenye pesa wataongezewa tu na wasiokuwa nazo watazidi kutokuwa nazo,

- The kid is smart, the kid is A star na the kid is making money kwa kutumia mitandao ya kijamii, ma gay ndio kazi ya kulalamika ukisoma vizuri humu you can see very clear kwamba hata the kid humujui ila anakukarea kwa sababu amekuacha kwenye umasikini, nasema hivi wale wote mnaoita wanaowazidi kimaisha kuwa ni ma gay, for sure nyie ndio ma gay kwanza kubalini hilo kwanza, ok!

Le Mutuz
 
Le Mutuz Leo umeongea points za msingi sana...heshma kwako mkuu ..... yan kijana akifanikiwa tu watu watamzushia ni gay....childish minds
 

Hahaha yani imenibidi nicheke tu.

Mkaribishe basi huyo prince of bongo social networks na huku Jf wengine insta tumewaachia mademu zetu.
 
Le Mutuz Leo umeongea points za msingi sana...heshma kwako mkuu ..... yan kijana akifanikiwa tu watu watamzushia ni gay....childish minds

Na sijui tutabadilika lini? Namna hii hatutatoka ktk fikra za kimaskini...
 

Safi sana le mutuz , watu wanamawazo mgando hawataki kubadikika na jamaa anazidi kutengeneza pesa
 

We jamaaa huwa unaaakil basi tu huwa huwez jiposition
 
Hahaha yani imenibidi nicheke tu.

Mkaribishe basi huyo prince of bongo social networks na huku Jf wengine insta tumewaachia mademu zetu.

- Sasa mmejuaje kuwa ni Star wa Instagram na wewe umewaachia mademu wewe una demu wewe? kazi kila siku kuandika hate tu humu roho ya kuwa na demu utaitoa wapi mimi sijawahi kuona umeandika positive humu JF kila siku matusi tu tizama hata picha yako kwenye profile ina refelect akili zako maan, pole sana hii Dunia ni ya watu wenye akili na wanaojua kuzitumia sio mizigo mizigo binadama wengine humu you can tell ni mizigo hata huko kwenu le mburulazzz, Instagram anaingia mpaka Rais wa Dunia Obama itakuwa wewe le mburulazzz?

Le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…