mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,492
- 768
Jina lake halisi ni Seth Ketende alisoma Tumaini University-Iringa Bachelor of Business Administration 2005-2008. Kuna wakati alikuwa anaimba nyimbo za injili akaacha na kuanza ulevi kiasi. Ni kweli Seth amefanya makampuni mengi tu na kuacha kazi/kufukuzwa baadae akaamua kujiajiri. Sasa kuhusu ni shoga au watu hasa rafiki zake wamekuwa wanamhisi kwa kuwa kabadilika kimwenendo ila hakuna aliyethibitisha. Labda apewe 'benefit of a doubt'.
Bora ww umeelezea vzr apo mwsho...ushoga c lzm aliwe ata akila ni gay...also kuna watu wapo smart balaa na wanadunguliwa nnya wala huwez dhania.