Bikra_wa_kisukuma

Status
Not open for further replies.
Hivi waTz maskini roho mbaya mmezitoa wapi nyie?au umaskin ndo wawafanye muwe na chuk kupitilza???
Mnaboa
 
Najuta kwann nilichelewa ku mfollw bikira wa kisukuma ana andika vitu vya maana sana insta namkubali ww ponda tuuu
 
Duh... yule jamaa kumbe anajiita Bikra?!!! Si bure huyu... kwema lakini Mrembo? Manake unavokuja kwa kuvizia...
 
Mtu mwenye akili timamu hawezi kukimbia watoto wake na kumuachia mkewe amtunzie wewe ni mental case.

Btw hata Field Marshal ni ID bandia.


ahhh sasa huu ndo ushoga..hihi
 
hahahaaaa namuelewa sana bikira jaman mweeeee hebu fanyen kumfollow kule insta
 
Najuta kwann nilichelewa ku mfollw bikira wa kisukuma ana andika vitu vya maana sana insta namkubali ww ponda tuuu

tushamfollow ndugu now linaanzishwa grp ya wasap then fan page ambaye hamuelewi akae pembeni looo hebu mcheki saiv
 

Leo umeongea kitu... bravo
 
Maana nina bonge la umbea kuhusu huyo mtu, jina lake halisi ni gevin sijui? Ngoja nichek halafu nirud binamu,

We jamaa hujishangai? Mtu humjui na bado unadai una umbea wake..
Hapo nauhakika story za ushoga zitatamalaki ktk hyo hadithi yako..
Na hvi inakuaje mwanaume km ww unajua habari za unaowaita mashoga wote hapa mjini kama wewe hujihusishi nao? a chia mbali uandishi wako was kikekike humu jukwaani..
 
Hahahahaaa acha nichekeeee miee. Jamani he is my man na nagombana naye karibia kila siku maana ni kitombi balaaa. Sasa kama unadhani ni shoga fanya haya kainame uthibitishe ushoga wake au la sivyo ushamla au mliliwa wote paamoja ndiyo maana mnasema ni shoga. Shame on u hamna ya maana ya kufikiri mnajadili ujinga tuu. Mngekuwa wa maana kama mngemfuata pembeni na kumwambia anachofanya sicho kama una uhakika lakini. Ni sawa na kuniita mimi malaya ilihali hata chupi hujawahi nivua. Kwanza muulizaji mwenyewe hata hajui anaguess tuu. Mwacheni baby wangu jamaniiii ni mzima tena mzima kabisaaa hana huo upuuzii. Hamkawii kusema kama ndivyo basi mchicha mwiba nani asiyewajua kwa kugeuza maneno. Mxiuuuuuuuuuu.
 
bila hawa watu jukwaa halinogi. We mwache
 
Jina lake halisi ni Seth Ketende alisoma Tumaini University-Iringa Bachelor of Business Administration 2005-2008. Kuna wakati alikuwa anaimba nyimbo za injili akaacha na kuanza ulevi kiasi. Ni kweli Seth amefanya makampuni mengi tu na kuacha kazi/kufukuzwa baadae akaamua kujiajiri. Sasa kuhusu ni shoga au watu hasa rafiki zake wamekuwa wanamhisi kwa kuwa kabadilika kimwenendo ila hakuna aliyethibitisha. Labda apewe 'benefit of a doubt'.
 
Huyu jamaa nimesoma nae tambaza na nikafanyanae kazi vodacom,namfahamu vuzuri saana huyu seth amekua nikijana muhangaikaji saaana shida yake anamatumizi makubwa kuliko kipato anachoingiza
Kuhusu ushoga huyu jamaa si shoga maana sifa kubwa aliyonayo ni kugonga hawa walimbwende amekua na mademu wazuri sana ila amekua hadumu kwenye mahusiano kwasababu ya kufumaniwa
Alikua na demu mmoja aliemaliza mzumbe binti wa kihaya ila waliachana nae baada a jamaa kumgonga rafiki wa yule binti
Wanaosema huyu ni shoga si kweli kabisa na si jambo zuri kumtuhumu mtu kitu kisicho cha kweli huo ni ujinga uliopitiliza
 

Basi ukisema wamjua na ukapinga mawazo yao haters watakuvaaa hawashindwi kukuingiza na ww kwenye hyo timu ushogaaa,watz wenzangu roho mbaya kawapeni nan?
 
Maana nina bonge la umbea kuhusu huyo mtu, jina lake halisi ni gevin sijui? Ngoja nichek halafu nirud binamu,

Ndo maaana unapigwa ban za kizembe zembe punguza umbea sio kila kitu lazma ukitoleee maelezo,kama humjui kaaa kimya wanaomjua wakupe data zake,ulvo kuku basi huchukui round waja na mipasho yako kumhusu mkaka wa watu......roho mbaya kufa hutak
 
GAY????? or GUY...kama hamjui lugha za watu mtumie kiswahili chenu...lolB][/B]
 

Hujitambui wewe
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…