Bikra_wa_kisukuma

Status
Not open for further replies.

Bora ww umeelezea vzr apo mwsho...ushoga c lzm aliwe ata akila ni gay...also kuna watu wapo smart balaa na wanadunguliwa nnya wala huwez dhania.
 
Ndo maaana unapigwa ban za kizembe zembe punguza umbea sio kila kitu lazma ukitoleee maelezo,kama humjui kaaa kimya wanaomjua wakupe data zake,ulvo kuku basi huchukui round waja na mipasho yako kumhusu mkaka wa watu......roho mbaya kufa hutak

Mi simwelewagi kabisa huyu braza.eti ntarudi nana story,hv familia yako inakutazamaje ww warumi kama baba kwa mambo haya unayoyaandika hunu.naamini kuna tatizo ...
 
Last edited by a moderator:
Mi simwelewagi kabisa huyu braza.eti ntarudi nana story,hv familia yako inakutazamaje ww warumi kama baba kwa mambo haya unayoyaandika hunu.naamini kuna tatizo ...

Achana na mimi, mimi sio baba yako wala ndugu yako, so for good nipotezee , sitaki shobo na mazoea ya kingese
 
Last edited by a moderator:
Majangaaa mbona majangaaa....
Wacha nijiimbie mie!!!

 
Bora umekuja wifi yangu naona umbea umezidi,watu wabaya kama nini kumzushia kaka wa watu uongo....
 
Kumbe wewe ni dume? basi dunia imekwisha.

Na ukimwambia ajirekebishe anadhan unamfatilia kumbe ni kiroho safi..
Tayari ameshalemaa mana ndo bingwa wa mipasho humu wako watu humu hawawezi kubali wakiambiwa huyu jamaa mwanaume kwa jinsi anavyojifanya wa kike
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…