The navi 2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 352
- 46
Kwa wale ndugu mnao kwenda kuanza shahada ya kwanza kuwa makini sana kwani kuna baadhi ya vyuo hata public sectors vimekuwa vikigoma kabisa kufanya usajili kabla ya kulipa asilimia 60 ya ada.
Mfano, hapa chuo cha uhasibu arusha kama huna 1,003,000 (60%) usajili sahau
pia pale chuo cha usimamizi wa fedha habari nasikia ni hiyo hiyo.
Mfano, hapa chuo cha uhasibu arusha kama huna 1,003,000 (60%) usajili sahau
pia pale chuo cha usimamizi wa fedha habari nasikia ni hiyo hiyo.