Bila asilimia 60 hupati usajili wa chuo

Bila asilimia 60 hupati usajili wa chuo

Fee to be paid directly to the University is as follows:
SN ITEM Tshs.
1. Tuition per year (Tuition, Registration, Examinations
and Library Services) ni1,300,000
2. Campus Accommodation PER bed per year 119,000
3. Non-refundable Medical fee per year 75,000
4. Mzumbe University Students’ Organization (MUSO) Fee. 10,000
5. Caution Money 50,000
Total 1,554,000

NOTE
Candidates under HESLB scheme are urged to contact the Board to know and
confirm their loan status in preparation for payment of their contribution of
tuition fee before coming to the university. No student will be registered without
payment of fees.



daaah pesa ndefu sana hii . kwani hata nusu hawapokei
 
nchi yetu ya ajabu sana usimamiz sifuri haiwezekani wao walisoma bure hao ma dk na prof ,leo wanakuja na sera za ajabu kwa watu maskini,asilimia 60 za nini,kwanini asmbane mwanafunz mwisho mwa mwaka,kima chini cha mfanyakazi ni laki 2,wanashindwaje ku link kati mishahara ya wafanyakazi wa serikali na gharama za mwanafunzi chuoni after all,asilimia kubwa ya watanzania wanaungaunga hizo ada.
 
nchi yetu ya ajabu sana usimamiz sifuri haiwezekani wao walisoma bure hao ma dk na prof ,leo wanakuja na sera za ajabu kwa watu maskini,asilimia 60 za nini,kwanini asmbane mwanafunz mwisho mwa mwaka,kima chini cha mfanyakazi ni laki 2,wanashindwaje ku link kati mishahara ya wafanyakazi wa serikali na gharama za mwanafunzi chuoni after all,asilimia kubwa ya watanzania wanaungaunga hizo ada.

kama unadhani elimu ni gharama jaribu ujinga
 
Habari za kajukum wadau, naomba kuuliza kama ni kwel wenye sifa za diploma waliochaguliwa kujiunga na elim ya juu kwa course tofaut na ualim na sayansi hawatapata mkopo kwa asilomia yoyote ile.

nani kasema hayo?
 
Sasa bodi mbona wako kimya hii adha. Hiyo mikopo sindio watu waliomba mapema I thought kuwa wako kisasa. Kwa walioko 2nd /3rd/4th mtoe ushauri juu ya hali nyie ilivyowakuta mlifanyaje kusajili.

tulisubiri.
 
Kwa wale ndugu mnao kwenda kuanza shahada ya kwanza kuwa makini sana kwani kuna baadhi ya vyuo hata public sectors vimekuwa vikigoma kabisa kufanya usajili kabla ya kulipa asilimia 60 ya ada.

Mfano, hapa chuo cha uhasibu arusha kama huna 1,003,000 (60%) usajili sahau
pia pale chuo cha usimamizi wa fedha habari nasikia ni hiyo hiyo.

nilisoma hapo i see bila fedha usajili ni shidaa yani stress mpaka unamaliza chuo ada ndio usiombe labda uwe wa kibopa papa mafedha,hosteli zipo kitaa mvua ikianza ndio unajua R chugaa ni wapi!
 
nilisoma hapo i see bila fedha usajili ni shidaa yani stress mpaka unamaliza chuo ada ndio usiombe labda uwe wa kibopa papa mafedha,hosteli zipo kitaa mvua ikianza ndio unajua R chugaa ni wapi!

tutafurahi ukirudi kutusalimia JAY MTAALAM
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom