The navi 2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 352
- 46
NIT sio chini ya 800000
Kwa makalculation ya faster ni lak 9
Kwa wale ndugu mnao kwenda kuanza shahada ya kwanza kuwa makini sana kwani kuna baadhi ya vyuo hata public sectors vimekuwa vikigoma kabisa kufanya usajili kabla ya kulipa asilimia 60 ya ada. Mfano, hapa chuo cha uhasibu arusha kama huna 1,003,000 (60%) usajili sahau
pia pale chuo cha usimamizi wa fedha habari nasikia ni hiyo hiyo.
muhas milioni 3
poleni1
ILA mjitahidi kuwashauri wadogo wenu walio form6 wasome kwa bidii ili waweze kufuzu kujiunga na vyuo vyenye direct cost ndogo, kama77400/=
poleni1
ILA mjitahidi kuwashauri wadogo wenu walio form6 wasome kwa bidii ili waweze kufuzu kujiunga na vyuo vyenye direct cost ndogo, kama77400/=