Bila dhambi viwanda vya nguo vingekuwepo?

Bila dhambi viwanda vya nguo vingekuwepo?

raslimali

JF-Expert Member
Joined
Nov 4, 2014
Posts
1,958
Reaction score
1,744
Nachokoza hii mada naomba tuchangie Kwa weledi na ustaarabu. Kulingana na masimulizi ya Biblia kitabu cha Mwanzo, binadamu wa kwanza Adamu na Eva waliumbwa na kuishi wakiwa uchi mpaka walipotenda dhambi ndipo walipoona soni maumbile yao ya uzazi kutokufunikwa.

Najiuliza kama hawangehalifu agizo la Mungu je mpaka Leo watu wote tungetembea uchi? Au simulizi hizi zinatumia lugha ya picha ( metaphorical language) na uchi unaosemwa siyo physical nackdness?
 
Unajua evolution inapingna na vitabu takatifu
Ni kweli hata mimi ni muumini kati ya vitabu hivyo. Hivyo vitabu vina sema Mungu ni mueza wa yote. Ikiwa na maana hata hayo ya evolution kuna mkono wake. I stand to be corrected.
 
Back
Top Bottom