Bila dini kusingekuwa na amani na haki na ustawi mzuri wa jamii!


SINA DINI WALA IMANI KATIKA IMAGINARY BEING AND AM HAPPY!

Karibu katika ulimwengu huru!!

..........Freee ideas.....
 
SINA DINI WALA IMANI KATIKA IMAGINARY BEING AND AM HAPPY!

Karibu katika ulimwengu huru!!

..........Freee ideas.....
dini ni uhusiano kati ya mtu na Mungu. je wewe huamini uwepo wa Mungu?
 
Kinacholeta amani na
Asilimia kubwa ya watu wanaogopa sheria sio imani au Mungu, watu wanahofu kufungwa kunyongwa kupigwa risasi kuchomwa moto n.k ndio maana hata wezi humuomba Mungu wanapokwenda kuiba.
Kinacholeta amani na utulivu ni uwepo wa dola na Serikali. Sio dini.
 
Kinacholeta amani na

Kinacholeta amani na utulivu ni uwepo wa dola na Serikali. Sio dini.
dola na serikali vina mchango ila dini ni zaidi. pia nawakumbusha uzi unaongelea na mambo ya ustawi wa jamii hasa maeneo ya hospitali, shule, michezo
 
angalia michango ya dini ktk nyanja hizi:
1. Hospitali za BUGANDO, KCMC, KIBOSHO, HINDU MANDAL, AGHAKAN, BILAL MUSLIM AGENCY HOSP. n.k
2. Vyuo: SAUT, MAKUMIRA, MWENGE, TUMAINI, JORDAN, MUSLIM UNIV. OF MORO n.k huku kote kwa uchache ni mkono mrefu na mpana wa dini. watu wakielimika na kuwa na afya nzuri ya mwili na akili wanakuwa na amani. jamani hatuoni hayo?
 
dini ni uhusiano kati ya mtu na Mungu. je wewe huamini uwepo wa Mungu?

MUNGU,SHETANI,ROHO,PEPO NA VITUBKAMA HIVYO NI NADHARIA TU SIO VITU HALISI .KIUFUPU HAKUNA MUNGU WALA SHETANI

Karibu katika ulimwengu huru

.... Free ideas...
 
MUNGU,SHETANI,ROHO,PEPO NA VITUBKAMA HIVYO NI NADHARIA TU SIO VITU HALISI .KIUFUPU HAKUNA MUNGU WALA SHETANI

Karibu katika ulimwengu huru

.... Free ideas...
swali kwako: binadamu tumeletwa na nini au nani? na miti na viumbe vyote nini kimevileta au nani kavileta?
 
Inaonekana we ni mgeni sana hapa Jf.Karibu sana ndugu haya mambo yote tumeshajadili!.

Kwa ufupi! Sana ,We are the product of nature!

Karibu sana katika ulimwengu huru
.....Free ideas....
 
Inaonekana we ni mgeni sana hapa Jf.Karibu sana ndugu haya mambo yote tumeshajadili!.

Kwa ufupi! Sana ,We are the product of nature!

Karibu sana katika ulimwengu huru
.....Free ideas....
mjadala haujafungwa! hiyo nature inayoproduce binadamu, miti n.k ndo ambayo wenzako tunaiita Mungu na hata majina mbalimbali yanatumika. kwa kifupi hakuna kiumbe au kitu chenye uwezo wa kujianzisha chenyewe vimeletwa na kitu kingine chenye nguvu kuliko vyote ambacho chenyewr hakianzishwi na chochote. hicho kitu ndo Mungu. wengine wanamwita.Mungu ALLAH. ndugu Mungu yupo! ndo huyo we unamwita Nature!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…