Saad30
JF-Expert Member
- May 26, 2020
- 2,737
- 5,464
Habari wakuu.
Nimeekaa na kuwaza na kuwazua hizi dini zimeletwa tumuogope MUNGU au tumpende MUNGU?
Miaka ya tangu na tangu kulikuwa hakuna dini ila tuliamini kwamba kuna mbaye anaongoza hii dunia na vilinyo ndani yake.Tulitumia miti shamba kupona maradhi.
Je ,Mababu zetu na mabibi zetu hawakuona ubaya wa kuwapokea hivi viumbe vya kizungu?
Ona mashekhe na mapadri wanaishi maisha mazuri ya kujidai na familia yao kwajili ya sadaka zetu.
Kwanini sisi wenyewe tukiomba bila hizo dini kwa MUNGU mmoja hatuwezi kufanikiwa?
Hawa jamaa wametumia kufuli gani la kutufunga akili hadi mkristo akisemwa Yesu anakasirika sana na vilevile mwislamu akisemwa Mtume Muhammad anakasirika....kuna siri gani wametuwekea kwenye mioyo yetu.
Mama anadiliki kuuza shamba akatoe sadaka...alafu badae anaenda kukodishwa tena hilo shamba kwajili ya kujipatia kipato cha kulisha familia.
Viongozi hao wa dini wanajenga mahoteli na kisha waaenda wazee wa kuzini walevi na kadhalika....mbaya zaidi hawataki wajulikane kwamba wao ndio wamiliki wa hizo hotel.
Asee tunapigwa sana pesa na hawa jamaa..
Kwani tukiomba kwajina la MUNGU mmoja kuna shida gani?
NB: Napenda kuelekezwa kama nimekosea.
Nimeekaa na kuwaza na kuwazua hizi dini zimeletwa tumuogope MUNGU au tumpende MUNGU?
Miaka ya tangu na tangu kulikuwa hakuna dini ila tuliamini kwamba kuna mbaye anaongoza hii dunia na vilinyo ndani yake.Tulitumia miti shamba kupona maradhi.
Je ,Mababu zetu na mabibi zetu hawakuona ubaya wa kuwapokea hivi viumbe vya kizungu?
Ona mashekhe na mapadri wanaishi maisha mazuri ya kujidai na familia yao kwajili ya sadaka zetu.
Kwanini sisi wenyewe tukiomba bila hizo dini kwa MUNGU mmoja hatuwezi kufanikiwa?
Hawa jamaa wametumia kufuli gani la kutufunga akili hadi mkristo akisemwa Yesu anakasirika sana na vilevile mwislamu akisemwa Mtume Muhammad anakasirika....kuna siri gani wametuwekea kwenye mioyo yetu.
Mama anadiliki kuuza shamba akatoe sadaka...alafu badae anaenda kukodishwa tena hilo shamba kwajili ya kujipatia kipato cha kulisha familia.
Viongozi hao wa dini wanajenga mahoteli na kisha waaenda wazee wa kuzini walevi na kadhalika....mbaya zaidi hawataki wajulikane kwamba wao ndio wamiliki wa hizo hotel.
Asee tunapigwa sana pesa na hawa jamaa..
Kwani tukiomba kwajina la MUNGU mmoja kuna shida gani?
NB: Napenda kuelekezwa kama nimekosea.