Bila DP World tutabaki nyuma ya Rwanda daima

Bila DP World tutabaki nyuma ya Rwanda daima

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Nimemsikiliza Rostam Aziz anavyochambua hasara za matumizi ya bandari ya Dar es salaam na nimemuelewa kumbe tatizo ni uendeshaji mbovu na wa kizamani na unaotoa sababu za rushwa.

Kwa mifano yake hiyo inaonekana nchi jirani za Tanzania wameshatujua na wamekata tamaa na sisi ndio sababu wameamua kuchukua hatua zao kimya kimya wakituona sisi ni kichwa maji.

Kama kuna watanzania wanaiogopa DP world kwa kuhofia waarabu basi watuletee mwekezaji mwengine mfano wake lakini lazima tuochane na uendeshaji wa TICTS.

Bila hivyo tutarudi nyuma kiuchumi pamoja na utajiri wa bandari tulizonazo.
 
Tatizo sio mfumo wa kizamani tu bali na wizi unachangia mno
Unalikita jitu jizi mpaka unasema hivi kwanini mtu unazaliwa kuwa mwizi?
 
Nimemsikiliza Rostam Aziz anavyochambua hasara za matumizi ya bandari ya Dar es salaam na nimemuelewa kumbe tatizo ni uendeshaji mbovu na wa kizamani na unaotoa sababu za rushwa.
Kwa mifano yake hiyo inaonekana nchi jirani za Tanzania wameshatujua na wamekata tamaa na sisi ndio sababu wameamua kuchukua hatua zao kimya kimya wakituona sisi ni kichwa maji.
Kama kuna watanzania wanaiogopa DP world kwa kuhofia waarabu basi watuletee mwekezaji mwengine mfano wake lakini lazima tuochane na uendeshaji wa TICTS.
Bila hivyo tutarudi nyuma kiuchumi pamoja na utajiri wa bandari tulizonazo.
Naomba utuwekee mkataba baina ya Rwanda na dp na mkataba wetu na dp
 
Naomba utuwekee mkataba baina ya Rwanda na dp na mkataba wetu na dp
Hata bila kukuwekea mkataba wenyewe mawazo na kutumia akili inatosha kupata picha ya kinachoendelea na kinachotarajiwa.
Kama umejifanya mjanga na unanitega nakwambia.Naamini wewe na mimi ni sawa.Si mwanasheria na wala hatujausoma mkataba wote,Na asilimia kubwa ya unaowasikia wakiusemea mkataba huu na hata walioamua kuingia mtaani kuandamana ni kama mimi na wewe.Pamoja na hivyo mawazo yetu sote yana maana kusikilizwa na mengine ni utumbo mtupu, Kama umemsikiliza Rostama hawezi kuwa kama wewe na mimi.
 
Hata bila kukuwekea mkataba wenyewe mawazo na kutumia akili inatosha kupata picha ya kinachoendelea na kinachotarajiwa.
Kama umejifanya mjanga na unanitega nakwambia.Naamini wewe na mimi ni sawa.Si mwanasheria na wala hatujausoma mkataba wote,Na asilimia kubwa ya unaowasikia wakiusemea mkataba huu na hata walioamua kuingia mtaani kuandamana ni kama mimi na wewe.Pamoja na hivyo mawazo yetu sote yana maana kusikilizwa na mengine ni utumbo mtupu, Kama umemsikiliza Rostama hawezi kuwa kama wewe na mimi.
Ni kweli Hau!
Nimeumbwa Kwa sababu, na Hakuna Anae Lingana na Mimi dunia nzima...
 
Nimemsikiliza Rostam Aziz anavyochambua hasara za matumizi ya bandari ya Dar es salaam na nimemuelewa kumbe tatizo ni uendeshaji mbovu na wa kizamani na unaotoa sababu za rushwa.

Kwa mifano yake hiyo inaonekana nchi jirani za Tanzania wameshatujua na wamekata tamaa na sisi ndio sababu wameamua kuchukua hatua zao kimya kimya wakituona sisi ni kichwa maji.

Kama kuna watanzania wanaiogopa DP world kwa kuhofia waarabu basi watuletee mwekezaji mwengine mfano wake lakini lazima tuochane na uendeshaji wa TICTS.

Bila hivyo tutarudi nyuma kiuchumi pamoja na utajiri wa bandari tulizonazo.
Rost tamu anatakiwa atoe maoni hayo akiwa behind bars!!!

Siku inakuja,

Tusubiri.
 
Nimemsikiliza Rostam Aziz anavyochambua hasara za matumizi ya bandari ya Dar es salaam na nimemuelewa kumbe tatizo ni uendeshaji mbovu na wa kizamani na unaotoa sababu za rushwa.

Kwa mifano yake hiyo inaonekana nchi jirani za Tanzania wameshatujua na wamekata tamaa na sisi ndio sababu wameamua kuchukua hatua zao kimya kimya wakituona sisi ni kichwa maji.

Kama kuna watanzania wanaiogopa DP world kwa kuhofia waarabu basi watuletee mwekezaji mwengine mfano wake lakini lazima tuochane na uendeshaji wa TICTS.

Bila hivyo tutarudi nyuma kiuchumi pamoja na utajiri wa bandari tulizonazo.
TATIZO SIO DP WORLD, NI MKATABA

MKATABA
MKATABA
.......................
 
Nimemsikiliza Rostam Aziz anavyochambua hasara za matumizi ya bandari ya Dar es salaam na nimemuelewa kumbe tatizo ni uendeshaji mbovu na wa kizamani na unaotoa sababu za rushwa.

Kwa mifano yake hiyo inaonekana nchi jirani za Tanzania wameshatujua na wamekata tamaa na sisi ndio sababu wameamua kuchukua hatua zao kimya kimya wakituona sisi ni kichwa maji.

Kama kuna watanzania wanaiogopa DP world kwa kuhofia waarabu basi watuletee mwekezaji mwengine mfano wake lakini lazima tuochane na uendeshaji wa TICTS.

Bila hivyo tutarudi nyuma kiuchumi pamoja na utajiri wa bandari tulizonazo.
Ni kwamba hatuna serikali? Serikali imeshindwa vita ya rushwa mpaka tupate wageni watuoneshe jinsi ya kujiendesha? Sisi ni bure kabisa!
 
Back
Top Bottom