Eng. Smasher
JF-Expert Member
- Nov 13, 2010
- 745
- 23
Jamani haka KASICHANA kananikosha ile mbaya kila nikienda sehemu za sitarehe lazima nikatafute NIKATUMIE ndo niijisikie RAHA!!
Bila haka KASICHANA sipati usingizi vizuri usiku lazima nikaote,sio siri ni KATAMU sana coz sio kama yale MAJIMAMA yanalegeza sana mwili wangu ndo maana siyapendi!!!
Haka KASICHANA nakapenda sana lazima kesho nikatafute na niwe nako muda wote I HOPE WOTE MPENDAO VISICHANA TUTAJUMIKA WOTE!!!
MERRY Xmas and HAPPY NEW YEAR wanywaji wote wa KASICHANA(KONYAGI)!!!!
Bila haka KASICHANA sipati usingizi vizuri usiku lazima nikaote,sio siri ni KATAMU sana coz sio kama yale MAJIMAMA yanalegeza sana mwili wangu ndo maana siyapendi!!!
Haka KASICHANA nakapenda sana lazima kesho nikatafute na niwe nako muda wote I HOPE WOTE MPENDAO VISICHANA TUTAJUMIKA WOTE!!!
MERRY Xmas and HAPPY NEW YEAR wanywaji wote wa KASICHANA(KONYAGI)!!!!