Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

30+ wadada single wanakuwa na stress kuliko kawaida, ila thanks God kuna watu kama Mzee wa Upako wakuwafariji
 
ha haa ha tubadilishane namba siyo? hamna shida ngoja nikufuate inbox .....
Wewe hautaki leta namba zake kisha nikupe namba wa huyu miaka ishirini na minne, mkenya
 
na ndo maana sasa nataka vitoto vidogo maana..hawa wakubwa......
Vidogo vyenye umri gan ? Usije tangazwa mtaani maana havina staha... Si umeona lulu na kanumba kitoto kidogo kinabeba kg 80+
 
Dude, cha kwanza nakutaarifu kuwa nipo kwenye ndoa. Kwa hiyo usichukulie kwamba ni povu natoa kwako.

Cha pili, even if I wasn't, I wouldn't be attracted to an overgrown baby who vents about women on social media.

Kama huwataki, why not just let them be instead of ranting on and on.

Overgrown baby.
 
When did yu get married mumie? coz if am not mistaken i think i know yu... Aint yu one of my best friends since years and years? Anyway... Lemme be what i am. I enjoy this. And be what you used to be. If yu re really married this time and you know the meaning of marriage then stick on your husband.dont play around with us bad boys...

 
Hawa ilikuaje hebu nipe story maana nawasikia sikia tu. Huyo mwenzie yupo wapi siku hizi?

Vidogo vyenye umri gan ? Usije tangazwa mtaani maana havina staha... Si umeona lulu na kanumba kitoto kidogo kinabeba kg 80+
 
Hawa ilikuaje hebu nipe story maana nawasikia sikia tu. Huyo mwenzie yupo wapi siku hizi?
Mwingine yupo kaburini.. Mwingine yupo segelea... Nikimaanisha alianza kuona mikuyenge ya wakubwa toka akiwa mtoto... Hvyo ukienda na Kibamia chako kwa vitoto vya miaka hii utaumbuka mr gudume
 
Mmh miaka co kigezo unaweza ukaoa binti wamiaka 23 kumbeee ametumika zaid ya wamiaka 30 ujampnda ndmna wasema ivooo true love hayaangaliii umriii
 
That is true umrii co kigezo cha mtu kutumika sana waweza kuta miaka 23 ametumika zaid ya kikongwee
 
You said you are 40 yrs old? And that is how you think?
Ooh Lord. Tumekosea wapi kulea vijana wetu?
 
maneno meengi familia nyingi zinazaa mwisho watoto wawili.
miaka hiyo ana kuzalia hata watoto watatu uoga wa nini?.
 
Ila umeshapiga hata kidogo kwa huyo dada
 
Ukisema wanini wenzio wanasema watampata lini?? Wengine tuko over 30 lakini application zinakosa pakuziweka!! Wewe sema humpendi tuu, mpe uhuru dada wa watu wengine wamsogeze, mwambie ukweli akujue aachane na wewe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…