Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

Mtoa mada hujielewi, unasema mdada ana 33 years, unauliza alikuwa wap haolewi ? Mbona ww una 40+ alafu hujaoa? Na wewe ulikuwa wap ?
 
Halafu ww gujike, nimekuondolea title ya gudume kwa sababu unawaza kike.
Mbn simulizi zako zinafanana sana sura?
Maana kila simulizi yako ni habari ya kutakiwa ama kupendwa na wanawake!
Mwanaume kuwaza hivyo ni kubweteka, mawazo ya kupendwa ama kutakiwa ni mawazo ya kike. Mawazo ya kiume ni ya kupenda na si kupendwa!
Halafu kuwaza kwa kubweteka kuwa unapendwa, utakata miaka yako kizembezembe, na kufikia uzee haujawa na msimamo kwa kudekeza kupendwa!
Wanawake si wa kusosomboa namna hiyo.
Umri, sura ni vigezo mahsusi vilivyowekwa na Mola ili mhitaji achague yeye. Mtu mwingine "anapogonga" size ya mwalimu wake aliyekuwa anamlamba mboko shule, ndiyo anajisikia faraja na pa kulipizia maumivu, huo ni msimamo wake.
Kwamba anataka kimo gani, umri gani, rangi gani nk nk ni chaguo la mtu kwa kipendaroho chake.
Mfano ni rais wa Ufaransa, anayewakilisha wazo kinzani la sera zako hizo.
Halafu kuzaa mapema ama kuchelewa ni mambo ambayo hayana kipaumbele chochote inategemea na mahitaji ya mtu.
Halafu unavyo chambua maumbile na maungo ya wanawake, ninatilia shaka na cvii zako za elimu unayojitanabaisha nayo kuwa unayo.
 
Mtoa mada hujielewi, unasema mdada ana 33 years, unauliza alikuwa wap haolewi ? Mbona ww una 40+ alafu hujaoa? Na wewe ulikuwa wap ?
Usifananishe nazi na jiwe. Mwanaume hana deadline ya kutoa mbegu, lkn mwanamke akifikisha 35 mayai yanakoma kutokq. Ukioa mwanamke wa miaka 35 unakuwa umeoa gunia la kukojolea tu.
 
Usifananishe nazi na jiwe. Mwanaume hana deadline ya kutoa mbegu, lkn mwanamke akifikisha 35 mayai yanakoma kutokq. Ukioa mwanamke wa miaka 35 unakuwa umeoa gunia la kukojolea tu.
Hapa dhahiri jinsia yako ni -me.
 
Unaoa mwanamke miaka 30+ !!? Kwann ujitwike zigo la kulea bibi kizee?

Mugabe kamzidi Grace Mugabe (mkewe) miaka 42. Tafsiri yake ni kwamba kama Grace alikuwa na miaka 20 wakati anaolewa basi Mugabe alikuwa na umri wa miaka (42+20).

Wewe bado hata hustahili kuoa. Unawahi wapi. Endelea kusoma kama unasoma na kama umeajiriwa piga pqpuchi mpya kila weekend
dah,imetosha sasa acheni hawa mabinti wapumzike.
 
Usifananishe nazi na jiwe. Mwanaume hana deadline ya kutoa mbegu, lkn mwanamke akifikisha 35 mayai yanakoma kutokq. Ukioa mwanamke wa miaka 35 unakuwa umeoa gunia la kukojolea tu.
Kijana una kiwango gani cha elimu wewe?
Menopause ya mwanamke ni miaka 35!
Kama mzazi kakunyima elimu, basi jitahidi unapojifaragua kuchangia, uulize kwanza ukweli ama uhakika wa jambo ulilochangia kabla haujabonyeza kitufe cha kurushia.
 
Povuuuuu la mbege[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahhaha dahh...kweli nyani haoni kundule lol
 
Mwanamke mkubwa ana mazuri yake mengi sana kumuoa na kuishi naye lkn kuna changamoto nyingi za kuishi na mtu kama huyo. Kwanza tambua inawezekana kabisa anakukomalia umuoe si kwasababu anakupenda sana bali ni kwa sababu umri unamtupa mkono hivyo yoyote atakayepatikana yy yupo tayari. Kumuoa mtu wa aina hii kuna taabu nyingi sana, ikiwemo kukulazimisha mzae kwa mfululizo bila kufuata uzazi wa mpango kwasababu muda wa kuzaa umemtupa mkono. Mwisho wa siku unakuwa na watoto wamefuatana utazani mapacha na gharama za maisha zilivyo juu kama huna mpunga sijui utafanyeje kusomesha mapacha hao waliopishana miezi. Kwa ujumla kuoa mwanamke mkubwa kuna changamoto ambazo kabla hujamuoa huwezi kuona.
Wanaume tuna advantage kwakuwa hata miaka 65 tunaweza kumpa mke mimba wakati kwa mwanamke jambo hilo ni muujiza mkubwa
Kwahio ukiwa na 70 mwanao ana miaka 5..,SMH
 
Kwa sasa nakula wenye miaka 20-28. Hawawez nikimbia hata ningekuwa 60 pesa ninayo na ni handsome nicheck hapo kwenye avatar yangu... Bonge la bazaz... Mi sioi vikongwe...mengi mwenyewe kaoa bint mwenye joto lake...mimi ndo nikaoe mtu yupo jioni.
Mwanaume mashiiii......hahahha pesa sio ishuu kwa mdada wa 30s anaejishughulisha..40s una nguvu za kiume kweli wewe?.!

Kuna katrend older women wanaolewa na vijana wadogo wakubwa mjipange
 
Ukoo wangu wote wanaolewa mapema tu. 22-26 wameolewa. Nyie kaeni mpaka mnazalia home kwenu halaf mje kututaka sisi kuwaoa.tumeshawashtukia. Sioi kikongwe
Hao wanaowazalisha na kuwatelekeza manyumbani ni kuku, bata ama?

Kinachotakiwa ni wanaume ambao wanajielewa. Na sio vivulana kama wewe at 40 bado unaendelea ku experience sex na kabisa unakubali una akili ya kitoto. Do you think your age automatically points you out as mature?

Anyway, its my bad. Ningeshaona hapo juu unakiri kuwa na akili ya kitoto na mambo ya kitoto basi singejisumbua ku comment.
 
Watu wanaolewa na miaka 50 bwana wewe itakuwa 33 bado mwali kabicha in makonde voice
 
Wewe mwenyewe Mzee miaka 40 unajiona Mdogo?kwl wingi wa miaka siyo wingi wa akili....unamsema mwenzako na kidole kimoja viwili vinne vyote kwako...
 
Gudume naona kama uko so hash...ww mwenyewe mzee...mbona hujaoa mapema??..Na kwa umri wako kama unataka kuoa under 30 ni ubabe tu
 
wacha nionekane mbaguzi,mjinga,mshamba n.k SIOI MIMI MSICHANA WA MIAKA 33. ujana wake kala wapi uzee aje kumalizia kwangu? najua mpo humu na mmechukia na kuona nawaharibia soko. nawaasa vijana msidanganyike kabisa. unataka uoe msichana yupo mida ya jioni? saa 12 saa moja jioni? hapana. nyie tukaneni tu ila huyu dada hakuolewa sababu alikuwa anapenda sana kula bata.anasema alikuwa napenda kutumia ujana sasa umri ndo umefika. hakuwa akitaka kubanwa banwa. so watu walikuwa wanamgonga wanaenda kuoa kwingine. leo hii mimi ndo nichukue moja kwa moja??????????????????????????????????????? aaaahh.. wapi. huo utakuwa unyanyasi mkubwa kwangu. wakati wapo watoto wadogo tu ambao umri wao si haba bado unaita. sishawishiki....
Na wewe wa kwako uliula wapi?
 
Back
Top Bottom