Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

Bila haya Bidada ana miaka 33 anataka nimwoe. Nimemcheck usoni yupo serious kabisa

Wewe ndo chaguo lake achakuzinguaa, walijisemea wahenga kila shetani na mbuyu wake
 
Siamini kama Wadada wote walio above 30 ni walitumika sana

Wengine hawakutumika ila walikuwa wanamtumikia Mungu wao na wana sifa haswaa ya Wake wema

Wakati huo huo wapo watoto wa miaka ya 20's waliokubuhu na kutoa mimba haswaa

Tusikariri
 
Unaoa mwanamke wa 30+ hawa wa 16-24 unamwachia nani? Mbona vijana wenzangu mnapoteza umakini kwa nini? Utafiti wangu binafsi unaonesha kuwa mwanamke ambaye anachelewa kupata uzao wake wa kwanza....anaweza kupata mtoto Mwenye matatizo fulani yaani physical problems, mental problems, psychological problems,and behaviour problems! Nazungumza hivi nikiwa na sample size ya kutosha juu ya utafiti wangu!
 
Mleta uzi unamjua chichidodo...huyu ni ndege anaependa funza ila anayachukia mavi...Sasa wewe inaonekana tayari unamahusiano na hyo mama then hutaki kumuoa so kwa nn unamtafuna?
 
Ndio umri ushakwenda sasa afanyeje, kuolewa ni ndoto ya kila mwanamke hata kama kafikisha zaidi ya 30 akipata wa kumuoa anaolewa.

Wacha kukatisha watu tamaa bana. Pia nikwambie mkuu sio kila mwanamke mwenye umri mkubwa kwamba katumika sana na kwamba hafai kwa ndoa nalikataa hilo gudume.
Shaddeya inaonekana wewe umeshaolewa karibu kutafakari vizuri utaona sababu zinazofanya wanawake wachelewe kuolewa.

wanawake wengi wanaochelewa kuolewa Wana tabia Fulani zinazofanya wachelewe kuolewa, mwanamke asie na vitabia Fulani Fulani hivi hachelewi kuolewa, wanaume wanapotafuta wanawake wa kuoa Wana vitu wanaangalia ndio maana Kuna wanawake wanaovijua wanavifake jamaa msala anakutana nao ndani ya nyumba.

Kama hujui hata wale jamaa walevi wa kuchelewa kurudi home kabisa lakini kazini wako vizuri huwa wanapata wanawake wanaoweza kuvumilia na kuishi na tabia hiyo.
 
Unaoa mwanamke wa 30+ hawa wa 16-24 unamwachia nani? Mbona vijana wenzangu mnapoteza umakini kwa nini? Utafiti wangu binafsi unaonesha kuwa mwanamke ambaye anachelewa kupata uzao wake wa kwanza....anaweza kupata mtoto Mwenye matatizo fulani yaani physical problems, mental problems, psychological problems,and behaviour problems! Nazungumza hivi nikiwa na sample size ya kutosha juu ya utafiti wangu!
Hawa wanaochelewa kuolewa hasa 35+ huwa Mara nyingi wanavunja nyumba wanaingia wao, au wanaingia sehemu ambayo imetoka kwenye talaka.
 
Back
Top Bottom