niko tayari lkn huna hela!!Tena mumshukuru sana...amewaletea maendeleo huko muache unafiki.
Musoma nimekaa kama miaka nane iliyopita..nilirudi kuwajua hali wana huko mwaka jana nikakuta maboresho makubwa sana!
Ile hospital yenu kaikarabati
Barabara kazipalilia haswa...tena maeneo ya nyasho hapo nilipotea.
Nilishangaa kawawekea na mataa ya barabarani.
Mwisho nataka nikuoe upo tayari? Tuyajenge mummy
Legacy yake ni ya uovu. Huko mbeleni, utawala wa awamu ya tano, utatajwa kama kipindi cha giza, kipindi ambacho shetani alijitwalia utukufu Tanzania kwa kukalia nafasi ya juu ya nchi.Huyu shetani atasimangwa mpaka vizazi na vizazi kwa dhuluma zake dhidi ya watanzania
Kabisa mkuu. Unajua wengi bado hawajagundua kuwa na kiongozi mwenye busara na upeo mkubwa ni afya kwa maendeleao ya nchi. Watanzania ni watu waoga sana hata wakiporwa viongozi waliowachagua kwenye uchaguzi hawa-react. Hili linafanya rais, kama ni mjinga adhani ana uwezo wa kufanya lolote na kupitisha wagombea anaowapenda kinguvu. Tuombe Mungu amuongoze na kumpa busara mama Samia ili ajue kuwa pamoja na nguvu zote alizonazo lakini haki ndiyo msingi wa maendeleo.Uzuri sisi tunaoitwa wazandiki tulimwambia isipokuwa alikuwa haambiliki.Ngoma tunayopiga huku mitandaoni mirindimo yake huwafanya walazimike kucheza na kudemka.Nia yetu ni,njema na mitandao ndiyo the only option we had to address issues.
Mh.Rais Samia S.Hassan, sikiliza wasemacho waliopo mitandaoni maana sasa hivi hakuna Bunge,Madiwani wala Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji.Wote walipatikana kwa njia haramu na kwa jinsi hiyo hawawakilishi wapiga kura/Wananchi.
Nchi yetu inahitaji Katiba Mpya na mihimili ya serikali inayojitegemea na huru.Tunaimani na Rais wetu Samia kuwa atatuletea Suluhu ya kudumu kwa ustawi wa Taifa letu.
Mwenyezi Mungu akujaalie "Subra" ili utende kwa Haki.
Dogo ongeza, ongeza ya nini? Sema mngechukua ubunge nchi nzima na urais juu. Lakini kutokana na umahiri wa JPM na uchapakazi wake uliokubalika na Watanzania, sasa hivi mgombea wenu Lissu yupo ughaibuni kwa aibu na Wabunge wa CCM wametamalaki Bungeni! Ninyi mmebaki kuota tu! Ahahahahahahahahaha!!Ongeza Kawe, pemba yote na kadhaa ya unguja, Muheza, mikumi, Mtama kwa Nape, Ifakara, Kilombero, Arusha na Kilimanjaro yote, Dar yote, Mbeya yote, Dom wangegawana pasu, Mwanza pasu, Geita pasu, Pwani pasu, Moro pasu.
Hiyo itatokea iwapo Lissu akiwa Ubeleji ataota ni Rais na Shogaake Amsterdam ni PM wake! Ahahahaahahahahah!!!Legacy yake ni ya uovu. Huko mbeleni, utawala wa awamu ya tano, utatajwa kama kipindi cha giza, kipindi ambacho shetani alijitwalia utukufu Tanzania kwa kukalia nafasi ya juu ya nchi.
Kura zilizopigwa siku mbili kabla zikimpa ushindi magufuli mfno pale kinondoni ofisi za ccm watoto walichukuliwa mitaani kwenda kupiga kura kabla ya zoezi ( ushahidi upo waliahidiwa left 5000 na hawajapewa mpaka leo) TISS WANAJUA HILIKibondo jango la maendleo shughuli hii ilifanyika .Hayati Magufuli ndiye aliyesababisha wabunge wengi kurudi bungeni kwa ubabe wake alioufanya.
Madiwani nao wamebebwa kushika hizo nyadhifa kwa hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.
Wenyeviti wa vitongoji ndiyo kabisaa hata uchaguzi hatukufanya walipitishwa bila kupingwa, yote hiyo ni hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.
Kwa mifano michache tu wabunge wafuatao kamwe wasingerudi Bungeni kama ubabe wa hayati Magufuli isingetumika.
1. Ndugai
2. Lukuvi
3. Mkuchika
4. Mbunge wa Kilwa ( kule kwa bwana Bwege)
5. Tulia Ackson
7. Mbunge wa Ikungi( kwa Lissu)
8. Mbunge wa Hai
9. Mrisho Gambo
10. Mbunge wa Mikumi
11. Mbunge wa Iringa mjini
12. Mbunge wa Mbarali
13. Mbunge wa Kigoma mjini ( kwa Zitto Kabwe)
14. Salma Kikwete
15. Wabunge Pemba yote
16. Majimbo 10 Unguja
17. Mwita Waitara
18. Askofu Gwajima
19. Mkoa wa Lindi wote except ( Mtama na Ruangwa)
20. Mkoa wa Mtwara wote (except majimbo matatu tu).
21. Mbunge Bukoba mjini
22. Abood (Morogoro mjini)
Hiyo ni mifano michache, lakini 40% ya wabunge waliopo Bungeni wamebebwa kwa hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.
Sasa maadamu Mama Sami S Hassan ataruhusu watu wachague kwa haki, tuombe uzima 2025 muone kitakacho watokea CCM.
Huku msikia kasema yeye na marehemu ni kitu kimoja? tegemea mabaya zaidiMimi hofu yangu ni ni hii: Huu ujinga wa kuendesha uchaguzi wa kiharamia na kupitisha wagombea kwa nguvu za dola usije kuwa ndiyo ''norms'' mpya kwa nchi yetu. Yaani isijekuwa hata mama Samia naye atakuwa amejifunza na yuko tayari kufanya hivyo hivyo. Unajua miaka ya nyuma bado kilikuwa na wizi lakini angalau ulikuwa siyo uporaji kama huu. Na mbaya zaidi wameshajua kuwa wananchi hawawezi kufanya lolote. Hapa tutegemee tu busara za mama Samia za kujua kuwa uchaguzi huru na wa haki huzaa viongozi bora hivyo kufanya kinyume chake ni kujichimbia kaburi mwenyewe.
Naam barabara kabisa!.Itakumbukwa daima kuwa hatukuwahi kupata mfalme ambaye ni juha na fedhuliLegacy yake ni ya uovu. Huko mbeleni, utawala wa awamu ya tano, utatajwa kama kipindi cha giza, kipindi ambacho shetani alijitwalia utukufu Tanzania kwa kukalia nafasi ya juu ya nchi.
Na tutasema sana tu mkuu.Tunajua tunawauzi tumbili wachache humu lakini ndio hivyo watusamehe tu.Nchi ilikuwa ni.mali ya mtu mmoja sio ya watanzania milioni kadhaa hii ndio tafsiri ya mtu kutotaka kutotaka kutowasikiliza wengineUzuri sisi tunaoitwa wazandiki tulimwambia isipokuwa alikuwa haambiliki.Ngoma tunayopiga huku mitandaoni mirindimo yake huwafanya walazimike kucheza na kudemka.Nia yetu ni,njema na mitandao ndiyo the only option we had to address issues.
Mh.Rais Samia S.Hassan, sikiliza wasemacho waliopo mitandaoni maana sasa hivi hakuna Bunge,Madiwani wala Wenyeviti wa Vijiji na Vitongoji.Wote walipatikana kwa njia haramu na kwa jinsi hiyo hawawakilishi wapiga kura/Wananchi.
Nchi yetu inahitaji Katiba Mpya na mihimili ya serikali inayojitegemea na huru.Tunaimani na Rais wetu Samia kuwa atatuletea Suluhu ya kudumu kwa ustawi wa Taifa letu.
Mwenyezi Mungu akujaalie "Subra" ili utende kwa Haki.
Itabaki historia vichwani mwa watu wengi ya kwamba hakukuwahi kutokea kiongozi jeuri na katili kama wa awamu fulaniNa madhara yake kwa wote walioshiriki yatawatafuna vizazi vyao hadi vya nne huko mbele. Wasidhani imeisha.
Sijui ilikuwaje taifa la Tanzania likanaswa kwenye mikono ya hilo Dubu la Chattle.Legacy yake ni ya uovu. Huko mbeleni, utawala wa awamu ya tano, utatajwa kama kipindi cha giza, kipindi ambacho shetani alijitwalia utukufu Tanzania kwa kukalia nafasi ya juu ya nchi.
Hilo ni wazi. Natumani Rais Samia kama alivyosema kodi za dhuluma hazitaki, natumaini 2025 atasema kura za dhuluma hazitaki. Mimi naona Samia ndo mkombozi tuliyekuwa tunamsubiri. Tusitegemee mwingine!Alipotezwa na walio faidika na hisani zake hadi wakamuita mtume au Yesu.
Ili mradi asilewe sana sifa na madarakaHilo ni wazi. Natumani Rais Samia kama alivyosema kodi za dhuluma hazitaki, natumaini 2025 atasema kura za dhuluma hazitaki. Mimi naona Samia ndo mkombozi tuliyekuwa tunamsubiri. Tusitegemee mwingine!
Tuendeleze kutetea Mambo yatendeke kwa Haki na Utu wa kila Mtanzania uheshimiwe.Raslimali za nchi zinufaishe Watanzania wote baada ya kuendelezwa ipasavyo.Na tutasema sana tu mkuu.Tunajua tunawauzi tumbili wachache humu lakini ndio hivyo watusamehe tu.Nchi ilikuwa ni.mali ya mtu mmoja sio ya watanzania milioni kadhaa hii ndio tafsiri ya mtu kutotaka kutotaka kutowasikiliza wengine
Hao ndiyo tatizo kuu la Taifa kwa sasa.Wanapambana!Wajumbe tunaendelea kuwakataa wote waliopitishwa na mwendazake
Nalog off
nakuunga mkono umeandika ukweli mtupu sisi waislamu tuna sema mungu atamlipa anavyostahili na hakuna ila ni moto tu kwa aliyoyafanya katika kipindi cha miaka 5 mazuri yote aliyofanya yanafutika kwa mauwaji na dhulma alizotufanyia.Akafanye na ubabe wake motoni sasa, maana yake hata kwa Mungu hajaenda asijeakaendeleza ubabe wake mbinguni,Mungu akapata kazi nyingine ya kumushusha kuzimu kama shetani.
Muraaa!! Uko tayari kwa rikipigoo??Tena mumshukuru sana...amewaletea maendeleo huko muache unafiki.
Musoma nimekaa kama miaka nane iliyopita..nilirudi kuwajua hali wana huko mwaka jana nikakuta maboresho makubwa sana!
Ile hospital yenu kaikarabati
Barabara kazipalilia haswa...tena maeneo ya nyasho hapo nilipotea.
Nilishangaa kawawekea na mataa ya barabarani.
Mwisho nataka nikuoe upo tayari? Tuyajenge mummy