Bila Hayati Magufuli; Wabunge, madiwani na wenyeviti wa vitongoji leo wasingekuwa kwenye hizo nafasi

Bila Hayati Magufuli; Wabunge, madiwani na wenyeviti wa vitongoji leo wasingekuwa kwenye hizo nafasi

Muraaa!! Uko tayari kwa rikipigoo??
Huku kwetu bana ni ndondi haswa!!

Mateke.ngumi mishale! Mikuki ndo Zetu. tulivo haswaa!! hatutaki kuremba. Kwanza

Hatutawazi Sijui na vimaji vya hiriki bali ni mwendo wa kujitawaza kwa miti majani au kavukavu yanakaukia humohumo!! Sababu
Chakula yetu ya asili ni Mahemba tu! Na mwili wa ng'ombe kichure kwa sana. Tunatoa haja wasafiii!!

Je utaweza muziki huu? Then!
Lazima tukupime kwanza kabla. je? u janaume hasa!
mwanajeshi tosha kulinda familia?? Je Unaweza bhita ni bhita?Siyo mpaka uwe JWTZ no!! hapahapa! Tunakupima kikwetu.
Jiandae km unajiamini nikupe connection uje!! Kwetu Ni hapo tu Kenyamanyori njia ya kueleka kiribho!!

Siyo majaribu ukifanya masihara unaweza usirudi kwenu mzima kisa kuchumbia.kazi kwako....
Wee ngoja niweke muda vizuri tuyamalize PM..kazi kazi iendelee.

Achana na mambo ya mura mura..
 
Wee ngoja niweke muda vizuri tuyamalize PM..kazi kazi iendelee.

Achana na mambo ya mura mura..
Mura Mura tata ndiyo maongozi ya nchi yanatoka hukoo!! Usithubutu kuyadhaau utakuwa km jiwe. Sasa mie mtu km jiwe wa nini?? Kuachwa mjane nikiwa mdogo??

Mtihani wa kwanza Huu umeshindwa. Ishia hapo hapo mila yyeettuu haichezzeewi na mrisyaa
 
Kifo cha Rais JPM watu wanakiweka kisiasa mno. Yule alikuwa ni binadamu mwenye matatizo ya moyo ya muda mrefu na alishavuka miaka 60 ambayo kwa afrika yetu ni mingi.

Pengine kwa maradhi aliyokuwa nayo na ndani ya miaka aliyokuwa naibu waziri, waziri na rais, aliweza kufanya mengi mazuri kwa taifa hili.

Kifo kinatusubiri sisi wote tunaopumua hivi sasa, hatuwezi kukikwepa.
 
Magu alikuwa shetani aliyelaanika.
Dogo ongeza, ongeza ya nini? Sema mngechukua ubunge nchi nzima na urais juu. Lakini kutokana na umahiri wa JPM na uchapakazi wake uliokubalika na Watanzania, sasa hivi mgombea wenu Lissu yupo ughaibuni kwa aibu na Wabunge wa CCM wametamalaki Bungeni! Ninyi mmebaki kuota tu! Ahahahahahahahahaha!!
 
Kifo cha Rais JPM watu wanakiweka kisiasa mno. Yule alikuwa ni binadamu mwenye matatizo ya moyo ya muda mrefu na alishavuka miaka 60 ambayo kwa afrika yetu ni mingi.

Pengine kwa maradhi aliyokuwa nayo na ndani ya miaka aliyokuwa naibu waziri, waziri na rais, aliweza kufanya mengi mazuri kwa taifa hili.

Kifo kinatusubiri sisi wote tunaopumua hivi sasa, hatuwezi kukikwepa.
Hehehe he was an evil man. Let him rot there.
 
Hayati Magufuli ndiye aliyesababisha wabunge wengi kurudi bungeni kwa ubabe wake alioufanya.

Madiwani nao wamebebwa kushika hizo nyadhifa kwa hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.

Wenyeviti wa vitongoji ndiyo kabisaa hata uchaguzi hatukufanya walipitishwa bila kupingwa, yote hiyo ni hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.

Kwa mifano michache tu wabunge wafuatao kamwe wasingerudi Bungeni kama ubabe wa hayati Magufuli isingetumika.

1. Ndugai
2. Lukuvi
3. Mkuchika
4. Mbunge wa Kilwa ( kule kwa bwana Bwege)
5. Tulia Ackson
7. Mbunge wa Ikungi( kwa Lissu)
8. Mbunge wa Hai
9. Mrisho Gambo
10. Mbunge wa Mikumi
11. Mbunge wa Iringa mjini
12. Mbunge wa Mbarali
13. Mbunge wa Kigoma mjini ( kwa Zitto Kabwe)
14. Salma Kikwete
15. Wabunge Pemba yote
16. Majimbo 10 Unguja
17. Mwita Waitara
18. Askofu Gwajima
19. Mkoa wa Lindi wote except ( Mtama na Ruangwa)
20. Mkoa wa Mtwara wote (except majimbo matatu tu).
21. Mbunge Bukoba mjini
22. Abood (Morogoro mjini)

Hiyo ni mifano michache, lakini 40% ya wabunge waliopo Bungeni wamebebwa kwa hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.

Sasa maadamu Mama Sami S Hassan ataruhusu watu wachague kwa haki, tuombe uzima 2025 muone kitakacho watokea CCM.
Wabunge wa Kagera wote.
Wabunge wa Mara wote
Wabunge wa Songwe wote
 
Hayati Magufuli ndiye aliyesababisha wabunge wengi kurudi bungeni kwa ubabe wake alioufanya.

Madiwani nao wamebebwa kushika hizo nyadhifa kwa hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.

Wenyeviti wa vitongoji ndiyo kabisaa hata uchaguzi hatukufanya walipitishwa bila kupingwa, yote hiyo ni hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.

Kwa mifano michache tu wabunge wafuatao kamwe wasingerudi Bungeni kama ubabe wa hayati Magufuli isingetumika.

1. Ndugai
2. Lukuvi
3. Mkuchika
4. Mbunge wa Kilwa ( kule kwa bwana Bwege)
5. Tulia Ackson
7. Mbunge wa Ikungi( kwa Lissu)
8. Mbunge wa Hai
9. Mrisho Gambo
10. Mbunge wa Mikumi
11. Mbunge wa Iringa mjini
12. Mbunge wa Mbarali
13. Mbunge wa Kigoma mjini ( kwa Zitto Kabwe)
14. Salma Kikwete
15. Wabunge Pemba yote
16. Majimbo 10 Unguja
17. Mwita Waitara
18. Askofu Gwajima
19. Mkoa wa Lindi wote except ( Mtama na Ruangwa)
20. Mkoa wa Mtwara wote (except majimbo matatu tu).
21. Mbunge Bukoba mjini
22. Abood (Morogoro mjini)

Hiyo ni mifano michache, lakini 40% ya wabunge waliopo Bungeni wamebebwa kwa hisani ya ubabe wa hayati Magufuli.

Sasa maadamu Mama Sami S Hassan ataruhusu watu wachague kwa haki, tuombe uzima 2025 muone kitakacho watokea CCM.
Mwendazake alikuwa dictator, yafaa mwili wake ufukuliwe utiwe moto adharani
 
Kwako wewe mkuu, kwa wengine wengi alikuwa mwema mpaka wakamtandikia kanga njiani.
Zile kanga ni unafiki wa watanzania Tu...Kama tunavyoona wakilia misibani Kwa watu waliokuwa wabaya kabla ya mauti...unafiki wa watanzania usikudanganye...huyu jiwe watu wameshukuru sana kututoka..
 
Zile kanga ni unafiki wa watanzania Tu...Kama tunavyoona wakilia misibani Kwa watu waliokuwa wabaya kabla ya mauti...unafiki wa watanzania usikudanganye...huyu jiwe watu wameshukuru sana kututoka..
Haiwezekani wanafiki wakawa wengi kiasi kile. Mama zetu siku zote huwa ni nafsi zenye kuongea ukweli. Hulazimiki kukubaliana na JPM haswa namna alivyoongoza nchi lakini kubali tu kuwa aligusa maisha ya wengi.

Na wote waliovunja uzio pale uwanja wa ndege siku ile mwili ulipokwenda Dodoma ni watu wa hali ya chini, hawakufanya vile kinafiki kuna mambo mema ambayo Hayati aliwafanyia ndani ya maisha yao.
 
Wakafa tena watu 45 pale pale. Uthibitisho mwingine magu alikuwa amelaanika.
Haiwezekani wanafiki wakawa wengi kiasi kile. Mama zetu siku zote huwa ni nafsi zenye kuongea ukweli. Hulazimiki kukubaliana na JPM haswa namna alivyoongoza nchi lakini kubali tu kuwa aligusa maisha ya wengi.

Na wote waliovunja uzio pale uwanja wa ndege siku ile mwili ulipokwenda Dodoma ni watu wa hali ya chini, hawakufanya vile kinafiki kuna mambo mema ambayo Hayati aliwafanyia ndani ya maisha yao.
 
Nikikumbuka yale matokeo ya Kawe kura za urais vs za wabunge mimi hoi. Ukiwa mwizi wa namba uwe na akili kidogo.
 
Haiwezekani wanafiki wakawa wengi kiasi kile. Mama zetu siku zote huwa ni nafsi zenye kuongea ukweli. Hulazimiki kukubaliana na JPM haswa namna alivyoongoza nchi lakini kubali tu kuwa aligusa maisha ya wengi.

Na wote waliovunja uzio pale uwanja wa ndege siku ile mwili ulipokwenda Dodoma ni watu wa hali ya chini, hawakufanya vile kinafiki kuna mambo mema ambayo Hayati aliwafanyia ndani ya maisha yao.
Mambo mema yapi yaliyo tofauti na watangulizi wake...jiwe aliwazidi wenzake Kwa propaganda..tena propaganda chafu...na watanzania wajinga walio wengi walipumbazwa nazo...
 
Mambo mema yapi yaliyo tofauti na watangulizi wake...jiwe aliwazidi wenzake Kwa propaganda..tena propaganda chafu...na watanzania wajinga walio wengi walipumbazwa nazo...
Mkuu kuunganisha umeme kabla ya hayati ilikuwa tshs 454,000 sasa hivi ni tshs 27,000 kama umeshafikia umri wa kujitegemea utaelewa alichokifanya hayati.

Katengeneza meli za ziwa Victoria ambazo zilikuwa zimekufa kwa miaka mingi tu.

Kafufua shirika la ndege lilikuwa limekufa, watalii na wafanyabiashara wanaelewa nini maana yake.
 
Back
Top Bottom