Bila Hayati Magufuli; Wabunge, madiwani na wenyeviti wa vitongoji leo wasingekuwa kwenye hizo nafasi

Hawezi kuwa amelaanika mtu aliyeagwa na mamilioni.

Ukisoma maoni JF unaweza ukadhani huko mtaani kuna akili kama za humu kumbe tofauti kabisa.
Ndivyo ilivyo walimuaga kama mfuasi wa freemason tu. Huwa wanafanya kampeni aagwe kwa wingi kama walivyotembeza mwili wake kila mtaa nchi nzima.🤣🤣
 
Acha uongo. Nimeunganisha umeme kijijini kwa sh laki tatu. Hizi stori za 2700Tsh ni za mataga.
 
Mwenda zake alaniwe kwakweli. Alimkosesha bro angu ubunge hivi hivi. Nasikuhuzuni nilipo sikia kavuta waya. Naingoja 2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…