Bila huruma ya CCM hakuna mpinzani atakayeingia Bungeni

Bila huruma ya CCM hakuna mpinzani atakayeingia Bungeni

Hakuna mwana ccm atakayeingia bungeni isipokuwa huruma ya wapinzani kuogopa kuleta maafa, ukweli upo wazi ccm wanaiba kura.
 
Ndugu zangu watanzania,

Kwa Sasa watanzania hawana Imani kabisa na upinzani na wapinzani,hawawaamini wapinzani kwa kuwa wameona ni watu waliokosa msimamo, vigeu geu...
Baada ya kuchoshwa na zile heading zako “mama samia hana mpinzani nchi nzima”, akili imekurudi japo imekurudi huku mamayenu akipokea makamu wa rais wa mashoga pale ikulu.
 
Dah maelezo yanaonyesha mambo makuu mawili
1 wewe hujui siasa za nchi hii
2 na kama unajua basi umewadharau watz kwa kauli zako tata
Hakuna mtu anaetaka huruma ya ccm ili awe mbunge ndio maana tume huru inahitajika
Lakini pia KATIBA mpya inahitajika sana ili kuzuia ufisadi ndani ya ccm
Hata leo hakuna mbunge yeyote wa ccm anaejali wapiga kura wake wote wanajali matumbo yao miradi yote insimamiwa na rais na bado wanamkwapua
 
Unachofanya kwenye nyuzi zako ni kuwatukana au kuwatukanisha watanzania!! Kuwa mwangalifu!
Watanzania wameridhishwa na utendaji kazi wa CCm ,wamechoshwa na mimatusi ya kina Lema na chadema,hawana mpango Tena na upinzani
 
Unachofanya kwenye nyuzi zako ni kuwatukana au kuwatukanisha watanzania!! Kuwa mwangalifu!
Watanzania wameridhishwa na utendaji kazi wa CCm ,wamechoshwa na mimatusi ya kina Lema na chadema,hawana mpango Tena na upinzani
 
Dah maelezo yanaonyesha mambo makuu mawili
1 wewe hujui siasa za nchi hii
2 na kama unajua basi umewadharau watz kwa kauli zako tata
Hakuna mtu anaetaka huruma ya ccm ili awe mbunge ndio maana tume huru inahitajika
Lakini pia KATIBA mpya inahitajika sana ili kuzuia ufisadi ndani ya ccm
Hata leo hakuna mbunge yeyote wa ccm anaejali wapiga kura wake wote wanajali matumbo yao miradi yote insimamiwa na rais na bado wanamkwapua
Tume ya uchaguzi siyo inayochagua Wala kupiga Kura,kazi ya time Ni kusimamia uchaguzi na kuwatangaza washindi baada ya kuhesabu kura na hizo kura zinapigwa na watanzania na hupigia chama na mtu anayekubalika na mwenye Sera na ajenda zinazogusa maisha yao.

Kwa Tanzania yetu hata ije tume kutoka marekani bado CCM itashinda kwa kishindo,kutokana na Sera na ajenda ambazo huzibeba katika kila uchaguzi ,kuwa na ilani yenye kwenda na wakati na yenye kugusa Mahitaji ya watu,wakati upinzani Ni kichekesho tu,hawana hata uwezo wa kuwaandaa mgombea Wala ilani,wao mgombea ndio ilani Yao na Sera Yao,ndio maana mgombea wao unakuta akipanda jukwaani anaropoka chochote kinachokuja katika mdomo wake na jinsi alivyo amka kwa siku husika kichwani,ndio maana watanzania wanaendelea kuwapuuza wapinzani wa nchi hii

Ndio maana hata lissu alipowaambia watanzania waandamane walimkatalia na kumpuuza yeye na chadema yake Hadi akaamua kuondoka nchini
 
Ndugu zangu watanzania,

Kwa Sasa watanzania hawana Imani kabisa na upinzani na wapinzani,hawawaamini wapinzani kwa kuwa wameona ni watu waliokosa msimamo, vigeu geu,njaa Kali, hawawaamini kwa kuwa wanaona wapinzani Ni watu unaoweza kuwapigia Kura Leo na kesho wakakimbia.

Hakuna mwananchi mwenye Akili Timamu anayeweza kuhatarisha maisha yake au kuwa Tayari kupigwa mabomu au kupata kilema Cha mguu au kuvunjwa mkono kwa kumpigania mpinzani awe mbunge wakati anajuwa kesho atakimbiwa na kuachwa bila msaada wowote,anajuwa hakuna mpinzani anayepigania maslahi ya wananchi zaidi ya Tumbo lake,anajuwa kitu pekee Cha kumwamini mpinzani na ambacho hawezi kukataa au kugeuka Ni juu ya jinsia yake tu.

Watanzania wamejifunza kuwa wapinzani Ni watu pale wanapotafuta ubunge na udiwani tu lakini wakishapita wanageuka kuwa na Dunia Yao,ndio maana siyo ajabu akina Lema na viongozi wengine wa chadema walikuja na kuwatukana watanzania kuwa Ni maskini na wanaofanya kazi zilizolaaniwa,wakasahau kuwa Ni hao hao ndio waliowafikisha hapo walipo fika na kufahamika, wanapoteza kumbukumbu kuwa Ni hao ndio waliowapa heshima na kuwaheshimisha maana wengine walichangiwa kwa kila kitu mpaka kuwa viongozi lakini mwisho wa siku walipovimbiwa viinua mgongo vyao wakaja kuwatapikia watanzania matusi ya udhalilishaji.

Watanzania wametambua kuwa Ni CCM pekee yenye uwezo wa kiuongozi,Ni CCM pekee yenye uchungu na maisha yao,Ni CCM pekee yenye kubeba ajenda ,Sera na ilani yenye kugusa maisha Yao,Ni CCM pekee yenye uwezo wa kusimamia Rasilimali za Taifa letu kwa maslahi ya watanzania wote,ndio sababu ya Kuendelea kuiamini,kuiunga mkono,kuitetea,kuipigania na kuipigia kura kila uchaguzi,ndio sababu ya kuipa ushindi katika kila ngazi ,ndio sababu ya kutomkubalia yeyote atakaye taka Kuchezea amani ya Taifa letu Wala kuwashawishi na kushawishika kuipinga serikali ya CCM.

Ni jukumu la CCM kulinda heshima hii iliyopewa na watanzania kwa Kuendelea kuchapa kazi kwa uadilifu,uzalendo na kugusa maisha ya watu, kuwasikiliza watu,kuwa karibu nao,kutatua kero zao,kutoa majibu kwa wakati,kuwalinda dhidi ya wanyonyaji,kutumia Rasilimali zetu kuwapatia huduma Bora na stahiki watanzania,kuja na ilani itakayoendana na wakati na mahitaji ya wakati pamoja na kuja na wagombea wenye kujua Mahitaji ya watanzania, kero na changamoto zao, wazalendo na wachapakazi, waadilifu,wenye historia nzuri kiutendaji,waaminifu na wasema kweli ,wenye kuzungumza lugha za watu juu ya Mahitaji Yao,wenye kuwa karibu na watu ,wenye kujuwa cheo Ni dhamana na ni kwa ajili ya watu pamoja na kujuwa kuwa uongozi Ni utumishi kwa watu.

Ni lazima CCM ilindwe kwa nguvu zote kwa jasho ,machozi na Damu ili iendeleee Kusalia madarakani maana Hawa wengine watalipasua Taifa letu,kwa kuwa hawana Uzalendo na Taifa letu Wala uchungu na maisha ya watanzania Ndio maana Ni kawaida kusikia makauli ya ajabu ajabu kutoka katika vinywa vya viongozi wa upinzani kwa kuwa wao na familia zao wanajuwa wataweza kwenda marekani na ulaya kutanua maisha na kuwaacha watanzania wakiteseka ,Ndio maana watanzania hatupo tayari kuruhusu Hilo kutokea hapa nchini kwa kuwapa Kura na madaraka upinzani na kuisaliti CCM iliyotufikisha hapa kwa kututumikia kwa upendo uzalendo na unyenyekevu mkubwa na uliotukuka ,CCM haitaachia madaraka na hiyo ndio kauli ya mamillioni ya watanzania wazalendo wa Taifa letu.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Imbecile !

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Sikujua huyu Mwashambwa ni mpuuzi kiasi hiki, vipi utaratibu wa kila mtu auuze sera zake kwa kufuata sheria bila kuingiliwa halafu wananchi wakaamua wenyewe, haya mambo ya kutetea chama kwa damu ni zaidi ya ushamba na ujinga
 
Sikujua huyu Mwashambwa ni mpuuzi kiasi hiki, vipi utaratibu wa kila mtu auuze sera zake kwa kufuata sheria bila kuingiliwa halafu wananchi wakaamua wenyewe, haya mambo ya kutetea chama kwa damu ni zaidi ya ushamba na ujinga
Wanaokitetea chama kwa jasho machozi na Damu Ni wanachama na wakereketwa wa chama husika, Au unafikiri kujenga chama ni kazi nyepesi? Hujuwi kuna watu huwa wanapata ajali na kupata majeraha wakiwa katika ujenzi na uimarishaji wa chama? Hujasikia wengine Hadi wanafariki wakiwa njiani kuelekea kwenye kampeni au kuimarisha chama au ziara za chama? Unafikiri huwa wakipata majeraha wanatoa maji? Au maziwa? Au asali?
 
Ndugu zangu watanzania,

Kwa Sasa watanzania hawana Imani kabisa na upinzani na wapinzani,hawawaamini wapinzani kwa kuwa wameona ni watu waliokosa msimamo, vigeu geu,njaa Kali, hawawaamini kwa kuwa wanaona wapinzani Ni watu unaoweza kuwapigia Kura Leo na kesho wakakimbia.

Hakuna mwananchi mwenye Akili Timamu anayeweza kuhatarisha maisha yake au kuwa Tayari kupigwa mabomu au kupata kilema Cha mguu au kuvunjwa mkono kwa kumpigania mpinzani awe mbunge wakati anajuwa kesho atakimbiwa na kuachwa bila msaada wowote,anajuwa hakuna mpinzani anayepigania maslahi ya wananchi zaidi ya Tumbo lake,anajuwa kitu pekee Cha kumwamini mpinzani na ambacho hawezi kukataa au kugeuka Ni juu ya jinsia yake tu.

Watanzania wamejifunza kuwa wapinzani Ni watu pale wanapotafuta ubunge na udiwani tu lakini wakishapita wanageuka kuwa na Dunia Yao,ndio maana siyo ajabu akina Lema na viongozi wengine wa chadema walikuja na kuwatukana watanzania kuwa Ni maskini na wanaofanya kazi zilizolaaniwa,wakasahau kuwa Ni hao hao ndio waliowafikisha hapo walipo fika na kufahamika, wanapoteza kumbukumbu kuwa Ni hao ndio waliowapa heshima na kuwaheshimisha maana wengine walichangiwa kwa kila kitu mpaka kuwa viongozi lakini mwisho wa siku walipovimbiwa viinua mgongo vyao wakaja kuwatapikia watanzania matusi ya udhalilishaji.

Watanzania wametambua kuwa Ni CCM pekee yenye uwezo wa kiuongozi,Ni CCM pekee yenye uchungu na maisha yao,Ni CCM pekee yenye kubeba ajenda ,Sera na ilani yenye kugusa maisha Yao,Ni CCM pekee yenye uwezo wa kusimamia Rasilimali za Taifa letu kwa maslahi ya watanzania wote,ndio sababu ya Kuendelea kuiamini,kuiunga mkono,kuitetea,kuipigania na kuipigia kura kila uchaguzi,ndio sababu ya kuipa ushindi katika kila ngazi ,ndio sababu ya kutomkubalia yeyote atakaye taka Kuchezea amani ya Taifa letu Wala kuwashawishi na kushawishika kuipinga serikali ya CCM.

Ni jukumu la CCM kulinda heshima hii iliyopewa na watanzania kwa Kuendelea kuchapa kazi kwa uadilifu,uzalendo na kugusa maisha ya watu, kuwasikiliza watu,kuwa karibu nao,kutatua kero zao,kutoa majibu kwa wakati,kuwalinda dhidi ya wanyonyaji,kutumia Rasilimali zetu kuwapatia huduma Bora na stahiki watanzania,kuja na ilani itakayoendana na wakati na mahitaji ya wakati pamoja na kuja na wagombea wenye kujua Mahitaji ya watanzania, kero na changamoto zao, wazalendo na wachapakazi, waadilifu,wenye historia nzuri kiutendaji,waaminifu na wasema kweli ,wenye kuzungumza lugha za watu juu ya Mahitaji Yao,wenye kuwa karibu na watu ,wenye kujuwa cheo Ni dhamana na ni kwa ajili ya watu pamoja na kujuwa kuwa uongozi Ni utumishi kwa watu.

Ni lazima CCM ilindwe kwa nguvu zote kwa jasho ,machozi na Damu ili iendeleee Kusalia madarakani maana Hawa wengine watalipasua Taifa letu,kwa kuwa hawana Uzalendo na Taifa letu Wala uchungu na maisha ya watanzania Ndio maana Ni kawaida kusikia makauli ya ajabu ajabu kutoka katika vinywa vya viongozi wa upinzani kwa kuwa wao na familia zao wanajuwa wataweza kwenda marekani na ulaya kutanua maisha na kuwaacha watanzania wakiteseka ,Ndio maana watanzania hatupo tayari kuruhusu Hilo kutokea hapa nchini kwa kuwapa Kura na madaraka upinzani na kuisaliti CCM iliyotufikisha hapa kwa kututumikia kwa upendo uzalendo na unyenyekevu mkubwa na uliotukuka ,CCM haitaachia madaraka na hiyo ndio kauli ya mamillioni ya watanzania wazalendo wa Taifa letu.

Kazi iendeleee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Nchi hii ina watu wapumbavu wa viwango vya juu kabisa yaani fuvu lako unatunzia kamasi tu na haya ni matatizo ya kuzaliwa vichakani akili unaziacha hukohuko engazaliwa hospitari usingeleta ujinga wako huu na kuacha namba zako hapa.
 
Nchi hii ina watu wapumbavu wa viwango vya juu kabisa yaani fuvu lako unatunzia kamasi tu na haya ni matatizo ya kuzaliwa vichakani akili unaziacha hukohuko engazaliwa hospitari usingeleta ujinga wako huu na kuacha namba zako hapa.
Leta hoja ndugu yangu acha hasira ,bila Shaka ukweli wangu umekuchoma Kama mkuki ubavuni,Tuliza akili na kubali kuwa upinzani umekata pumzi
 
Back
Top Bottom