Bila Iran na Russia kufanya maamuzi magumu, Marekani na Israeli wataendelea kuwanyanyasa sana

Bila Iran na Russia kufanya maamuzi magumu, Marekani na Israeli wataendelea kuwanyanyasa sana

Ukweli ni kwamba. hakuna watu waoga kuingia vitani kama wamerakani hasa wakigundua una sila za hatari yaani zile zinazoitwa silaha za maangamizi. Hivyo, ili Iran ilinde heshima yake na ili Israeli ikome kutegemea ubabe wa Marekani, ni shariti ifanye maamuzi magumu sana ya kutumia silaha kali dhidi ya Israeli na kwa gharama yoyote ikiwezekana hata bomu la nyuklia.

Pia, ni lazima Russia nayo iwe teyari kumuunga mkono Iran kwa gharama yoyote na Iran na Russia wawe tayari kutembeza kichapo kwa nchi za kiarabu zinazoshirikiana na Israeli kama vile Saud Arabia na Jordan.

Ni lazima vita kali ipiganwe katika hilo eneo kabla ya kupotikana kwa amani na mataifa hayo kuishi kwa kuheshimiana. Vita ya kulipiza kisasi na kutulia, haiwezi kuleta suluhu ya kuduma katika mashariki ya kati. Ni lazima damu imwagike ndio watu wataona umuhimu wa kukaa mezani na kutafuta suluhu huku kila mmoja akimuheshimu mwenzake.

Pia, Russia na Irani, ni shariti wawapuuze Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwakuwa hao wote hawana nguvu mbele ya US na ni taasisi vibaraka tu wa Marekani wataopiga kelele pale tu Marekani na washirika wake wanapokuwa hatarini.

Israeli kwa sasa kaota mapembe na kajawa na kiburi kwasababu response ya nchi anazozishambulia, imekuwa ni dhaifu isiyolingana na hujuma Israeli anazofanya kama kushambulia ndani ya ardhi ya Taifa lingine. Hii ni dharau kubwa sana kwa sovereignty ya nchi nyingine.

Maamuzi magumu yataeleta matokeo mabaya, lakini yataleta kuheshimiana, kuheshimiana kutakoleta amani katika eneo lote la Mashariki ya Kati.

Mashambuli ya kushitukiza na ya kulipizana visasi yanaweza kudumu mpaka mwisho wa hi duni. Hivyo hayawezi kuleta suluhu. Lazima Israeli ionje machungu kabla ya kuheshimu wengine na kuacha kunyanyasa Wapelestina wasio na Jeshi bali vikundi tu visivyo na uwezo wa kukabiliana na Jeshi la Israeli kwa asimia 100 bali kwa kufanya tu mashambulizi ya kuvizia na kuua au kujeruhi askari wachache wa kiyahudi au raia wa Israeli(maumivi haya-balance).

Mimi bi mkristo, lakini kamwe siwezi support uharamia wa Israel na Marekani popote duniani.
Mkuu unachambua kama ww ulishawai pga kumbe ujawi so jamaz ujui vta mkuu vta syo habar ya kuandka Russia uyu uyu kashndwa kuingia mji mkuu wa ukreni mpaka kaenda korea kusin kuomba silaa na bado kashndwa kuishambulia kyv sasa hapo anatamuongezea nn Iran
 
WWW3 loarding na maandalizi yameshakamilika wengine mmebaki na ushabiki maandazi yaani waafrika bwana! Mnashangaza sana
Hiyo www angeanzisha Russia kwa swala la Ukraine maana alishaapa yeyote atakamsaidia Ukraine analianzisha but mpaka sasa ni maneno matupu,kwa hiyo usitegemee kupigwa Iran ndio kutasababisha Vita.
 
Ukweli ni kwamba. hakuna watu waoga kuingia vitani kama wamerakani hasa wakigundua una sila za hatari yaani zile zinazoitwa silaha za maangamizi. Hivyo, ili Iran ilinde heshima yake na ili Israeli ikome kutegemea ubabe wa Marekani, ni shariti ifanye maamuzi magumu sana ya kutumia silaha kali dhidi ya Israeli na kwa gharama yoyote ikiwezekana hata bomu la nyuklia.

Pia, ni lazima Russia nayo iwe teyari kumuunga mkono Iran kwa gharama yoyote na Iran na Russia wawe tayari kutembeza kichapo kwa nchi za kiarabu zinazoshirikiana na Israeli kama vile Saud Arabia na Jordan.

Ni lazima vita kali ipiganwe katika hilo eneo kabla ya kupotikana kwa amani na mataifa hayo kuishi kwa kuheshimiana. Vita ya kulipiza kisasi na kutulia, haiwezi kuleta suluhu ya kuduma katika mashariki ya kati. Ni lazima damu imwagike ndio watu wataona umuhimu wa kukaa mezani na kutafuta suluhu huku kila mmoja akimuheshimu mwenzake.

Pia, Russia na Irani, ni shariti wawapuuze Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwakuwa hao wote hawana nguvu mbele ya US na ni taasisi vibaraka tu wa Marekani wataopiga kelele pale tu Marekani na washirika wake wanapokuwa hatarini.

Israeli kwa sasa kaota mapembe na kajawa na kiburi kwasababu response ya nchi anazozishambulia, imekuwa ni dhaifu isiyolingana na hujuma Israeli anazofanya kama kushambulia ndani ya ardhi ya Taifa lingine. Hii ni dharau kubwa sana kwa sovereignty ya nchi nyingine.

Maamuzi magumu yataeleta matokeo mabaya, lakini yataleta kuheshimiana, kuheshimiana kutakoleta amani katika eneo lote la Mashariki ya Kati.

Mashambuli ya kushitukiza na ya kulipizana visasi yanaweza kudumu mpaka mwisho wa hi duni. Hivyo hayawezi kuleta suluhu. Lazima Israeli ionje machungu kabla ya kuheshimu wengine na kuacha kunyanyasa Wapelestina wasio na Jeshi bali vikundi tu visivyo na uwezo wa kukabiliana na Jeshi la Israeli kwa asimia 100 bali kwa kufanya tu mashambulizi ya kuvizia na kuua au kujeruhi askari wachache wa kiyahudi au raia wa Israeli(maumivi haya-balance).

Mimi bi mkristo, lakini kamwe siwezi support uharamia wa Ikasrael na Marekani popote duniani.
Kama kweli wewe ni mkristo, basi umejaa unafiki na huna kweli ndani yako

Unaposema Israel anaonea Palestine unakuwa unamaanisha nini?

Kwani chanzo cha Israel kupiga Gaza ni nini haswa?

Binafsi sipendi uonevu, lakini kwa nini Israel achokozwe?

Watu waliotekwa na Magaidi ya Gaza, ulitaka Israel aende gaza kwa kuwaomba watu wake huku anaimba salam maria umejaa neema?

Israel alikuwa akipigana na Gaza, hao wanamgambo wa Yemeni kimewauma nini hadi nao waishambulie ISRAEL?

Hao wanamgambo wa Lebanon nao, Israel kuwachokoza?

Mbona myahudi mnamwonea kaka
 
Ukweli ni kwamba. hakuna watu waoga kuingia vitani kama wamerakani hasa wakigundua una sila za hatari yaani zile zinazoitwa silaha za maangamizi. Hivyo, ili Iran ilinde heshima yake na ili Israeli ikome kutegemea ubabe wa Marekani, ni shariti ifanye maamuzi magumu sana ya kutumia silaha kali dhidi ya Israeli na kwa gharama yoyote ikiwezekana hata bomu la nyuklia.

Pia, ni lazima Russia nayo iwe teyari kumuunga mkono Iran kwa gharama yoyote na Iran na Russia wawe tayari kutembeza kichapo kwa nchi za kiarabu zinazoshirikiana na Israeli kama vile Saud Arabia na Jordan.

Ni lazima vita kali ipiganwe katika hilo eneo kabla ya kupotikana kwa amani na mataifa hayo kuishi kwa kuheshimiana. Vita ya kulipiza kisasi na kutulia, haiwezi kuleta suluhu ya kuduma katika mashariki ya kati. Ni lazima damu imwagike ndio watu wataona umuhimu wa kukaa mezani na kutafuta suluhu huku kila mmoja akimuheshimu mwenzake.

Pia, Russia na Irani, ni shariti wawapuuze Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwakuwa hao wote hawana nguvu mbele ya US na ni taasisi vibaraka tu wa Marekani wataopiga kelele pale tu Marekani na washirika wake wanapokuwa hatarini.

Israeli kwa sasa kaota mapembe na kajawa na kiburi kwasababu response ya nchi anazozishambulia, imekuwa ni dhaifu isiyolingana na hujuma Israeli anazofanya kama kushambulia ndani ya ardhi ya Taifa lingine. Hii ni dharau kubwa sana kwa sovereignty ya nchi nyingine.

Maamuzi magumu yataeleta matokeo mabaya, lakini yataleta kuheshimiana, kuheshimiana kutakoleta amani katika eneo lote la Mashariki ya Kati.

Mashambuli ya kushitukiza na ya kulipizana visasi yanaweza kudumu mpaka mwisho wa hi duni. Hivyo hayawezi kuleta suluhu. Lazima Israeli ionje machungu kabla ya kuheshimu wengine na kuacha kunyanyasa Wapelestina wasio na Jeshi bali vikundi tu visivyo na uwezo wa kukabiliana na Jeshi la Israeli kwa asimia 100 bali kwa kufanya tu mashambulizi ya kuvizia na kuua au kujeruhi askari wachache wa kiyahudi au raia wa Israeli(maumivi haya-balance).

Mimi bi mkristo, lakini kamwe siwezi support uharamia wa Israel na Marekani popote duniani.
Bwana Salary slip.

Imagine wewe Ndio Ayatollah una alika Mgeni wa Heshima kabisa ndani ya Nchi yako, kwenye Mji mkuu kwenye Sherehe ya kuapisha Rais wa nchi,

Makazi, Chakula, Ulinzi Hadi sehemu ya kulala unaindaa wewe, Lakini anauwawa ndani ya chumba ulichomuandalia ulichokuwa unakilinda na Jengo zima linalipuka chumba kimoja tu.

Kwenye Hali kama hii utakurupuka kumvamia Adui yako unayemjua?, wakati, adui yako usiyemjua unalala nae unakula nae unaishi nae kila siku
 
Iran hataki kabisa mambo ya vita...anawazuga tu masheikh
 
Wewe ngoja Ayatollah mwenyewe aje aliwe kichwa ndio utapotea humu kama jihadists wengine walivyopoteana humu.

Dunia inaenda kulingana na settings alizojiwekea mwenyezi Mungu mwenyewe na hakuna anayeweza kubadili ndio maana waga nacheka kusikia dikteta Putin anavyotishia watu nyuklia utafikiri yeye ndiye aliyeumba hii dunia.
 
Wewe ngoja Ayatollah mwenyewe aje aliwe kichwa ndio utapotea humu kama jihadists wengine walivyopoteana humu.

Dunia inaenda kulingana na settings alizojiwekea mwenyezi Mungu mwenyewe na hakuna anayeweza kubadili ndio maana waga nacheka kusikia dikteta Putin anavyotishia watu nyuklia utafikiri yeye ndiye aliyeumba hii dunia.
Labda kama wewe ndio Mungu.
 
Una uhakika hizo tu ndio silaha walizonazo?Hofu inatoka wapi sasa?
😄 unajua unaweza sema sometimes vitu huelewi si,, mashabiki maandazi wote wa Urusi hua mnadhani US anaogopa hizo niclear, the man alicreate atomic bombs kqrbe ya 18 huko hawa watoto wa juzi vp,, fatilia kwanza what happened in Japan ktk 2WW kilimponza hichohicho ni vema waendelee vizia na si kuanzisha vita ya moja kwa moja watateseka zaidi ya mgonjwa wa ukoma hvo vita US hataki sababu ni vya madhara makubwa na ashashuhudia hilo, na hii mambo ya ww ni mkristo au basi 😄😄🤣 Russia si muslims pia
 
Ukweli ni kwamba. hakuna watu waoga kuingia vitani kama wamerakani hasa wakigundua una sila za hatari yaani zile zinazoitwa silaha za maangamizi. Hivyo, ili Iran ilinde heshima yake na ili Israeli ikome kutegemea ubabe wa Marekani, ni shariti ifanye maamuzi magumu sana ya kutumia silaha kali dhidi ya Israeli na kwa gharama yoyote ikiwezekana hata bomu la nyuklia.

Pia, ni lazima Russia nayo iwe teyari kumuunga mkono Iran kwa gharama yoyote na Iran na Russia wawe tayari kutembeza kichapo kwa nchi za kiarabu zinazoshirikiana na Israeli kama vile Saud Arabia na Jordan.

Ni lazima vita kali ipiganwe katika hilo eneo kabla ya kupotikana kwa amani na mataifa hayo kuishi kwa kuheshimiana. Vita ya kulipiza kisasi na kutulia, haiwezi kuleta suluhu ya kuduma katika mashariki ya kati. Ni lazima damu imwagike ndio watu wataona umuhimu wa kukaa mezani na kutafuta suluhu huku kila mmoja akimuheshimu mwenzake.

Pia, Russia na Irani, ni shariti wawapuuze Umoja wa Mataifa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kwakuwa hao wote hawana nguvu mbele ya US na ni taasisi vibaraka tu wa Marekani wataopiga kelele pale tu Marekani na washirika wake wanapokuwa hatarini.

Israeli kwa sasa kaota mapembe na kajawa na kiburi kwasababu response ya nchi anazozishambulia, imekuwa ni dhaifu isiyolingana na hujuma Israeli anazofanya kama kushambulia ndani ya ardhi ya Taifa lingine. Hii ni dharau kubwa sana kwa sovereignty ya nchi nyingine.

Maamuzi magumu yataeleta matokeo mabaya, lakini yataleta kuheshimiana, kuheshimiana kutakoleta amani katika eneo lote la Mashariki ya Kati.

Mashambuli ya kushitukiza na ya kulipizana visasi yanaweza kudumu mpaka mwisho wa hi duni. Hivyo hayawezi kuleta suluhu. Lazima Israeli ionje machungu kabla ya kuheshimu wengine na kuacha kunyanyasa Wapelestina wasio na Jeshi bali vikundi tu visivyo na uwezo wa kukabiliana na Jeshi la Israeli kwa asimia 100 bali kwa kufanya tu mashambulizi ya kuvizia na kuua au kujeruhi askari wachache wa kiyahudi au raia wa Israeli(maumivi haya-balance).

Mimi bi mkristo, lakini kamwe siwezi support uharamia wa Israel na Marekani popote duniani.
Mkuu upo sawa kabisa, unaona mbali sana na hiyo siku ipo tu watakapo tiwa adabu, naamini mkuki kwa ngurue.
 
😄 unajua unaweza sema sometimes vitu huelewi si,, mashabiki maandazi wote wa Urusi hua mnadhani US anaogopa hizo niclear, the man alicreate atomic bombs kqrbe ya 18 huko hawa watoto wa juzi vp,, fatilia kwanza what happened in Japan ktk 2WW kilimponza hichohicho ni vema waendelee vizia na si kuanzisha vita ya moja kwa moja watateseka zaidi ya mgonjwa wa ukoma hvo vita US hataki sababu ni vya madhara makubwa na ashashuhudia hilo, na hii mambo ya ww ni mkristo au basi 😄😄🤣 Russia si muslims pia
Unasema "hvo vita US hataki sababu ni vya madhara makubwa" Ila yeye kudhuru wasio na hatia ni sawa, kipi bora, ukoma au kunyanayaswa' pimeni mambo kwa mezani.
 
Kama kweli wewe ni mkristo, basi umejaa unafiki na huna kweli ndani yako

Unaposema Israel anaonea Palestine unakuwa unamaanisha nini?

Kwani chanzo cha Israel kupiga Gaza ni nini haswa?

Binafsi sipendi uonevu, lakini kwa nini Israel achokozwe?

Watu waliotekwa na Magaidi ya Gaza, ulitaka Israel aende gaza kwa kuwaomba watu wake huku anaimba salam maria umejaa neema?

Israel alikuwa akipigana na Gaza, hao wanamgambo wa Yemeni kimewauma nini hadi nao waishambulie ISRAEL?

Hao wanamgambo wa Lebanon nao, Israel kuwachokoza?

Mbona myahudi mnamwonea kaka
Soma historia wewe kwani dunia imeamka Otober 7? kwa hiyo unafiki wa mkristo ni kutetea haki ya bianaadamu.
 
Unasema "hvo vita US hataki sababu ni vya madhara makubwa" Ila yeye kudhuru wasio na hatia ni sawa, kipi bora, ukoma au kunyanayaswa' pimeni mambo kwa mezani.
Nani ananyanyaswa magaidi watupu wale mbna hakuna anaenyanyaswa
 
We nae malaya tu jifikirie kuongea nyie ndo mnawashwa na didy sasa umeandika nn
Soma historia wewe kwani dunia imeamka Otober 7? kwa hiyo unafiki wa mkristo ni kutetea haki ya bianaadamu.
 
Back
Top Bottom