Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha๐๐๐ Hao sio jamii yetuView attachment 3218334
๐ ๐ ๐ ๐
Mshana Jr nipe namba nikuunge kwenye kikao cha dharura kuna shida sehemu๐๐
mkuu kuna mwamba anataka kuniweka chini kimamlaka yeye awe juuMh! mkuu ulifanya dhambi gani mpk uweke hiyo kamati..?
nikuunge na wewe mkuu?Duh, kazi ipo.
Mimi na mambo hayo ni vitu viwili tofauti.nikuunge na wewe mkuu?
Duhh! Pole Sana kwahiyo mume haukupata?.Kuna mganga alininywesha maji ya mapovu ili nipate mume itakua tapeli yule.
Vita yenu mantashauwa!mkuu kuna mwamba anataka kuniweka chini kimamlaka yeye awe juu
mungu wa small letter huyo ana mashaka ndani yake..Mimi na mambo hayo ni vitu viwili tofauti.
Naamini uchawi upo, ila siamini katika uchawi(yaani bila uchawi jambo langu haliendi, siamini hivyo)
Mie ni muumini katika qadar za allah..
Naamini katika mungu.
Kwangu, mungu, Mungu ama MUNGU wote ni sawa, naweza andika MUNGU halafu asiwe na uzito huo moyoni.mungu wa small letter huyo ana mashaka ndani yake..
nakuunga