Bila katiba nzuri wafanyabiashara ambao mnakaa na kuona katiba haikuhusu unajidanganya kwa sababu hii hapa ya msingi.
1. Kwanza maandamano ya juzi sio kwamba serikali ilipenda bali umma umepata nguvu zaidi na viongozi wa upinzani wako serious sana.
2. Wamesema “watakinukisha” maana yake ni kwamba bila katiba mpya nchi haitaweza kuwa shwari. Hii haina maana ya fujo lakini maana yake ni kwamba malalamiko haitaisha, mikutano haitaisha, na maandamano hayataisha.
Kwa mazingira haya hakuna mwekezaji atataka kuja na kuwekeza kwa muda mrefu. Kwasababu wakiangalia nchi nyingine kubwa zote kama hazina demokrasia basi zina matatizo makubwa hasa kwenye ushwari. Ilianza Egypt, ikaja Sudan, ikaja Ethiophia, Kenya wamejiokoa na katiba nzuri ndiyo maana wapo powa, chini yetu kuna zambia na malawi ambazo zina demokrasia.
Hili linahusu kila mtu bila uwekezaji hakuna kodi bila kodi hakuna huduma muhimu na bila huduma hakuna usalama nchini. Hivyo kama unataka maendeleo, utulivu na unapenda nchi tumia muda huu kuunga mkono katiba mpya wakati ni mtaro kabla swala hili halijawa bahari.
1. Kwanza maandamano ya juzi sio kwamba serikali ilipenda bali umma umepata nguvu zaidi na viongozi wa upinzani wako serious sana.
2. Wamesema “watakinukisha” maana yake ni kwamba bila katiba mpya nchi haitaweza kuwa shwari. Hii haina maana ya fujo lakini maana yake ni kwamba malalamiko haitaisha, mikutano haitaisha, na maandamano hayataisha.
Kwa mazingira haya hakuna mwekezaji atataka kuja na kuwekeza kwa muda mrefu. Kwasababu wakiangalia nchi nyingine kubwa zote kama hazina demokrasia basi zina matatizo makubwa hasa kwenye ushwari. Ilianza Egypt, ikaja Sudan, ikaja Ethiophia, Kenya wamejiokoa na katiba nzuri ndiyo maana wapo powa, chini yetu kuna zambia na malawi ambazo zina demokrasia.
Hili linahusu kila mtu bila uwekezaji hakuna kodi bila kodi hakuna huduma muhimu na bila huduma hakuna usalama nchini. Hivyo kama unataka maendeleo, utulivu na unapenda nchi tumia muda huu kuunga mkono katiba mpya wakati ni mtaro kabla swala hili halijawa bahari.