Bila kufuta kesi ya Mbowe, Siri za Serikali na Mambo ya ulinzi yanatufikia Raia hata tusiojua kusoma alama za nyakati

Basi kwa vile sikuifuatia sana, nitaanzisha uzi kila mchangiaji aeleze alichokigundua!
 
Tuende mbali zaidi, inawezekana hawa akina Jumanne, Kingai, Mahita na Goodluck ndiyo walimpiga risasi Tundu Lissu, na hawa ndiyo watu wasiojulikana.
 
Naunga hoja yako mkono uko sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…