Bila kujua, wasemaji wa Simba, Yanga na Azam wanaidhoofisha Taifa Stars

Bila kujua, wasemaji wa Simba, Yanga na Azam wanaidhoofisha Taifa Stars

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Timu ziko nyingi kwanini iwe wasemaji wa Azam, Simba na Yanga tu wahamasishe timu ya taifa? Kama ni kwaajili ya kuwa na mashabiki wengi lakini kuna ushahidi gani kuwa Azam ina mashabiki wengi kuliko KMC na Coastal Union?

Pili, kuna wasemaji ambao huwa wanajigamba hadharani kuwa timu zao zimetoa wachezaji wengi taifa stars kuliko timu nyingine pale ambapo uteuzi wa timu ya taifa umechagua wachezaqji wengi kwenye timu yake kuliko timu nyingine, hii ndiyo mbaya zaidi kuliko hata hiyo sababu ya kwanza.

Kauli kama hizi zinasababisha dhambi mbili kuu kutendwa, mashabiki wa timu nyingine kujiona kama sio sehemu ya timu ya taifa, hivyo kususia kwenda kwenye mechi; na pili, inaweza kusababisha uteuzi wa timu uzingatie kubalance wachezaji wa timu badala ya kuteua kwa kufuata ubora.

Soma Pia: Yanga, Simba na Azam kununua goli milioni 5 ili kuipa hamasa Taifa Stars

Majigambo kama haya ya kitimu kwenye jambo la taifa ni utoto kabisa, halina faida kwa Yanga na Simba wala kwa timu ya taifa wala kwa mashabiki.
 
Mkuu haya mambo hayajaanza saivi labda kama umesahau.
 
Timu ziko nyingi kwanini iwe wasemaji wa Azam, Simba na Yanga tu wahamasishe timu ya taifa? Kama ni kwaajili ya kuwa na mashabiki wengi lakini kuna ushahidi gani kuwa Azam ina mashabiki wengi kuliko KMC na Coastal Union?

Pili, kuna wasemaji ambao huwa wanajigamba hadharani kuwa timu zao zimetoa wachezaji wengi taifa stars kuliko timu nyingine, hii ndiyo mbaya zaidi kuliko hata hiyo sababu ya kwanza. Kauli kama hizi zinasababisha dhambi mbili kuu kutendwa, mashabiki wa timu nyingine kujiona kama sio sehemu ya timu ya taifa, hivyo kususia kwenda kwenye mechi; na pili, inaweza kusababisha uteuzi wa timu uzingatie kubalance wachezaji wa timu badala ya kuteua kwa kufuata ubora. Majigambo kama haya ya kitumu kwenye jambo la taifa ni utoto kabisa, halina faida kwa Yanga wala kwa timu ya taifa mmh
 
Kaka nafahamu kuwa mambo haya yalikuwepo tangu siku nyingi, lakini hayapaswi kuendelea kuwa hivi kwakuwa yanaturudisha nyuma. SIO MAMBO YA KUJIvunia hadharani mbele ya kamera hata kama ukweli unajulikana uko hivyo. Kufanya hivyo kunaamsha hisia za watu kuichukia timu yao na hata kuizomea timu yao ikifanya vibaya.
 
Timu ziko nyingi kwanini iwe wasemaji wa Azam, Simba na Yanga tu wahamasishe timu ya taifa? Kama ni kwaajili ya kuwa na mashabiki wengi lakini kuna ushahidi gani kuwa Azam ina mashabiki wengi kuliko KMC na Coastal Union?

Pili, kuna wasemaji ambao huwa wanajigamba hadharani kuwa timu zao zimetoa wachezaji wengi taifa stars kuliko timu nyingine, hii ndiyo mbaya zaidi kuliko hata hiyo sababu ya kwanza. Kauli kama hizi zinasababisha dhambi mbili kuu kutendwa, mashabiki wa timu nyingine kujiona kama sio sehemu ya timu ya taifa, hivyo kususia kwenda kwenye mechi; na pili, inaweza kusababisha uteuzi wa timu uzingatie kubalance wachezaji wa timu badala ya kuteua kwa kufuata ubora. Majigambo kama haya ya kitumu kwenye jambo la taifa ni utoto kabisa, halina faida kwa Yanga wala kwa timu ya taifa wala kwa mashabiki.
Vichwa maji wanaweza kuja kukushambulia lakini umeongea jambo la msingi esoecially point namba 2.
 
Timu ya foitball ya taifa la South Africa ilitoa wacheza kutoka Mamelodi Sundowns nadhani takribani tisa na haikuwa tatizo kwao ila huku sasa wakitoka watatu tu utasikia majigambo ya kijinga unadhani nani atashabikia hiyo team ya taifa si ndio tunaua timu bila kujua namna hii.
 
Timu ya foitball ya taifa la South Africa ilitoa wacheza kutoka Mamelodi Sundowns nadhani takribani tisa na haikuwa tatizo kwao ila huku sasa wakitoka watatu tu utasikia majigambo ya kijinga unadhani nani atashabikia hiyo team ya taifa si ndio tunaua timu bila kujua namna hii.
Kaka timu ya taifa ya Spain kuna wakati ilichota wachezaji wengi tu kutoka Barcelona lakini hakuna msemaji wa Barca aliyejigamba kuwa timu ya taifa ni mali yao. Tuache mambo yasiyokuwa na tija kwa yeyote. Kwani kila mtu sianaona na kusikia na kuchaguliwa timu ya taifa?
 
TIMU YA TAIFA NI YETU SOTE ndugu zangu watanzania! kwa upande wangu,TAIFA STARS ikishinda huwa "nabubujikwa" na machozi ya furaha!
 
Timu ya foitball ya taifa la South Africa ilitoa wacheza kutoka Mamelodi Sundowns nadhani takribani tisa na haikuwa tatizo kwao ila huku sasa wakitoka watatu tu utasikia majigambo ya kijinga unadhani nani atashabikia hiyo team ya taifa si ndio tunaua timu bila kujua namna hii.
Kwa hiyo tatizo ni majigambo?
 
TIMU YA TAIFA NI YETU SOTE ndugu zangu watanzania! kwa upande wangu,TAIFA STARS ikishinda huwa "nabubujikwa" na machozi ya furaha!
Utani wetu usifikie hadi kumvua kilemba chake mufti
 
Timu ziko nyingi kwanini iwe wasemaji wa Azam, Simba na Yanga tu wahamasishe timu ya taifa? Kama ni kwaajili ya kuwa na mashabiki wengi lakini kuna ushahidi gani kuwa Azam ina mashabiki wengi kuliko KMC na Coastal Union?

Pili, kuna wasemaji ambao huwa wanajigamba hadharani kuwa timu zao zimetoa wachezaji wengi taifa stars kuliko timu nyingine pale ambapo uteuzi wa timu ya taifa umechagua wachezaqji wengi kwenye timu yake kuliko timu nyingine, hii ndiyo mbaya zaidi kuliko hata hiyo sababu ya kwanza. Kauli kama hizi zinasababisha dhambi mbili kuu kutendwa, mashabiki wa timu nyingine kujiona kama sio sehemu ya timu ya taifa, hivyo kususia kwenda kwenye mechi; na pili, inaweza kusababisha uteuzi wa timu uzingatie kubalance wachezaji wa timu badala ya kuteua kwa kufuata ubora. Majigambo kama haya ya kitimu kwenye jambo la taifa ni utoto kabisa, halina faida kwa Yanga na Simba wala kwa timu ya taifa wala kwa mashabiki.
 
Ni muhimu sana kumuondoa Fei toto timu ya taifa, yeye Kwa sasa ndio ameleta mgawanyiko mkubwa sana, mara Yanga walimlisha ugali na sukari, mara Sasa anasusa kucheza kiwango azam, mara anataka kwenda Simba, mara aonesha gari, mara afanye dharau kwenye mitandao, anakuwa anakusa anawafuruga vijana wanaochipukua, wa pili ni wachambuzi na haya magazeti ya michezo
 
Timu ziko nyingi kwanini iwe wasemaji wa Azam, Simba na Yanga tu wahamasishe timu ya taifa? Kama ni kwaajili ya kuwa na mashabiki wengi lakini kuna ushahidi gani kuwa Azam ina mashabiki wengi kuliko KMC na Coastal Union?

Pili, kuna wasemaji ambao huwa wanajigamba hadharani kuwa timu zao zimetoa wachezaji wengi taifa stars kuliko timu nyingine pale ambapo uteuzi wa timu ya taifa umechagua wachezaqji wengi kwenye timu yake kuliko timu nyingine, hii ndiyo mbaya zaidi kuliko hata hiyo sababu ya kwanza. Kauli kama hizi zinasababisha dhambi mbili kuu kutendwa, mashabiki wa timu nyingine kujiona kama sio sehemu ya timu ya taifa, hivyo kususia kwenda kwenye mechi; na pili, inaweza kusababisha uteuzi wa timu uzingatie kubalance wachezaji wa timu badala ya kuteua kwa kufuata ubora. Majigambo kama haya ya kitimu kwenye jambo la taifa ni utoto kabisa, halina faida kwa Yanga na Simba wala kwa timu ya taifa wala kwa mashabiki.
Inasikitisha sana
 
National team iwe na msemaji wake. Hatuhitaji kuhamsishwa. Twende kwa uzalendo.
 
Hakuna mtu anaidhoofisha Taifa stars....
Taifa Stars ni dhaifu.
Goalkeeper namba Nne simba kwa sasa ndio kipa namba moja stars.
 
Hakuna kupepesa macho UYanga na USimba unaharibu Sana football. Vikosi vimesajili wageni kibao hao wazawa lini watafikia viwango?. Sie tuendelee kusifia wachezaji WA Nchi za wenzetu ili tuwape Raha mashabiki.
 
Back
Top Bottom