Bila kumuona Leonel Ateba kwa wiki najiona kama nina mapungufu mwilini

Bila kumuona Leonel Ateba kwa wiki najiona kama nina mapungufu mwilini

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Huyu striker nimemtokea kumpenda sana, kwanza ana nguvu, ana akili, ana control, ana mbinu, ana mikakati, ana uwezo mkubwa lakini ni mchana nyavu hasa.Muite Leonel Ateba Mbida.

Mcameroon huyu ananivutia sana, nimeona washambuliaji wengi sana Simba, nimemuona marehemu John Makelele 'Zigzag', Omary Hussein Kevin Keegan, William Fahnbullah, marehemu Mchunga Bakari Mandela, marehemu Said Mwamba Kizota, Bita John, Betram Mwombeki, Damian Kimti, Danny Mrwanda, Mohammed Hussein Mmachinga, Hemed Mrisho, Athuman Machupa, marehemu eddo Chumilla, Malota Soma Ball Jugler nk.

Huyu anakuwa mmoja wa washambuliaji ambao kwangu nafurahi anavyocheza, wapo waliowahi kunivutia kama Malota Soma, Makelele na Fahnbullah mliberia huyu lakini Ateba ni mkatili sana.

Siku ile kama sio mazingaombwe ya Utopolo Diarra alikuwa anakwenda na maji, muangalieni huyu Ateba alivyo mkatili halafu mtakuwa kuniambia.

Sasa kufuatia JKT kupata ajali, Simba leo haichezi, naona kama nimefiwa vile.

Nimepungukiwa damu nyingi mwilini kwa kutomuona Leonel Ateba Mbida.

Yupo mtangazaji mmoja pale Azam anampatia sana Ateba anapotangaza, Ateba akizifumania nyavu utamsikia Atebaaaaaaaaa.Huyo ni mtangazaji Ghalib Mzinga.

Anyway, Mashujaa jiandaeni Ateba anapanda Ndege siku c nyingi anakuja huko.Nitafanyaje sasa na Simba haichezi, bora nisake warembo tu
 
Huyu striker nimemtokea kumpenda sana, kwanza ana nguvu, ana akili, ana control, ana mbinu, ana mikakati, ana uwezo mkubwa lakini ni mchana nyavu hasa.Muite Leonel Ateba Mbida.

Mcameroon huyu ananivutia sana, nimeona washambuliaji wengi sana Simba, nimemuona marehemu John Makelele 'Zigzag', Omary Hussein Kevin Keegan, William Fahnbullah, marehemu Mchunga Bakari Mandela, marehemu Said Mwamba Kizota, Bita John, Betram Mwombeki, Damian Kimti, Danny Mrwanda, Mohammed Hussein Mmachinga, Hemed Mrisho, Athuman Machupa, marehemu eddo Chumilla, Malota Soma Ball Jugler nk.

Huyu anakuwa mmoja wa washambuliaji ambao kwangu nafurahi anavyocheza, wapo waliowahi kunivutia kama Malota Soma, Makelele na Fahnbullah mliberia huyu lakini Ateba ni mkatili sana.

Siku ile kama sio mazingaombwe ya Utopolo Diarra alikuwa anakwenda na maji, muangalieni huyu Ateba alivyo mkatili halafu mtakuwa kuniambia.

Sasa kufuatia JKT kupata ajali, Simba leo haichezi, naona kama nimefiwa vile.Nimepungukiwa damu nyingi mwilini kwa kutomuona Leonel Ateba Mbida.Yupo mtangazaji mmoja pale Azam anampatia sana Ateba anapotangaza, Ateba akizifumania nyavu utamsikia Atebaaaaaaaaa.Huyo ni mtangazaji Ghalib Mzinga.

Anyway, Mashujaa jiandaeni Ateba anapanda Ndege siku c nyingi anakuja huko.Nitafanyaje sasa na Simba haichezi, bora nisake warembo tu
Usijiite magufuli kwasababu huyo magufuli hakuwa kiazi kama wewe...kivipi yanga walifanya mazingaombwe?
 
Ateba ni mchezaji mzuri sana

Ingawa ni mchezaji Bora kwenye mechi ndogo.....
 
Nakusifia kote kumbe ana goli mbili ambazo moja lilikuwa ni offside mechi na Azam refarii akawabeba na lingine ni la penati ya kupewa..
Umbumbumbu mtupu[emoji706]
 
Ni mchezaji mzuri Ila amekosa wachezeshaji, wachezeshaji wengi wa Simba Wana ubinafsi fulani na kupenda kukaa na mpira, Ahoua, Kibu, Barua, Mtale wengine mtamalizia
 
Mbwembwe kibao Oooo sitaki kujua mabeki wa Yanga ni kina nani ila nikikutana nao lazima ni wafunge akakutana na koplo baka dk 90 hakupiga hata shuti la maana lililolenga goli
 
Mtoa mada hiyo ndio fact na ukweli Anteba ni mwanaume kweli kweli anapokuwa na hiyo ball ila changamoto black peoples hawependi facts na appreciation ni race yenye laana..usitegemee wakusupport hawa ni nature yao,ndio maana hakuna kitu walichofanya duniani mpaka sasa wanajaza tu Dunia kwa majungu na uchawi
 
Unapambana na WaLaLamishi Yanga....!

We kaa ukijua tu hautowaweza , Wabishi sana.
 
Huyu striker nimemtokea kumpenda sana, kwanza ana nguvu, ana akili, ana control, ana mbinu, ana mikakati, ana uwezo mkubwa lakini ni mchana nyavu hasa.Muite Leonel Ateba Mbida.

Mcameroon huyu ananivutia sana, nimeona washambuliaji wengi sana Simba, nimemuona marehemu John Makelele 'Zigzag', Omary Hussein Kevin Keegan, William Fahnbullah, marehemu Mchunga Bakari Mandela, marehemu Said Mwamba Kizota, Bita John, Betram Mwombeki, Damian Kimti, Danny Mrwanda, Mohammed Hussein Mmachinga, Hemed Mrisho, Athuman Machupa, marehemu eddo Chumilla, Malota Soma Ball Jugler nk.

Huyu anakuwa mmoja wa washambuliaji ambao kwangu nafurahi anavyocheza, wapo waliowahi kunivutia kama Malota Soma, Makelele na Fahnbullah mliberia huyu lakini Ateba ni mkatili sana.

Siku ile kama sio mazingaombwe ya Utopolo Diarra alikuwa anakwenda na maji, muangalieni huyu Ateba alivyo mkatili halafu mtakuwa kuniambia.

Sasa kufuatia JKT kupata ajali, Simba leo haichezi, naona kama nimefiwa vile.Nimepungukiwa damu nyingi mwilini kwa kutomuona Leonel Ateba Mbida.Yupo mtangazaji mmoja pale Azam anampatia sana Ateba anapotangaza, Ateba akizifumania nyavu utamsikia Atebaaaaaaaaa.Huyo ni mtangazaji Ghalib Mzinga.

Anyway, Mashujaa jiandaeni Ateba anapanda Ndege siku c nyingi anakuja huko.Nitafanyaje sasa na Simba haichezi, bora nisake warembo tu
Tahadhari Mkuu, unakoelekea siko. Usije ukajikuta umeleft group.
 
Huyu striker nimemtokea kumpenda sana, kwanza ana nguvu, ana akili, ana control, ana mbinu, ana mikakati, ana uwezo mkubwa lakini ni mchana nyavu hasa.Muite Leonel Ateba Mbida.

Mcameroon huyu ananivutia sana, nimeona washambuliaji wengi sana Simba, nimemuona marehemu John Makelele 'Zigzag', Omary Hussein Kevin Keegan, William Fahnbullah, marehemu Mchunga Bakari Mandela, marehemu Said Mwamba Kizota, Bita John, Betram Mwombeki, Damian Kimti, Danny Mrwanda, Mohammed Hussein Mmachinga, Hemed Mrisho, Athuman Machupa, marehemu eddo Chumilla, Malota Soma Ball Jugler nk.

Huyu anakuwa mmoja wa washambuliaji ambao kwangu nafurahi anavyocheza, wapo waliowahi kunivutia kama Malota Soma, Makelele na Fahnbullah mliberia huyu lakini Ateba ni mkatili sana.

Siku ile kama sio mazingaombwe ya Utopolo Diarra alikuwa anakwenda na maji, muangalieni huyu Ateba alivyo mkatili halafu mtakuwa kuniambia.

Sasa kufuatia JKT kupata ajali, Simba leo haichezi, naona kama nimefiwa vile.Nimepungukiwa damu nyingi mwilini kwa kutomuona Leonel Ateba Mbida.Yupo mtangazaji mmoja pale Azam anampatia sana Ateba anapotangaza, Ateba akizifumania nyavu utamsikia Atebaaaaaaaaa.Huyo ni mtangazaji Ghalib Mzinga.

Anyway, Mashujaa jiandaeni Ateba anapanda Ndege siku c nyingi anakuja huko.Nitafanyaje sasa na Simba haichezi, bora nisake warembo tu
Huyo ni KIBU wa Nigeria...akili kisoda.
 
Back
Top Bottom