Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
- Thread starter
- #41
Sawa mkuuArsenal FC
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuuArsenal FC
Sawa mkuuBongo yanga, ulaya tottenham(ingawa hawa hawana mashabiki kwaiyo kama unafanya biashara ya jezi utaingia hasara)
Sawa mkuuPsg kwa ulaya , Africa Al Ahly ya misri
Sawa mkuuAjax amsterdam hawakoseagi hawa mbwa
Sawa mkuuAFC Bournemouth
Sawa mkuuOrlando Pirates hasa zile nyeusi
Sifatilii Mpira lakini nazipenda sana jezi za Tottenham si ndio spurs eeh?Bongo yanga, ulaya tottenham(ingawa hawa hawana mashabiki kwaiyo kama unafanya biashara ya jezi utaingia hasara)
NdioSifatilii Mpira lakini nazipenda sana jezi za Tottenham si ndio spurs eeh?
Mhm tot haina mashabiki kivip?Bongo yanga, ulaya tottenham(ingawa hawa hawana mashabiki kwaiyo kama unafanya biashara ya jezi utaingia hasara)
chelsea ndan ya misla hi 3 hawatoi jexi kaliMan United, PSG, Liverpool, Young African, Juventus, Chelsea na Arsenal
Hizo team kwa miaka mingi zimekuwa zikiongoza kwa kuwa na jezi nzuri sana
bongo tot hawana fan base kubwaMhm tot haina mashabiki kivip?
Ndio hao hao. Jezi zao kila msimu ni kali.Sifatilii Mpira lakini nazipenda sana jezi za Tottenham si ndio spurs eeh?
Zile zenye matairi?Kwenye jezi Yanga ndo baba lao
Wazee naomba kufahamamu ni timu Gani inatoa jezi nzuri Kila msimu Kwa dunia nzima bila kuonyesha ushabiki hata kama huishabikii ila sema tu jamaa wanatia jezi Kali nasubiri majibu yenu wakuu
Wengine Jezi zetu ni all weather, unaweza ukazivaa hata vitani na ikakubaia poa zaidi ya combatWazee naomba kufahamamu ni timu Gani inatoa jezi nzuri Kila msimu Kwa dunia nzima bila kuonyesha ushabiki hata kama huishabikii ila sema tu jamaa wanatia jezi Kali nasubiri majibu yenu wakuu