Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Football performance is dynamic...usikariri mzee baba.Hesabu zinawatupa Simba...
Simba wakiwa nyumbani wanashinda 2-1 au 1-0
Lakini wakitoka nje hawana lolote na hawajafunga goli ugenini.
Hii ina maana katika hatua ya robo fainali watafungwa 5-1 in agg
Adhabu yako ni kuziba hilo tundu lako la haja kubwa.😂
Nipo Tz mkuu ila mambo ya Stars ishinde halafu sifa zipewe awamu ya tano hilo jambo halipoUpo nchi gani hapo mkuu.
ISOMWE KWA SAUTI...
Ntajing’ata mgongoni Simba wakienda Nusu fainali ya ligi ya mabingwa...
Hamn kitu nyie mkienda ugenini ni kichapo tu tn 3+ af mkirud kwn kushnd 1 au 2-1
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaogopa kuwapa headlines...Gazeti la Tanzanite litaandika "serikali ya JPM yatekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo, hatimaye yaipeleka Stars AFCON".Nipo Tz mkuu ila mambo ya Stars ishinde halafu sifa zipewe awamu ya tano hilo jambo halipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahah na mimi naona kuliko iwe hivyo ni bora tutoke tuUnaogopa kuwapa headlines...Gazeti la Tanzanite litaandika "serikali ya JPM yatekeleza Ilani ya CCM kwa vitendo, hatimaye yaipeleka Stars AFCON".
Nakuunga mkono 100%ISOMWE KWA SAUTI...
Ntajing’ata mgongoni Simba wakienda Nusu fainali ya ligi ya mabingwa...
Hilo ni tatizo la timu zetu nyingi za Sub-Saharan Africa ukiiondoa Mazembe....jana niliona kwenye Page ya Mamelodi Sundowns mashabiki wanalalamika timu yao kushindwa kufung\Hamn kitu nyie mkienda ugenini ni kichapo tu tn 3+ af mkirud kwn kushnd 1 au 2-1
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora tushiriki tu mkuu kuliko kuwa Watazamaji kila Siku.
Loooh!!!Tushukuru serikali ya awamu ya tano Chini ya Chama Cha Mapinduzi kwa Kutuletea mapinduzi katika soka letu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu ngoja tuisapoti hivyo hivýo tukachapwe mbele ya safariBora tufuzu tukakutane na vichapo ila tutakuwa tumeandika History.