Cetshwayo Kampande
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,295
- 2,973
Mechi ya leo ni draw,mikeka mingi ya watu italiwa.wanaompa yanga anashinda kama mna ela za mawazo msibet hiyo mechi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga atafungwa 2 kwa mojaMechi ya leo ni draw,mikeka mingi ya watu italiwa.wanaompa yanga anashinda kama mna ela za mawazo msibet hiyo mechi
tukipona basi amini uchawi upo😅😂😂leo nacheka tu mashabiki wa simba mjiandae kwa kilioo
Ila bro nakukubali sana.Salaam wakuu,
Pamoja na kuwa mchambuzi wenu mahiri hapa mjini JF ( najua wale wa kubeti, mnaelewa How nimewasidia sana kwenye ubashiri na kuweza kumfirisi muhindi.
Back to the topic
Leo mida ya saa nane usiku nimeoteswa Yanga wakishangilia mara 4 huku Simba wakiwa kuzomea na kurusha viti yani mfano zile za GOOOOOOOOOLLL Kwa vipindi vinne
So this means Simba watakandwa magoli 4.
NB: Utabiri huu lazima uwe wa kweli since ubase scientifically, & spiritually.
Picha hapo chini Ina relation Kali na kitu kitakachotokea Leo[emoji23][emoji753]View attachment 2968915
Ngoja tuone...
mushukuru mungu 😂😂 mmepona kidgotukipona basi amini uchawi upo😅
tumepona kidogo sababu duka la Yanga alikuepo golini,ndugu Manula Shop.mushukuru mungu 😂😂 mmepona kidgo
air manula😂😂tumepona kidogo sababu duka la Yanga alikuepo golini,ndugu Manula Shop.
Sahivi tupo na Inonga ukuta wa boflo chai Aziz Ki.air manula😂😂