bila shaka kwa hili la warioba, NYERERE ALIKUA DIKTETA

bila shaka kwa hili la warioba, NYERERE ALIKUA DIKTETA

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,905
Reaction score
4,054
BABA WA TAIFA alipinga suala la serikali tatu kwa uhai wake wote na aliwapinga g55 mpaka leo malecela alijiharibia sn kwani nyerere alisema likipita hilo ni bora asizikwe tanzania hoja ikafa kifo cha panzi. kwa hili la warioba laiti MWL NYERERE angewauliza wananchi angepewa majibu km ya g55. kila kitu nyerere hakupenda ushauri hata edwin mtei kwenye documentary yake alisema nyerere alizarau ushauri wake ikabidi ajiuzulu, NYERERE hakufanya referendum yoyote kuhusu masuala makubwa ya nchi kuwauliza wananchi mfano kuwa na serikali mbili, kuanzisha vijiji vya ujamaa,kutoa hela za wananchi kukomboa nchi nyingine bila kuwapa sharti wakipata uhuru warudishe kwani fedha zilikuwa za wananchi,sera ya ujamaa,kutaifisha mali zote na kuwa za umma, yapo mengi ambayo kimsingi yalihitaji referendum na kwa hili la warioba na serikali tatu ni mfano hai kuthibitsha ubabe wa nyerere katika hoja nyingi zilizowaathiri wananchi
 
mwl akifufuka leo cjui warioba atamueleza nini
 
Ndio maana aliondoa haki zote mpaka mwaka 1985 wakati anatoka madarakani ndo anaruhusu haki kama ya kujitetea, haki ya kusikilizwa, etc yaani zile haki zote za binadamu alikuwa kazifuta
 
Ndio maana aliondoa haki zote mpaka mwaka 1985 wakati anatoka madarakani ndo anaruhusu haki kama ya kujitetea, haki ya kusikilizwa, etc yaani zile haki zote za binadamu alikuwa kazifuta
alikua na sifa za kidikteta
 
mwl akifufuka leo cjui warioba atamueleza nini

tunachoshindwa kuelewa ni kwamba maswala ya serikali tatu ni mapendekezo kutoka kwa wananchi. Warioba na kamati yake.. Walikuwa wanapita kukusanya maoni ya wananchi...
 
tunachoshindwa kuelewa ni kwamba maswala ya serikali tatu ni mapendekezo kutoka kwa wananchi. Warioba na kamati yake.. Walikuwa wanapita kukusanya maoni ya wananchi...

Maoni ya waz'br ni mamlaka ya kujiamulia mambo yake.
 
tunachoshindwa kuelewa ni kwamba maswala ya serikali tatu ni mapendekezo kutoka kwa wananchi. Warioba na kamati yake.. Walikuwa wanapita kukusanya maoni ya wananchi...

hayo ni Mapendekezo ya tume kwa mujibu wa Dondoo walizopewa, Wananchi walitaka mjadala wa ama tuendelee na Muungano au tuhitimishe muungano، Warioba na genge lake wakatuchagulia aina ya Mjadala eti tuwe na serikali ngapi? Jakaya kafanikiwa lengo lake la kuweka Historia ya kuwa Rais wa Mwisho wa Tanzania yenye Serikal mbili na Muasisi wa Tanganyika huru bt ataingia kwenye Historia ya kuzembea historia ya kuzirudisha Tanganyika na Zanzibar kama zilivyokuwa mpaka tareh 25th April,1964!
 
nyerere alikua anaangalia tv peke yake mnaambiwa kesho kutatokea kitu fulani then watu wanamwita ni genius kumbe chuo tunaita anadesa
 
ongea unachokijua na uconge ulichockia! Yan we bado unafkra za klibero!?
 
Pole sana nduguu yangu! Mwalimu alikuwa dikteta wa wakati wake ndiyo maana aliweza kuwadhibiti manyang'au wote hadi alipoingia mlima nazi,kila kitu kikawa kuchekacheka tu na kuwaachia chama wauaji wa TEMBO!!
 
Binafsi siuungi mkono muundo wa serikali tatu sio tu kwa kua hatuna sababu ya kufanya hivyo bali tutaliingiza taifa kwenye matumizi yasiyo na ulazima .

Mapato mengi sana ya taifa yanapotea kwenye gharama za uendeshaji wa serikali kuliko yanavyotumika kuwapa unafuu wananch .
Maoni yangu _kama lengo ni umoja imara wacha tuunde serikali moja imara ambayo kwa pamoja ifanye kile ambacho wananchi wangetamani kufanyiwa na serikali yao sio huu usanii wa serikali tatu ambao ukiuchunguza kwa kina hauna msaada wowote kwa mtanzania huyu aliyekata tamaa zaidi ya mipango mkakati kwa sababu za kisiasa na tusipokua makini hapa tunapigwa tobo la maana chezea usalama wa CCM weuwee.
 
Pole sana nduguu yangu! Mwalimu alikuwa dikteta wa wakati wake ndiyo maana aliweza kuwadhibiti manyang'au wote hadi alipoingia mlima nazi,kila kitu kikawa kuchekacheka tu na kuwaachia chama wauaji wa TEMBO!!
nyerere yafaa anyanganywe ubaba wa taifa
 
Binafsi siuungi mkono muundo wa serikali tatu sio tu kwa kua hatuna sababu ya kufanya hivyo bali tutaliingiza taifa kwenye matumizi yasiyo na ulazima .

Mapato mengi sana ya taifa yanapotea kwenye gharama za uendeshaji wa serikali kuliko yanavyotumika kuwapa unafuu wananch .
Maoni yangu _kama lengo ni umoja imara wacha tuunde serikali moja imara ambayo kwa pamoja ifanye kile ambacho wananchi wangetamani kufanyiwa na serikali yao sio huu usanii wa serikali tatu ambao ukiuchunguza kwa kina hauna msaada wowote kwa mtanzania huyu aliyekata tamaa zaidi ya mipango mkakati kwa sababu za kisiasa na tusipokua makini hapa tunapigwa tobo la maana chezea usalama wa CCM weuwee.
may b ur not tanzanian
 
Binafsi siuungi mkono muundo wa serikali tatu sio tu kwa kua hatuna sababu ya kufanya hivyo bali tutaliingiza taifa kwenye matumizi yasiyo na ulazima .
Hiyo moja ipi? ni ya tanganyika ama vp?coz ni ngumu sana kuipoteza identity ya waz'br hata nyerere ilimshinda.
 
Binafsi siuungi mkono muundo wa serikali tatu sio tu kwa kua hatuna sababu ya kufanya hivyo bali tutaliingiza taifa kwenye matumizi yasiyo na ulazima .
Hiyo moja ipi? ni ya tanganyika ama vp?coz ni ngumu sana kuipoteza identity ya waz'br hata nyerere ilimshinda.
mawaziri watakua 15 tu
 
Back
Top Bottom