bila shaka kwa hili la warioba, NYERERE ALIKUA DIKTETA

bila shaka kwa hili la warioba, NYERERE ALIKUA DIKTETA

mm ni mtanganyika halisi sitamsahau nyerere
 
Binafsi siuungi mkono muundo wa serikali tatu sio tu kwa kua hatuna sababu ya kufanya hivyo bali tutaliingiza taifa kwenye matumizi yasiyo na ulazima .

Mapato mengi sana ya taifa yanapotea kwenye gharama za uendeshaji wa serikali kuliko yanavyotumika kuwapa unafuu wananch .
Maoni yangu _kama lengo ni umoja imara wacha tuunde serikali moja imara ambayo kwa pamoja ifanye kile ambacho wananchi wangetamani kufanyiwa na serikali yao sio huu usanii wa serikali tatu ambao ukiuchunguza kwa kina hauna msaada wowote kwa mtanzania huyu aliyekata tamaa zaidi ya mipango mkakati kwa sababu za kisiasa na tusipokua makini hapa tunapigwa tobo la maana chezea usalama wa CCM weuwee.

Naunga mkono hoja!Kiukweli Kuna unafiki mkubwa sana katika hili.Malengo ya waasisi wetu ya muungano yalikuwa ni nchi mbili kwenda moja na mwishowe Afrika moja!lkn kutokana na unafiki na viongozi wetu(hasa wa visiwani)maslahi binabsi yamekuwa muhimu kuliko malengo ya waasisi wa muungano,kila kiongozi anapigania kupita kwenye "red carpet".Namkumbusha rais wa muungano kuwa USA haikupatikana kilegelege,ililazimika damu imwagike ktk baadhi ya majimbo ambayo yalikuwa na mtazamo wa kuuzuia muungano!Leo hii muungano wa Amerika ni imara kupita maelezo!Lkn hapa kwetu naona rais anaapa kulinda muungano hapohapo anauvunja muungano kiaina!SERIKALI TATU NI KUVUNJA MUUNGANO WETU!Tunataka kusema rais wa muungano atakuwa na nguvu kuzidi yule wa Tanganyika?THUBUTU!!!!Tanganyika ndo atakuwa head wa hiyo serikali ya muungano na hicho ndicho kitaipelekea Tanganyika kusema"IF I CAN GET FREE MILK WHY KEEPING A COW?"
 
nyerere yafaa anyanganywe ubaba wa taifa
Kwanza LAZIMA tujiridhishe kujua kama BABA WA TAIFA aliomba U-BABA WA TAIFA au alipewa kwa HADHI aliyoipatia nchi yake!Na ikitokea wasiojua wakapendekeza kama ulivyofanya na ikakubaliwa, tusiishie hapo...!Itabidi tuwageukie MA-DOKTA wa kichina china!Wenye Gentlemen degree ILA wanaitwa ma-daktari!Na kwa wale wenye ukakasi wa u-baba wa Taifa wa Mwalimu,itabidi wapendekeze LABDA tumwite MAMA wa Taifa!
Kuchoka akili ni kubaya zaidi....!
 
Let's reflect the view of the people not their nationality jombaa .

I am Tanzanian and hate nyerere. He was a dictator, plain and simple. The only thing I liked about him was that he didn't steal, one cannot steal your own property. He thought he was the smart one, everybody else was a fool, a typical African leader of his time.
 
Tokyo
Unaandika upumbavu wako hapa na sana ukiangalia ni watoto waliozaliwa miaka ya 80 ndio mnaandika upuuzi humu na kiingereza uchwara mnajidai wajuaji wakati ebu usitutie kichefuchefu
Kuzaliwa miaka ya 80 isiwe hoja, maana kama kuzaliwa zamani ndio busara, basi si kweli! Mawazo ya ki bubu yananituma kuamini kuwa miaka si kitu kitu ni kujua mambo mengi! Mimi nahisi unakosa upeo! Hoja hapa ni udikteta wa Nyerere! Nyerere aliamini kila kitu anachokifanya ni sawa na anafanya kwa maslahi ya watu (si watanganyika na watz tu). Nyerere alikuwa mtu wa watu kama madikteta tu walivyo. Madkteta ni watu poa saana hasa mawazo yao yakiwa mazuri kwa jamii nzima. Think of Gaddafi,Hitler, Mao, Lenin nk, ni watu wa kukumbukwa saana japo ubepari na uliberali wa wapenda mashoga leo wanawapinga kwa nguvu zote
 
Binafsi siuungi mkono muundo wa serikali tatu sio tu kwa kua hatuna sababu ya kufanya hivyo bali tutaliingiza taifa kwenye matumizi yasiyo na ulazima .

Mapato mengi sana ya taifa yanapotea kwenye gharama za uendeshaji wa serikali kuliko yanavyotumika kuwapa unafuu wananch .
Maoni yangu _kama lengo ni umoja imara wacha tuunde serikali moja imara ambayo kwa pamoja ifanye kile ambacho wananchi wangetamani kufanyiwa na serikali yao sio huu usanii wa serikali tatu ambao ukiuchunguza kwa kina hauna msaada wowote kwa mtanzania huyu aliyekata tamaa zaidi ya mipango mkakati kwa sababu za kisiasa na tusipokua makini hapa tunapigwa tobo la maana chezea usalama wa CCM weuwee.

Na ungana na wewe lkn muda wa serikali moja haujafika kama ambavyo muda wa serikali tatu ushapita. Hakuna namna ambavyo nyerere angetumia demokrasia zaidi ya alivyofanya wakati ule. USHIRIKISHWAJI UNA NGAZI NA MIPAKA. Ni sawa na mwalimu mkuu aliyetmia demokrasia wakati wa kufunga shule kwa wanafunzi wa darasa la tatu na kuuliza mnapendekeza nini shule ikifungua? wanafunzi wakajibu kwapamoja na kwa kelele "Shule ikifungua siku zote iwe sikukuuu!!!!!"
Angalia sera yake kuhusu kuhifadhi madini mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kuyachimba na kuyasimamia. angeshirikisha kipindi kile nani angemuelewa? alipofariki umeyaona?
 
BABA WA TAIFA alipinga suala la serikali tatu kwa uhai wake wote na aliwapinga g55 mpaka leo malecela alijiharibia sn kwani nyerere alisema likipita hilo ni bora asizikwe tanzania hoja ikafa kifo cha panzi. kwa hili la warioba laiti MWL NYERERE angewauliza wananchi angepewa majibu km ya g55. kila kitu nyerere hakupenda ushauri hata edwin mtei kwenye documentary yake alisema nyerere alizarau ushauri wake ikabidi ajiuzulu, NYERERE hakufanya referendum yoyote kuhusu masuala makubwa ya nchi kuwauliza wananchi mfano kuwa na serikali mbili, kuanzisha vijiji vya ujamaa,kutoa hela za wananchi kukomboa nchi nyingine bila kuwapa sharti wakipata uhuru warudishe kwani fedha zilikuwa za wananchi,sera ya ujamaa,kutaifisha mali zote na kuwa za umma, yapo mengi ambayo kimsingi yalihitaji referendum na kwa hili la warioba na serikali tatu ni mfano hai kuthibitsha ubabe wa nyerere katika hoja nyingi zilizowaathiri wananchi

Akiitwa "Haambiliki".
 
BABA WA TAIFA alipinga suala la serikali tatu kwa uhai wake wote na aliwapinga g55 mpaka leo malecela alijiharibia sn kwani nyerere alisema likipita hilo ni bora asizikwe tanzania hoja ikafa kifo cha panzi. kwa hili la warioba laiti MWL NYERERE angewauliza wananchi angepewa majibu km ya g55. kila kitu nyerere hakupenda ushauri hata edwin mtei kwenye documentary yake alisema nyerere alizarau ushauri wake ikabidi ajiuzulu, NYERERE hakufanya referendum yoyote kuhusu masuala makubwa ya nchi kuwauliza wananchi mfano kuwa na serikali mbili, kuanzisha vijiji vya ujamaa,kutoa hela za wananchi kukomboa nchi nyingine bila kuwapa sharti wakipata uhuru warudishe kwani fedha zilikuwa za wananchi,sera ya ujamaa,kutaifisha mali zote na kuwa za umma, yapo mengi ambayo kimsingi yalihitaji referendum na kwa hili la warioba na serikali tatu ni mfano hai kuthibitsha ubabe wa nyerere katika hoja nyingi zilizowaathiri wananchi

mwenyewe hili la serikali tatu naona ni matumizi mabovu ya fedha zetu kwani serikali zote tatu kuziendesha itakuwa garama kubwa
 
Tokyo
Unaandika upumbavu wako hapa na sana ukiangalia ni watoto waliozaliwa miaka ya 80 ndio mnaandika upuuzi humu na kiingereza uchwara mnajidai wajuaji wakati ebu usitutie kichefuchefu

Watanzania ni watu wa ajabu sana. Yaani, tumesahau Kabisa Maisha ya wananchi yalivyokuwa ya dhiki chini ya Nyerere. La kusikitisha ni kuwa Wazawa we zake wa vijijini Ndio walioteseka sana na wanateseka Leo vile vile. Serikali ya Nyerere uliluwa ya kidikteta, na Kama unabisha basi akili yako Ina hitilafu. Wananchi walikosa Haki zote za binadamu, na wafanyabiashara hasa wasio Wazawa walipokonywa Mali zao na hadi Leo nyumba zao zimekaliwa na serikali. Na watu wengi wa Hali ya chini walilala na Njaa lakini Nyerere alikataa kuwapa wafanyabiashara ruhusa ya Kuagiza chakula au kutajirika kwa kuwa itaonyesha siasa Yake ya I jamaa ulikuwa inaua wananchi badala ya kuwapa Maisha mema. Mimi nakumbuka chai na Sukari guru, sabuni ya kirusi na kaptura zilizoshonwa majumbani , Mchele wa misaada na watu kufa Njaa vijijini bila ya kusahau kutoruhusiwa kwenda nje na kuwa na fedha za nje. Penda usipende, lakini kaa na kujua kuwa bepari peke Yake Ndio Ana uwezo wa kuendeleza nchi, Sio serikali wala Mtu mmoja. La kushangaza utakuta Mtu Kama wewe bado unampigia makofi Nyerere na kusahau jinsi alivyuturejesha nyuma kiakili, kimaendeleo na kidemokrasia.
Na FYI, kutumia kiingereza au kutokuwa na umri mkubwa, haimaanishi kuwa sina ujuzi wa fikra. Karibu Karne ya 21!
 
Eowange,
Je, Unabisha Nyerere hakuwa dikteta au umekasirishwa na utumiaji wangu wa lugha ya Kiingereza? Au fikra zako finyu zinakuambia Kwamba Lazima uwe na umri Fulani Ndio uweze kuwa na mawazo ya busara??

Labda wewe ni mmoja Wapo wa wale wapigamakofi wa Nyerere na kusahau Kwamba siasa Yake ya ujamaa ilileta na kuendelea kuleta umasikini Njaa mkubwa kwa wanavijiji Bila ya kusahau kunyimwa Haki zote za kibinadamu chini Yake. Sijui wewe ulizaliwa Lini lakini Mimi nakumbuka chai ya rangi, Maduka Matupu, resheni ya kilo Moja ya unga na sabuni za misaada za kirusi. Karibu Karne ya 21!
 
Back
Top Bottom