Bila shaka madai ya Mchungaji Msigwa kuondoka na Kutimkia CCM ni Yale Yale ya siku

Bila shaka madai ya Mchungaji Msigwa kuondoka na Kutimkia CCM ni Yale Yale ya siku

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2012
Posts
16,950
Reaction score
13,527
Friends and Our Enemies,

Bila shaka madai ya Mchungaji Msigwa kuondoka na Kutimkia CCM ni Yale Yale ya siku zote ambayo makada wengine wamekuwa wanayatoa pindi tuh wanapoamua kumwaga manyanga,siyo mapya...point ni zile zile ..nakumbuka enzi zile tunasoma history swali likija Majibu ni Yale Yale,i.e Land alienation, cheap labour,lack of man power, search for new markets, abolition of slave trade etc etc etc...

So,alichokisema Msigwa ni marudio ya Episodes za nyuma tuh.

Swali ni kwamba,Je mbowe ameshindwa kabisa kutumia approach ya Puttin hata ya kufanya amendment ya katiba kumtafuta Dimitri Medvedev wake?

Tunajua Fika kuwa Wala tatizo kwake siyo kukumbatia madaraka,ila anahofu ya kwamba Je akitoka na kuachia hiko kiti chama kitakuwa salama Kuweza kuhimili Kashi kashi za CCM?

Hofu yake ya kuogopa kuachia kijiti Kwa upande mwingine inatupa picha ya kuwa hakuna Demokrasia ya kweli inayohubiriwa ndani ya chama.

Ushauri kwako Mangi,Kuna Medvedev wengi tuh ndani ya CHADEMA,TAFUTA mmoja mwenye ushawishi uanze kufanya nae exchange kama Puttin ili ujenge Imani zaidi Kwa Hiko unachokihubiri.

Unless Otherwise basi Tarajia hawa watu kama Msigwa WENGI kuondoka na kukuachia chama chako .
 
Mbowe
Friends and Our Enemies,

Bila shaka madai ya Mchungaji Msigwa kuondoka na Kutimkia CCM ni Yale Yale ya siku zote ambayo makada wengine wamekuwa wanayatoa pindi tuh wanapoamua kumwaga manyanga,siyo mapya...point ni zile zile ..nakumbuka enzi zile tunasoma history swali likija Majibu ni Yale Yale,i.e Land alienation, cheap labour,lack of man power, search for new markets, abolition of slave trade etc etc etc...

So,alichokisema Msigwa ni marudio ya Episodes za nyuma tuh.

Swali ni kwamba,Je mbowe ameshindwa kabisa kutumia approach ya Puttin hata ya kufanya amendment ya katiba kumtafuta Dimitri Medvedev wake?

Tunajua Fika kuwa Wala tatizo kwake siyo kukumbatia madaraka,ila anahofu ya kwamba Je akitoka na kuachia hiko kiti chama kitakuwa salama Kuweza kuhimili Kashi kashi za CCM?

Hofu yake ya kuogopa kuachia kijiti Kwa upande mwingine inatupa picha ya kuwa hakuna Demokrasia ya kweli inayohubiriwa ndani ya chama.

Usharudi kwako Mangi,Kuna Medvedev wengi tuh ndani ya CHADEMA,TAFUTA mmoja mwenye ushawishi uanze kufanya nae exchange kama Puttin ili ujenge Imani zaidi Kwa Hiko unachokihubiri.

Unless Otherwise basi Tarajia hawa watu kama Msigwa WENGI kuondoka na kukuachia chama chako .
Ameua matumaini ya Watanzania Kwa UPINZANI
 
Wanawake gani hao?

Mke wako na wa Mwigulu Nchemba na Jokate Mwogelo?

Don't be stupid!

Hakuna mwanamke mwenye akili timamu wa kumtetea huyu Mzanzibari anayeharibu Tanganyika yetu!
Unazungumzia kitu Gani Mkuu.
 
Friends and Our Enemies,

Bila shaka madai ya Mchungaji Msigwa kuondoka na Kutimkia CCM ni Yale Yale ya siku zote ambayo makada wengine wamekuwa wanayatoa pindi tuh wanapoamua kumwaga manyanga,siyo mapya...point ni zile zile ..nakumbuka enzi zile tunasoma history swali likija Majibu ni Yale Yale,i.e Land alienation, cheap labour,lack of man power, search for new markets, abolition of slave trade etc etc etc...

So,alichokisema Msigwa ni marudio ya Episodes za nyuma tuh.

Swali ni kwamba,Je mbowe ameshindwa kabisa kutumia approach ya Puttin hata ya kufanya amendment ya katiba kumtafuta Dimitri Medvedev wake?

Tunajua Fika kuwa Wala tatizo kwake siyo kukumbatia madaraka,ila anahofu ya kwamba Je akitoka na kuachia hiko kiti chama kitakuwa salama Kuweza kuhimili Kashi kashi za CCM?

Hofu yake ya kuogopa kuachia kijiti Kwa upande mwingine inatupa picha ya kuwa hakuna Demokrasia ya kweli inayohubiriwa ndani ya chama.

Ushauri kwako Mangi,Kuna Medvedev wengi tuh ndani ya CHADEMA,TAFUTA mmoja mwenye ushawishi uanze kufanya nae exchange kama Puttin ili ujenge Imani zaidi Kwa Hiko unachokihubiri.

Unless Otherwise basi Tarajia hawa watu kama Msigwa WENGI kuondoka na kukuachia chama chako .
Mbowe ndiio kabadili kikokotoo? Ndio anaye pandisha kodi na Tozo za nchi hii? Ndio sababu ya Vijana kukosa ajira, ndio anaye pandisha bei ya Sukari,

Yaani Ujinga wa hili Taifa huwezu kuta watu wanajadli mambo serios yanayo ikumba nchi, huko kuna kwepeshwa makusudi, maada kubwa ni za kizushi tupu.


Unaweza zania Mbowe ndio anakusanya kodi ya nchi hii
 
Hawa ni wale wanao jitokeza kwenye weak point, Unaweza zania Mbowe ndio anakusanya kodi ya nchi hii na hivyo anatakiwa aondolewe madarakani make ndio anasababisha umasikini.
Nafahamu huyu jamaa ndio maana nimeshangaa ameanzaje kuhurumia Chadema
 
Back
Top Bottom